Baraka Raphael

3.1K posts

Baraka Raphael banner
Baraka Raphael

Baraka Raphael

@BarakaRaphael14

IG @MR_MISUTI_MIKALI 👉Utawala wa haki,sheria na katiba. 👉Uhuru wa kujieleza na kufanya maamuzi. 🤝 #UOGAHAPAHAKUNA

Dallas, TX Katılım Temmuz 2019
303 Takip Edilen172 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Baraka Raphael
Baraka Raphael@BarakaRaphael14·
@ExMayorUbungo Tweet zako hizi zinanipa wakati mzuri kujua wewe ni mtu WA namna gani. Ni mfia mtu sio taasisi over,haustairi kuwa kiongozi WA WATU Bali mlizi WA mtu (bodyguard) mfuasi au chawa.
Baraka Raphael tweet media
Indonesia
15
15
183
16.8K
Baraka Raphael retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Picha hii inastahili REPOST 500 kama salamu kwa mzee wetu TUNDU LISSU kwenye magumu yote anayopitia kuwa tupo nae pamoja.🙏🏾
SIR TIVA tweet media
Filipino
37
1.8K
4.7K
48.2K
Protipstar
Protipstar@protipstar01·
EPL Correct Score 3/3 Nottingham 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1 : 2 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Aston Villa Crystal Palace 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1 : 2 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Newcastle Chelsea 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1 : 2 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Man City
English
3
0
22
1.9K
Baraka Raphael retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Dear Mr. President @realDonaldTrump If you were to remove this murderous leader from Africa, just as you removed Maduro from Venezuela without civilian casualties you would be regarded as a hero across the African continent. Africans remain deeply shocked that on October 29 2025 Tanzanian’s illegitimate president, Samia Suluhu shut down the internet and electricity nationwide for 72 hours and then ordered the killing of more than 10,000 Tanzanians. Two months later, she remains in power, and there has been no meaningful response from either the African Union (AU) or SADC. Some critics have condemned those of us who are appealing for U.S. intervention, arguing that Tanzanians should confront this brutal regime on their own. Let me be clear: Tanzanians did resist. On October 29 2025,they took to the streets, and they were met with live bullets. Protesters were shot dead until the demonstrations were completely crushed. Even those who were at home, they were shot in their homes just instill fear. So I ask a simple question to anyone who doesn’t support US intervention in Tanzania how many more Tanzanians must be killed by their own government before U.S. intervention is considered justified? Please give us a number. Is it 50,000 more? Or 100,000 more? To those who argue that the United States will not assist Tanzania because it lacks crude oil, that is not the main reason Maduro is no longer president of Venezuela. The real reason he was easily removed is that his own people rejected him and considered him an illegitimate leader. This is the case in Tanzania. The country will literally take to the streets to celebrate the end of the brutal CCM/Samia era. As for the “America First” policy, Tanzania possesses vast natural resources, including uranium, natural gas, coal, nickel, lithium, gold, tanzanite, and diamonds. These resources are currently being heavily exploited by countries such as the UAE, China, and Russia. These same countries continue to support the murderous regime. These countries do not care about Tanzanian lives, they don’t care how many of us get murdered by the government as long as they get to loot. In fact, the UAE is supplying the Tanzania government with weapons that are being used to kill civilians. If the United States were to support the people of Tanzania, we would end the strategic dominance of the UAE, China, and Russia and instead build a strong partnership with the U.S. This would be a win–win situation for both nations. @realDonaldTrump Please also urge Mr. Zuck to reinstate my Instagram, facebook and WhatsApp accounts that were taken down 4 weeks ago after meta was pressured by the Tanzanian government. It’s alarming that US tech companies are helping authoritarian government to censor critics. Also 1 tech company should not be allowed to own so many critical social media platforms. In 1 hour I was literally removed from 3 major platforms simply because 1 company owns them.
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
English
865
3.1K
10.1K
422.7K
Baraka Raphael retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Tiyari Unfollow , kuwa mfano mzuri na wewe kwa Mungu.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
60
141
850
34.2K
