Mama Lau
717 posts


Raha iko ccm @Ccmtanzania @SuluhuSamia @Daniel_chongolo @Shakazulu36, Viongozi imara watatokana na #CCM.
#TzBushlady🇹🇿🇹🇿🇹🇿

@SimbaSCTanzania Kama Simba haita Omba radhi mashabiki kwa kile kilichotokea walllah!mwaka huu tunakuwa mshindi wa Nne
Indonesia

🔙 Kesho jumatano tunarudi kwenye Ligi Kuu kwa kuwakabili Polisi Tanzania.
Tiketi tayari zimeanza kuuzwa vituoni na kupitia mitandao ya simu. #NguvuMoja

Indonesia


@Nnauye_Nape Kama kuna Zawadi Tanzania ilipewa na Mungu nipamoja na Nape na Kijana.Kama kuna zawadi cha cha mapinduzi kilipewa na Mungu basi ni Nape na Kinana,kwanza hawakuwa na Siasa za hovyo ,walitambua kuwa CCM ndio mlezi wa vyama vingine na ndo Baba wa Demokrasia nchi hii.Nawapenda sana

Filipino

@IdrisSultan Boss wangu IdrisSultan nakukumbusha kuwa picha zako ukiwa Jkt ukirudia mara mbili kuchukua msosi tunazo.

Indonesia

@IdrisSultan Usijinunishe hapa taarifa zako tunazo ,unajifanya unaigiza kumbe kweli umeninyang'anya mchumba wangu ila nilikuwa bado sijamtongoza.

Indonesia























