Aneth Stanley

212.2K posts

Aneth Stanley

Aneth Stanley

@AnethStanley

After you die, you will meet God. It is appointed unto men once to die, but after this the judgement.-Hebrew Repent of sins before it's too late.

Johannesburg, South Africa Katılım Haziran 2017
3.6K Takip Edilen47.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Aneth Stanley
Aneth Stanley@AnethStanley·
Maumbile yako kamili ya kike,isiwe sababu ya kuwanyanyasa na kuwaumiza wanaume FREEMAN MBOWE SIYO GAIDI.
Filipino
36
85
743
0
Aneth Stanley retweetledi
Eyal Yakoby
Eyal Yakoby@EYakoby·
64 Christians in Nigeria were hacked to death by Islamists last week. Candace Owens? Silent. Owen Shroyer? Silent. Tucker Carlson? Silent. Ana Kasparian? Silent. Marjorie Taylor Greene? Silent. The media? Silent.
Eyal Yakoby tweet media
English
756
5.5K
11.4K
241.7K
Aneth Stanley retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Kigogo hakuwahi kuchukuliwa Acc Kigogo hakuwahi kuwa na mission yoyote Kigogo alizikwa pale alipoamua kufika dau la highest bidder na kuanza kulala kitanda kimoja na adui wa wengi Kifo cha Kigogo ni copy & paste kifo cha Zito Kabwe. Kilichowaponza ni usaliti na umalaya-malaya
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

@Sirjeff_D @Kishada_ Hivi KIGOGO… Wapwa ndio walimpoteza au Alipotezwa na account kuchukuliwa? Au alimaliza mission yake?

