M B Mugishagwe
23 posts


I've just signed a petition urging the Tanzanian government stop auctioning Maasai land to trophy hunters and carbon traders. The Maasai are being forcibly evicted from their ancestral homes under the false promise of conservation. Sign here 👉 act.gp/3MwXL56
English

Una kipaji cha kuimba mziki na unataka kutambulika? Hii ni nafasi yako! 🎤💥
Jisajili Mziki na Maarifa na ushinde. 🎶
📲👇
forms.gle/cFRN7Cvx73zaUU…
#DemocracyDay
Nafasi Art Space@nafasiartspace
🎶 Wito kwa Vijana Wasanii wa Mziki 🎶 Una kipaji cha kuimba mziki na unataka kutambulika? Hii ni nafasi yako! 🎤💥 Jisajili Mziki na Maarifa na ushinde. 👉 Jinsi ya Kushiriki: 1️⃣ Rekodi demo yako ukiimba 2️⃣ Tuma maombi kupitia Link: forms.gle/cFRN7Cvx73zaUU… @EUinTZ

Sorry to be the bearer of bad news, naomba niongeze kuwa mbali na hizo $14,000 ambazo anawapa watu wake kama diplomats pia wake au waume za hao diplomats wanalipwa 1/3 ya mshahara wa diplomat.
Kwa mfano kwa sasa mke wa Diplomat ambae mumewe anapokea $14,000 per month , serikali ya Samia inamlipa mke mtu $4,000 kwa kukaa tu nyumbani kumsubiri mumewe atoke kazini. Mbali hapo expenses zooote za diplomat kama usafiri, umeme, maji, cable Tv, bili za simu, shule za watoto etc zinalipwa na serikali ya Tanzania. Imagine mke mtu analipwa robo 3 ha mshahara wa mumewe kwa kukaa nyumbani n na bado analipiwa na pesa za kupeleka watoto daycare, so mke analipwa kukaa nyumbani kuangalia TV. Mbali na hapo mshahara wa huyo diplomat huko Tanzania anapokea kama kawaida.
Yes naomba kurudia mbali na hiyo $14,000 diplomat bado anapokea mshahara wake huko Tz kama kawaida. Yani hiyo $14,000 ni nje ya mshahara wa huko TZ
Kwa kifupi diplomat mmoja anai cost Tanzania almost $30,000 per month. 😭😭.
Sasa mnaambiwa hao diplomats wanaopelekwa ndo mnaweza kulia, wengi ni wanzanzibary hata English hawajui vizuri. Unaambiwa kujieleza tu shida. Watanganyika ni wa kuhesabu tena wanawekwa kama vile danganya toto ila asilimia kubwa ni wa Zanzibar’s.
‘Lipeni kodi tufanye maendeleo’ maendeleo anayoongelea ni kutumia $30,000 kwa mwezi ya kodi zenu kwa mzanzibary mmoja kwenda kutembea nje ya nchi kwa miaka minne….

Indonesia

@HeradiKj @godbless_lema ?!?!Kinachokataza au kinachozuia uzalishaji wa viwango Bora na stahiki hapa Tanzania ni nini? Chuma IPO makaa yapo ni Wana taaluma kukosekana? Si wanaajiriwa kokote DUNIANI AU?
Filipino

@godbless_lema Tatizo nondo zinazozakishwa nchini zina viwango duni sanaa kuzitumia ktk miradi mikubwa ya kimkakati.
Indonesia

Ni aibu kubwa ktk Taifa lenye viwanda vya kutengeneza chuma (Nondo), kwamba ktk mradi mkubwa kama huu nondo zote za mradi zinanuliwa South Africa.Tuna criss kubwa ya fedha za kigeni lakini bado tunashindwa kusimama imara na sera za kulinda viwanda vya ndani ili kupunguza matumizi ya fedha za kigeni.Rushwa ya 10% itaua uchumi wa Nchi hii kabisa

Indonesia

@nytimes In the world where in the same war Israelis are murdered BUT Palestians are killed, humanity needs the likes of Nocholas Kristof's pointing to the true north.
English

In Opinion
"If we owe a moral responsibility to Israeli children, then we owe the same moral responsibility to Palestinian children," our columnist Nicholas Kristof writes. "Their lives have equal weight." nyti.ms/3ZUNGow
English

@ThatBoyKhalifax Tanzania is one of the few nations in the world who is sacrificing it's future generations to gambling and other addictions for the interests of the do called investors and their local agents as if there is no government/concerned citizens to protect it's future
English

@HildaNewton21 Ni ishara kuwa taifa ni mufilisi kimaendeleo na kiuongozi- tunawatoa kafara vijana na vizazi vijavyo kwa wanaoitwa WAWEKEZAJI wenye kusambaza mashine za kamari,viroba vya vilevi, video n.k
हिन्दी
M B Mugishagwe retweetledi

@MabalaMakengeza Na simu zoote za ofisi za serikali ni fake au hewa!!Hili ni jukumu la wizara gani? Na nani anayewajibika kwa uzembe huu?
Indonesia

Directories tanzania.go.tz/directoryrecor… #tanzania
Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo iko wapi. Kwenye tovuti wanaonesha Dar es Salaam na simu iliyoandikwa haipo
Filipino

@marieantoinasty @SWAHILIBINT It is a big consipiracy!! Nearly everybody is involved including the victims themselves - forced ofcourse by the poverty- its modern day slavery...
English

Actually inasikitisha sana tu na kuhuzunisha kuwa Watanzania wengi hatuna empathy wala sympathy? Unakuta mtu anamcheka na kumbeza mwenye ulemavu au mwenye ugonjwa usio wa kawaida!! Inawezekana kabisa kuwa bwana huyo ana tatizo...
Richard Mabala@MabalaMakengeza
Kwa kweli sisi Wabongo ni mabingwa wa unyanyapaa. My ameshindwa kusoma. Labda ana kigugumizi, labda msongo ulizidi mbele ya Rais na kadamnasi yote hii na ukishashindwa mara ya kwanza panic inagandisha bongo. Lakini tumemdhihaki weeee na hata kumwigiza. Duh!!!
Indonesia

@BwanaAnna @tabeey1 @ezekiel_kamwaga @IsmailJussa Nope no Tabitha nor Ummi! It’s Prof Mamuya; Dr Asharose; myself M Beatrix Mugishagwe and your hubby Zitto at a German Embassy function
English

@BwanaAnna @SonFromBugoi @tabeey1 @ezekiel_kamwaga @IsmailJussa Aliye vaa Dira atakuwa DADA UMMI MWALIMU
Indonesia

Tabitha ni yupi hapa? Prof Mamuya; Dr Asharose Migiro; mimi M BEATRIX MUGISHAGWE na mume wako Zitto at a German Embassy function...
BintiBwana@BwanaAnna
Lakini jamani kuna watu wanatoka mbali, aisee
Filipino








