Matinde

89.3K posts

Matinde banner
Matinde

Matinde

@BabaCleopatra

😡

Egypt Lake-Leto, FL Katılım Şubat 2022
2.3K Takip Edilen984 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Matinde
Matinde@BabaCleopatra·
@Big_Nicky01 Jifunze kusave, ukipata 10k kula 5k, nyingine tunza. Weka mali zinazoonhezeka thamani, jiwekee hata kila mwaka au miez 6 uwe na kiwanja hata cha laki 8 popote pale hii dunia. In 5 years unaweza kua tajiri bila kujua, anza bussiness kwa mitaji midogo uone kitakachotiki
Indonesia
13
13
61
6.6K
Matinde retweetledi
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Kwa mfano unaenda RB Leipzig ukiwa unarudi zako utarudi na nani ? 1: Yan Diomande 2: Antonio Nusa Au utaenda Real Betis kwa ajili ya Ez Abde?
George Ambangile tweet mediaGeorge Ambangile tweet mediaGeorge Ambangile tweet media
Indonesia
78
28
592
20.7K
Matinde retweetledi
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Meneja wa timu ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti ametetea uamuzi wake wa kutomjumuisha mshambuliaji wa Chelsea, João Pedro kwenye kikosi cha wachezaji 26 cha timu hiyo kuelekea michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 itakayoanza mwezi ujao huku akimuomba radhi nyota huyo. Baada ya kutangaza kikosi hicho, Ancelotti alishindwa kutoa sababu halali ya kumwacha Joao Pedro nje, na kuacha maswali mengi kuliko majibu huku wengi wakihoji uhalali kuwaita baadhi ya nyota kama Gabriel Martinelli wa Arsenal, Luiz Henrique (Zenit), Rayan (Bournemouth) au Endrick (Lyon) badala ya João Pedro ambao kimsingi hawakuwa na msimu mzuri kumzidi Pedro. Wengi wamelinganisha takwimu za baadhi ya wachezaji walioitwa na zile za Pedro hususani Martinelli aliyefunga bao moja tu na asisti 3 kwenye Ligi kuu England tofauti na João Pedro aliyefunga magoli 15 na asisti 5 kwenye Ligi hiyo bila kumsahau Rayan aliyeifungia Bournemouth magoli 5 na asisti 2 wakati Endrick akiifungia Lyon mabao 5 na asisti 7 kwenye Ligue 1 wakati Uamuzi wa kurejea wa mfungaji wa muda wote wa Brazil, Neymar Jr hauonekani kuwashangaza wengi licha ya umri na majeraha ya mara kwa mara kuwa kikwazo lakini wengi wanaamini uwepo wake kikosini ni 'bonus' kwa Brazil kwa ajili ya kuongeza uzoefu, ushawishi na uongozi kikosini hata kama hatacheza dakika zote. "Kuna sifa za wachezaji binafsi tulizozingatia katika uchaguzi wa wachezaji walioitwa. Ni wazi kwamba tunasikitika kutoitwa kwa João Pedro, kwa sababu kwa msimu aliokuwa nao barani Ulaya, labda alistahili kuwa kwenye orodha hii. Tunamuomba radhi João Pedro, na pia kwa kila mtu mwingine.” alisema Ancelotti baada ya kutomjumuisha João Pedro. #KitengeSports
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
19
11
476
33.2K
Matinde retweetledi
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
🚨𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Klabu ya Simba SC 🇹🇿 imeanza mazungumzo rasmi na Kiungo Neo Maema (30) 🇿🇦 ili aongeze mkataba mpya zaidi kwaajili ya msimu ujao wa 2026-27 Maema tayari ana machaguo yake Afrika Kusini lakini kwanza atasikiliza muktadha kutoka kwa kocha Steve Barker 🇿🇦
Moshi Jnr tweet media
Filipino
1
6
222
2K
Matinde retweetledi
M A G I R I
M A G I R I@Kiganyi_·
Ya moto mno, inataka 30M tuu. Manual transmission. Piga +255 787 700 070 haina mtu kati.
M A G I R I tweet mediaM A G I R I tweet mediaM A G I R I tweet mediaM A G I R I tweet media
Eesti
9
27
118
22.5K
Matinde retweetledi
Dear Son.
Dear Son.@DearS_o_n·
Dear Son. tweet media
ZXX
24
155
2.2K
35.4K
Matinde retweetledi
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🚨 JUST IN:Royal Charleroi SC is likely to win the race of Isaac Ismael Cisse(19) signature It's only club to reach player's club Golden Arrows demand after sent an official offer which is around 1m USD Belgian club also has an agreement with player's agent
BracuszCadabra tweet media
English
4
4
98
2.2K
Matinde retweetledi
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
🚨𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Timu ambazo Tanzania imepangwa nazo kwenye kundi L kuelekea michuano ya AFCON 2027 Qualifiers! ⭐️🇹🇿 1: Nigeria 🇳🇬 2: Tanzania 🇹🇿 3: Madagascar 🇲🇬 4: Guinea Bissau 🇬🇼 #afcon2027
Moshi Jnr tweet media
Español
1
11
227
2.6K
Matinde retweetledi
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
Hivi Venga wa Ze Comedy aliendaga wapi wadau?
Ze Planmaster tweet media
Filipino
57
50
689
86.5K
Matinde retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