Filipino
33
94
682
28K
Aneth Stanley retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Huyu ndo ZCO Faustine Mafwele ambae amehusika kwenye tukio la kutekwa Balozi Polepole. Huyu ndo anajua wapi wamemficha Balozi Polepole Namba zake za hizi - 0755855743, 0787922913 Kila mmoja ampigie amwambie amwachie Balozi Polepole. #FreeBaloziPolepole
Hilda Newton tweet media
98
380
1.6K
131.3K
Aneth Stanley retweetledi
Bob Chacha Wangwe
Bob Chacha Wangwe@BobWangwe·
Hivi kosa la Polepole ni kukosoa tu au kuna kitu kingine? Kama ni kukosoa, mtu anaweza kuwa na amani gani ya moyo kumuumiza mtu kwasababu tu anamkosoa kitu ambacho hata Mungu anafanyiwa?
Indonesia
11
80
305
6.8K
Aneth Stanley retweetledi
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Hivi kwa wakati huu hatuwezi kumpata FAM akachapwa viboko hadharani?
हिन्दी
83
60
537
88.7K
Aneth Stanley retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Imprisoning people won’t result in love towards you. Abducting individuals won’t make them fear you. Arresting all of us isn’t feasible. The Rotten regime is in its evenings. We will triumph and liberate ourselves from oppression one day. Thanks for being strong out there.
English
30
183
1.2K
48K
Aneth Stanley retweetledi
GreaterThinker💎
GreaterThinker💎@HopeQuotes__·
Familia ipo South Africa Hana Chakupoteza Hapa Nchini...
GreaterThinker💎 tweet media
Filipino
64
144
943
26.7K
Aneth Stanley retweetledi
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
1/2. Kuna tamko lolote limetolewa na Chama tawala kuhusu kutekwa Kwa Hamphrey Polepole?. Yaani zaidi ya masaa 24 toka Kiongozi wenu mstaafu wa Chama aliyewahi kuhudumu kama Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama anatekwa na mnakaa kimya. Hii ni AJABU!
Kumbusho Dawson Kagine tweet media
Indonesia
20
93
563
12.1K
Aneth Stanley retweetledi
Secretary Marco Rubio
Secretary Marco Rubio@SecRubio·
On this second anniversary of Hamas’s heinous October 7 attacks, the United States remains steadfast in our support for Israel in our common fight against terrorism and our shared commitment to bringing an end to the suffering of all hostages and their families. @POTUS's 20-Point Plan offers a historic opportunity to close this dark chapter, and to build a foundation for lasting peace and security for all.
English
3.3K
5.3K
29.8K
762K
Aneth Stanley retweetledi
Habari Digital
Habari Digital@HabariDigital_·
Jeshi la Polisi kama lilivyotoa taarifa yake jana Oktoba 6,2025 kwamba, limeanza uchunguzi wa tuhuma zilizo tolewa na Augustino Polepole kuwa, ndugu yao Humphrey Polepole ametekwa, jalada la uchunguzi lilifunguliwa jana hiyo hiyo. Pamoja na kukusanya taarifa mbalimbali, Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta Augustino Polepole ili aweze kutupa ushirikiano na kutoa maelezo yake na uthibitisho wa shutuma alizotoa kwamba, Afisa wa Jeshi la Polisi alihusika katika tukio alilolitolea taarifa kupitia mitandao ya kijamii. Hii inaenda sambamba na kututhibitishia kuwa, Humphrey Polepole alikuwa ni mpangaji ama mkazi wa nyumba aliyodai kuwa utekaji ulifanyika. Imetolewa na: Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi Dodoma, Tanzania
Habari Digital tweet mediaHabari Digital tweet mediaHabari Digital tweet media
Filipino
2
2
29
4.1K
Aneth Stanley retweetledi
Mchokozi !!
Mchokozi !!@OleMtetezi·
Je CCM Wameshatoa Toa Tamko La Kulaani “Kutekwa” Kiongozi Wao Mstaafu? Je Bunge Limeshatoa Tamko La Kulaani Kutekwa Kwa Mbunge Wake Mstaafu? Je Wizara Ya Mambo Ya Nje Imeshatoa Tamko La Kulaani Kutekwa Kwa Balozi? Ukimya Wa Taasisi Hizi Alizozitumikia Polepole Unamaanisha Nini
Indonesia
20
94
535
18.5K
Aneth Stanley retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Magari yanayokuja namna hii mtaani kwenu jua yanatafuta damu ya mtu Muda wa kukamata watu mwisho saa 12 jioni kupitia serikali ya mtaa Msiruhusu huu ujinga yakamateni haya magari Mtakao wakuta ndani wapigani picha na kusambaza mtandaoni hao ndio wasiojulikana
Think Different tweet media
Indonesia
37
98
602
20.6K
Aneth Stanley
Aneth Stanley@AnethStanley·
Ndugu Zangu @tanpol mlisema mnasubiri kumhoji @TunduALissu ndipo muambie umma nani alimpiga risasi, Lissu yupo na hamjawahi kusema lolote Vile vile mlisema mnangona Father KITIMA apone mumhoni ndipo mtupe taarifa,KITIMA mmemhoji na hamjafanya lolote, Ni uhuni mtupu.
Swahili Times@swahilitimes

Jeshi la Polisi limesema linaendelea kumtafuta Augustino Polepole, kaka wa Humphrey Polepole, ili atoe maelezo na uthibitisho wa shutuma alizotoa dhidi ya afisa wa Jeshi la Polisi kuhusika na 'kutekwa' kwa Polepole. Polisi wamesema Augustino anahitajika ili kuthibitisha kuwa, Polepole alikuwa ni mpangaji ama mkazi wa nyumba aliyodai kuwa utekaji ulifanyika.

Indonesia
2
3
11
680
Aneth Stanley retweetledi
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
“Katuga Mh. Tunaomba twende kwenye health break tutaendelea. Mhe. Lissu anasema sawa twende maana huyu shahidi ili nimalizane nae nahitaji siku zingine kama mbili au tatu. Kwahiyo bado tuko nae sana. Siwezi kumuacha haraka.” 😂😂
Hilda Newton@HildaNewton21

