Ze Planmaster

61.6K posts

Ze Planmaster banner
Ze Planmaster

Ze Planmaster

@ZPlanmaster

No bio, just Chemistry.// Backup account @ZePlanmaster

Katılım Şubat 2022
2.1K Takip Edilen15.7K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
"Siwezi kuichapa bila kupiga deki"
Ze Planmaster tweet media
Indonesia
28
25
73
3.5K
Ze Planmaster retweetledi
𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳
𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳@heisnabeel·
Sisi tunavoondoka kwenye party mapema iili tukafanye mapenzi
𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳 tweet media
HT
12
21
52
1.5K
y
y@ysuckme·
France 🇫🇷 vs Spain 🇪🇸 . Who will win ???
English
246
82
651
42.1K
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Kuna jamaa hapa anataka Gari, anasema Ana million sita Wapi tunaweza kupata kwa hiyo bei.?
Indonesia
31
9
224
14.6K
DUM@H
DUM@H@stevenduma1·
Watu wengi wanakosea pale ambapo wanaoa wanawake then wanataka wasaidiane maisha mwanamke anatakiwa apendwe Tu 😂😅
Indonesia
1
0
2
32
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
Wale wazee wa katoro wamekuja kutupressurize vijana wa Bongo na lifestyle zetu tuamini mtaani hela zipo ila kuna watu wamezikalia. Just imagine yule mwana chawa “Paul Brand” anakwambia kuwahoji tu maboss kwa ile shughuli kaokota 56+ Millions.😅😅🙌🏿
Filipino
17
30
367
17.1K
S t e w a r d
S t e w a r d@madeinmusoma·
Na huyu ni nani tena?😁
S t e w a r d tweet media
8
6
49
2.1K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Hii picha nilipiga nikiwa KATORO, na sikuona hizo hela, nyie nendeni kule kuna Ndumba sana, unaenda na mtaji, unarudi mikono mitupu
Sekenke One 🌻 tweet media
Filipino
10
11
53
1.1K
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
@AlexSamoja Nipo katoro muda huu na hamna hizo hela mnazohype huku mtandaon
Indonesia
1
0
1
90
Maluu_26
Maluu_26@maluu_captain·
🚨Huyu ataweza ada kweli..!😂🙌
Maluu_26 tweet media
Indonesia
23
38
231
5.4K
Ze Planmaster retweetledi
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Kila siku analalamika kubagukiwa, ila kuchukua pisi ya Rangi ya Ngolo kante hataki,..usimuamini mtu anayehema mamiyakee😂🤝🚮...
The champ👑 tweet media
Indonesia
9
14
79
2.5K
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPARAZZI
Kila mtu yoyote ana haki ya kufanya kile akipendacho kutokana na uwezo waks Ila nimekuja kujifunza, kuwa pesa inatabia ya ku-expose ulimbukeni wa mtu. Pesa hainunui class wala proper mindset, pesa kwa muafrika ina expose his or her extreme intentions Yule wa Katoro limbukeni tu
Indonesia
27
24
141
7.3K
Kante
Kante@MkulimaKante·
😁Mwamba anakwambia akipata kama hilo habebi wanawake🫵 Anyway tutafute sana hela vijana na ukweli mchungu ni kwamba kuna watu wana hela chafu ambazo huwezi zifikia hata uzitafute kwa nguvu gani🙌
Filipino
15
24
178
14.9K
fantasy 🤍🧚
fantasy 🤍🧚@Fefe_doll·
Enzi zetu miaka ya 1980 huko ,wazazi walikua wakienda kulala wanawasha redio inaongea hadi asubuhi😂😂😂nilikua sielewi maana yake ni nini lakini sasa 🤣au basi jamani anaejua kukopa hela halotel aniambie 🥱
Indonesia
48
55
299
17K
Dr. Kala. MD
Dr. Kala. MD@kalegamyeh·
Tatizo la background ya umaskini ni kwamba, hao watoto wa kishua wanaopewa billion kwenye harusi huwez kukutana nao shule ulizoma, makanisa unayoenda wala kwenye cycle yako yoyote ile. Wewe ligi yako ni kulipa mahari kwa installments huko chaka to chaka.😀
Filipino
21
12
122
6.6K