Ratiba ya Rio Ferdinand 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 baada ya kuwasili Tanzania 🇹🇿 leo Mei 19, 2026 ✅ Mei 20: Bungeni, Dodoma ✅ Mei 21: Uwanja wa AFCON, Arusha ✅ Mei 21: Serengeti National Park
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
43
28
848
36.4K
Matinde retweetledi
Elon Musk
Elon Musk@elonmusk·
First Starship V3 launch later this week!
English
11.5K
31K
311K
42.9M
Matinde retweetledi
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🟥 Yusuphu Kagoma chini ya Steve Barker muumini wa kuwa na destroyer mmoja kwenye system yake atacheza sana Ndio maana tangu dirisha dogo alipendekeza asajiliwe DM mwingine atakayesaidiana na Kagoma Maeneo mengi kikosini yana tiba mbadala ila Kagoma ni mpaka aseme amechoka
BracuszCadabra tweet media
Indonesia
9
15
322
4.3K
Matinde retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
Viwanja vya nusu fainali za Kombe la Shirikisho la CRDB Simba Sc 🆚 Coastal Union 🗓️ Juni 20, 2026 🏟️ Sheikh Amri Abeid - Arusha Azam Fc 🆚 Yanga Sc 🗓️ Juni 21, 2026 🏟️ CCM Kirumba - Mwanza
FELIX JASON tweet media
Indonesia
12
31
690
14.5K
Matinde retweetledi
The Sole Supplier
The Sole Supplier@thesolesupplier·
Spring layering with UNIQLO essentials 🔥
English
0
5
63
878.5K
Matinde retweetledi
millardayo
millardayo@millardayo·
Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini Uganda vimekamata Mali za aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda Anita Among yakiwemo magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce Cullinan pamoja na Range Rover katika operesheni kubwa ya kupambana na Ufisadi na utajiri unaotiliwa shaka inayoendelea nchini humo. Operesheni hiyo imefanyika hii leo Mei 18, 2026 katika makazi yake ya Kigo, Wilaya ya Wakiso ambapo maafisa kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai nchini Uganda (CID), Vikosi vya Kijeshi vya UPDF pamoja na vitengo vya ujasusi walizingira eneo hilo kwa ulinzi mkali ambapo wameyachukua magari hayo na kwenda nayo makao ya uchunguzi wa Polisi Naguru kwa uchunguzi zaidi. Aidha kwa mujibu wa ripoti za Vyombo vya Habari vya Uganda, uchunguzi huo umeongezwa hadi kwenye mali nyingine zinazohusishwa na Among katika maeneo ya Ntinda, Nakasero na Bukedea, ambapo Maafisa wa upelelezi wanatafuta nyaraka za kifedha, kumbukumbu za mali na ushahidi mwingine unaohusishwa na madai ya utakatishaji fedha, matumizi mabaya ya ofisi na utajiri usioelezeka. Gari la kifahari la Rolls Royce limezua mjadala mkubwa Nchini humo baada ya kuripotiwa kuingizwa Uganda, Januari 2026 kupitia kampuni ya Anita Foundation Limited, ripoti zimedai kuwa zaidi ya Shilingi bilioni 1 zililipwa kwa fedha taslimu kwa ajili ya ushuru na gharama za usafirishaji, jambo lililoibua maswali kuhusu chanzo cha fedha hizo. Among, ambaye hapo awali amedai kuwa gari hilo lilikuwa zawadi ya siku yake ya kuzaliwa kutoka kwa marafiki na biashara zake, amekuwa chini ya shinikizo kubwa la kisiasa na uchunguzi wa ndani na nje ya Uganda, Marekani na Uingereza tayari zilimuwekea vikwazo mwaka 2024 kufuatia madai ya ufisadi yanayohusiana na sakata la mabati ya Karamoja. Hatahivyo, taarifa zinaeleza kuwa simu ya Among pamoja na baadhi ya vifaa vingine vya kielektroniki vimechukuliwa kwa uchunguzi wa kidigitali huku Maafisa wawili wa karibu naye wakizuiliwa kwa mahojiano. Credit Picha: #DailyMonitor #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
13
5
164
17.4K
Matinde retweetledi
SOSA
SOSA@800centsosa·
SOSA tweet media
ZXX
8
28
63
553
Matinde retweetledi
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🟥Wakati anasaini makaratasi Simba SC alikutana na malengo CAFCL QF,kushinda mataji ya ndani Unlucky akafeli CAFCL ila performance ya timu ikawafanya Viongozi wa timu kufuta wazo la kumuondoa The best decision ever kwani baada ya miezi kadhaa ameset foundation nzuri sana
BracuszCadabra tweet media
Indonesia
9
17
372
5.4K
Matinde retweetledi
Djkid_b_____
Djkid_b_____@BlessdGrooveKid·
Linda Brand Ufe na njaa😂🫵
Djkid_b_____ tweet media
Eesti
31
45
564
28.7K
Matinde retweetledi
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🚨 JUST IN:Kwa nyakati tofauti Viongozi wa Young Africans SC wamefanya mazungumzo na mlinzi wa kati Nasry Kombo anayeitumikia TRA UNITED kwa sasa Yanga SC wanalenga kumuongeza kikosini mchezaji dirisha kubwa la usajili ili kuimarisha eneo lao la ulinzi The business to follow✍🏽
BracuszCadabra tweet media
Filipino
8
8
193
3.7K
Matinde retweetledi
SOSA
SOSA@800centsosa·
SOSA tweet media
ZXX
5
22
63
488