Sabitlenmiş Tweet

Biblia Takatifu ukisoma Mathayo 7 (2) inasema:-
"Mbona wakitazama KIBANZI kilicho ndani ya Jicho la ndugu yako na BORITI iliyo ndani ya Jicho lako mwenyewe hukiangalii?"
Maneno haya yanatufundisha kwamba kila mwenye kusimama na kukemea chochote mbele ya. Jamii anapaswa kwanza kujitazama mwenyewe kuhusu USAFI wake.
Hakuna asiyejua pesa nyingi za @mangekimambi zimetokana mambo ya hovyo yasiyo na heshima mbele za Mungu na hata Mila na Desturi zetu za Kitanzania.
Mange Kimambi @mangekimambi amekuwa akiwadharirisha ndugu zetu watanzania na kumiza familia nyingi sana kwa kuanika faragha zao na kupelekea migogoro ya ndoa za watu amesababisha ndoa nyingi zimevunjika. Nawala hakujali hilo aliwaza pesa na kuishi maisha ya kifahari.
Tunawezaje kumuweka kwenye kundi la watetezi wa haki wakati yeye ni mdharirisha mkubwa wa watu.

Indonesia













