
@Badman001_ The government should have anticipated this and take all precautionary measures
English
Louis
16.9K posts

@ngaizer
What IF everything we are being told is a big LIE??.....


Nimeingia kwenye kituo cha mafuta Nangurukuru.. pump attendant ameniambia Subiri nikaulize ndani kwa boss kama mafuta yapo. Baadae amerudi na kusema boss amesema hatuna Diesel!! Nimepata picha kwamba wanaficha mafuta kupandisha bei ili wananchi waumie zaidi. Kukosa uongozi imara inaweza kuumiza wananchi snaa na uchumi wa Nchi. Wanataka kupandisha mafuta kwa kisingizio cha vita, Bulk procurement wanatakiwa kununua na kuhifadhi mafuta ya miezi 6. Vita imeanza siku 30 zilizopita inakuaje bei kupanda? Watanzania msikubali kubeba huu mzigo kwa kuwanufaisha mafisadi.












If you know his name, you are a true football fan!
