INNOCENT retweetledi
INNOCENT
141 posts


Nilipotekwa ule usiku pale KIMARA KOROGWE—nikiwa kwenye Gari ya watekaji, walikuwa wakinihoji maswali ambayo ya kutaka kunijua.
Wao pia walitumwa na MAFWELE nikamatwe ila hawakuwa wakijua kosa langu. Nilipoulizwa unafanya kazi gani, nikawajibu nabeti.
Wakaanza kubisha kwamba huwezi kuishi kwa kubeti, kwanza leo umetengeneza shingapi? Nikawajibu “LAKI SABA”.
Jamaa wakaanza kucheka kwa DHARAU na kunisanifu kwamba ningekuwa nimetengeza LAKI SABA wangenikuta na “Masile sile” Mfukoni? Nikatamani niwaaminshe kuwa naweza kufanya hivyo ila nikaamua kukausha.
WALE JAMAA tangu nimechukuliwa pale O-Bey 24.6.2024 na “TEMBO SABA” (VIJANA WA MAFWELE) kupelekwa ARUSHA na baadae kupigwa risasi YA KICHWA MBUGA YA KATAVI—naamini wananionaga tuu mitandaoni.
SASA NAAMINI WAO NI MABALOZI WAZURI WA BETTING MAANA NINACHOFANYA SAIZI HUKO DUNIANI NI MAZISHI KWA WAHINDI.
Indonesia
INNOCENT retweetledi
INNOCENT retweetledi
INNOCENT retweetledi

@ZPlanmaster Yupo kwenye kiwanda cha unga kule kapewa u supervisor
Filipino
INNOCENT retweetledi

@Roma_Mkatoliki Wadogo zako tunajiuliza kaka ataludi lini......ni swali tusio na jibu nalo kaka
Filipino
INNOCENT retweetledi
INNOCENT retweetledi

Bonjour, je suis un Tanzanien qui voyage vers et depuis le Congo en tant que chauffeur de camion. Nous traversons de nombreux problèmes de sécurité pendant notre séjour là-bas. Ma demande est surtout que les soldats congolais, lorsqu'ils ont des véhicules tanzaniens, nous harcèl
Constant Mutamba@ConstantMutamba
#RDC En te tuant le 17 janv 1961, ils ont cru avoir éteint la flamme du panafricanisme. Mais ils ont oublié que ton esprit se réincarnerait 64 ans après dans un autre corps pour poursuivre ta noble lutte de libération du peuple Africain. Ainsi, ton nom est passé de LUMUMBA à MUTAMBA. La patrie ou la mort, nous vaincrons.
Français