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 60 Mhe. Lissu : wakati unaongoza hiyo timu ulisema, Tar. 06/04 ulimtafuta Mkurugenzi wa Jambo TV John Marwa? George : siwezi kukutajia ila nilipata namba ya kiongozi wa Jambo TV sikujua jina lake kama ndio Marwa. Mhe. Lissu : Huyu Kiongozi wa Jambo TV uliyemtafuta ulimuomba akupatie hiyo video clip halisi iliyochukuliwa kwenye mkutano? George: Ni kweli. Mhe. Lissu : ni kweli huyo kiongozi alikwambia mfanyakazi yupo Dodoma? George: Ni kweli, alinipa namba ya simu pia ni kweli ya huyo mfanyakazi wake. Mhe. Lissu : ni kweli namba hiyo ulimpa DCP Ng'anzi? George: Ni kweli nilifanya hivyo. Mhe. Lissu : ni kweli Ng'anzi alimpatia Andrew Churu yule Polisi mwingine? George: Hilo sijui kwakweli. Mhe. Lissu : ni kweli tar. 07/04 DCP Ng'anzi alisema amempata huyo aliyerekodi? George: Ndio ni sahihi kabisa. Mhe. Lissu : Na memory card nayo alikwambia imepatikana? George: Ni kweli aliniambia hivyo. Mhe. Lissu : Ni kweli DCP Ng'anzi alikwambia kwamba memory card na card reader yake vitaletwa siku hiyo hiyo na Andrew churu ofisini kwako? George: Ni sahihi kabisa. Mhe. Lissu : Ni kweli au si kweli kwamba siku ya tar. 07/04 Andrew Churu alisafiri kutoka Dodoma hadi ofisini kwako na kufika usiku? George: Ni sahihi kabisa. Mhe. Lissu : Je alikuja na hizo card, na vitu vingine? George: Ni sahihi alikuja navyo na alikuja pia na hati ya makabidhiano. Mhe. Lissu : acha kiherehere hiyo hati sijakuuliza. Mhe. Lissu : je ulisoma maelezo ya P hiyo tarehe 07 ulivyoletewa. George : ni kweli nilisoma. Mhe. Lissu : Kwa vile ulisoma, kweli au si kweli huyo P alisema ni yeye ndie alirekodi mkutano na ni yeye alirusha kwenye Jambo TV akaunti? Anamtafutia maelezo ya huyo P na anamwambia ayasome. Anasoma George "kuwa mimi nakumbuka mkutano ...” anasimama Katuga anasema haya maelezo sio yakwake shahidi kwahiyo asiulizwe. Mhe. Lissu anajibu shahidi mwenyewe ndio kasema kuwa alipelekewa maelezo na huyo P akasoma, na maelezo hayo ndio yanasema nani alichapisha? Majaji wanasema msomee wewe tafadhali. Mhe. Lissu anasoma kuwa P anasema ni wao Jambo TV ndio walikuwa wanarusha. Na wao ndio walirekodi. Mhe. Lissu : Je mimi ndie niliesambaza na kuchapisha? George : ndio ni wewe uliyechapisha. Amesimama Katuga Mh. Tunaomba twende kwenye health break tutaendelea. Mhe. Lissu anasema sawa twende maana huyu shahidi ili nimalizane nae nahitaji siku zingine kama mbili au tatu. Kwahiyo bado tuko nae sana. Siwezi kumuacha haraka. Majaji wanaandika hapa kidogo. Sasa twende break tutarudi saa tisa mchana. Part 61 itaendelea tukitoka break Naomba repost yako.

Filipino
12
18
349
18.3K
Aneth Stanley retweetledi
Concerned Citizen
Concerned Citizen@BGatesIsaPyscho·
🚨🇬🇧 “UK Council set to BAN Christians from praying for people” “Christian Preacher’s could be jailed for up to two years” “You could go to prison for Prayer, handing out The Bible or Leaflets” In 2025 once Great Britain - Islamic Prayer is permitted to bellow out loudly 5 times a day across Cities, whilst Christians can get jailed just for praying ‼️
English
4.3K
19.4K
49K
1.8M
Aneth Stanley retweetledi
LYENDA
LYENDA@IamLyenda·
Shahidi namba 1 wa serikali kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, George Bagyemu ameiambia mahakama kuu kuwa hakuna kesi yoyote ya kisiasa aliyoifungua (kuipeleleza) halafu mshtakiwa akakutwa na hatia. Ya Dokta Slaa ilifutwa, ya Lembeli ilifutwa na ya Heche ilifutwa.
LYENDA tweet media
Indonesia
17
78
449
9.8K
Aneth Stanley retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemtesa sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha. Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality. Justice for Polepole.
Indonesia
28
338
1.8K
32.1K