Baraka Raphael retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
Wakili Dkt. Rugemeleza Nshalla—> HONGERA. Miaka 30 tangu kuapishwa kuwa Wakili (15.12.1995–2025)! (2019–2021). U mwanzilishi mwenza wa LEAT, msomi wa Sheria wa Harvard, mtetezi shupavu wa haki za binadamu, utawala wa sheria na kuhifadhi mazingira, na kwa sasa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA. Uzalendo mkubwa kulitumikia Taifa. Mungu akulinde na kukuongoza. 30 years at the Bar (15.12.1995–2025)! Congratulations to Adv. Dr. Rugemeleza Nshalla—former TLS President (2019–2021), co-founder of LEAT, Harvard-trained advocate for human rights, rule of law & environmental justice, and current Director of Legal Affairs, CHADEMA. An outstanding legacy of service 🇹🇿👏 #30YearsAtTheBar #RuleOfLaw #HumanRights #EnvironmentalJustice #TLS #CHADEMA
Anna Tibaijuka tweet media
Indonesia
45
241
1.4K
41K
Baraka Raphael retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Sasa Samia hauna imani namna hii na magenerali mpaka unawapitishia walinzi nyuma na mbele ulifuata nini huko jeshini? Hawa kina mapete wanakudanganya, PSU haina uwezi wa kudhibiti jeshi hata kama wanajeshi hawana silaha, hizo hizo silaha watu wako wa PSU wanaingia nazo Jeshi kama wanajeshi wangekuwa wanakutaka zingetumika dhidi yako Uwezi kuongoza nchi kwa silaha mpaka majeshi namna hii unaingia umechanganyikiwa unaweka jeshi chini ya ulinzi wa wahuni hao? Hivi JWTZ mtadhalilishwa hivi mpaka lini? Kwamba mnaweza linda mpaka ya nchi, mna ndege na vifaru halafu eti Samia ana imani nanyie hapo kambini Monduli anakuja na watoto wadogo kweye masuala ya ulinzi kuwatisheni namna hii? Mna kazi gani sasa kama yeye anaona PSU inaweza mlinda kuliko nyie ? Kwamba JESHI lina uwezo mdogo hivi tunavyoonyeshwa hapo ? Kwa nyie ni kama waharifu wengine tu hapo kambili mnafanyiwa mambo ya ajabu ajabu namna hii? Huyu hana imani na nyie sababu ameua ndugu zenu, sasa mwambieni amuwezi kufanya naye kazi
Think Different tweet mediaThink Different tweet mediaThink Different tweet mediaThink Different tweet media
Filipino
31
71
411
36.4K
Baraka Raphael retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nilitamani kuishi nikiona ‘Mapacha wa Kariakoo’ siyo agenda mbele ya agenda zinazohusu maslahi ya umma. Nimeishi nyakati hizo mara ya kwanza. Tuendelee kujishikilia. Mali za mbogamboga zisizoweza kutoa pole kwa mashabiki wao waliouwawa kikatili haziwezi kuwa timu zetu. Tuzikatae.
Indonesia
59
267
1.9K
39K
Baraka Raphael retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Huyu kijana anaitwa Eliya Anania Mbise ni Mwanachama wa CHADEMA Jana asubuhi alichukuliwa na watu ambao walijitambulisha kuwa ni maofisa wa Jeshi la Polisi wenye silaha za moto akiwa nyumbani kwao Kijiji cha Kitefu, Maji ya Chai, Arumeru. Kama mtakumbuka Mwaka Jana akiwa Chuo Kikuu cha SAUTI Mwanza aliwahi kupewa kesi ya uchochezi na kuhukumiwa kifungo au kulipa faini, Watu wa Jamhuri ya Twitter wenye upendo wakachangia akalipiwa faini leo amechukuliwa tena mpaka sasa haijulikani yupo wapi. #FreeEliyaMbise
Hilda Newton tweet media
Filipino
29
266
1.1K
46.7K
Baraka Raphael retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️ “Tume za Uchunguzi ni dekio la uchafu wa serikali na Jaji Mkuu Mohamed Chande ndiye msafishaji mkuu wa uchafu huo!! Alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Mauaji Bonde la Ihefu mwaka 2006. Matokeo yake? Sifuri!! Alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Vyombo vya Haki Jinai Mwaka 2023. Matokeo yake? Sifuri!! Sasa ni Mwenyekiti wa Tume ya Mauaji Makubwa katika historia ya nchi yetu yote. Tutegemee matokeo gani? Sifuri!! Hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji! Hakuna Amani bila Haki” TAL, Ukonga Central Prison Oktoba 21, 2025
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
33
489
1.8K
69.9K
Baraka Raphael retweetledi
CNN Africa
CNN Africa@CNNAfrica·
Geolocated videos from the scenes, audio forensic analysis of the shots fired and first-hand accounts from witnesses and victims document the brutality unleashed on young demonstrators following the re-election of President Samia Suluhu Hassan – who claimed she won with 98% of the vote on October 29 after barring her chief rivals from the presidential race. cnn.it/4oTKiG7
CNN Africa tweet media
English
329
4.5K
11.5K
1.3M
Baraka Raphael retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Badala ya kuagiza uchunguzwe wewe na vyombo vyako vya dola, polisi na watu waliokua na silaha wanaua Watanzania .. unaagiza wachunguzwe wapinzani wako, unaagiza chama chetu kuchunguzwa.. Hatuwezi kuuziwa uoga.
हिन्दी
171
815
3.9K
64K
Baraka Raphael
Baraka Raphael@BarakaRaphael14·
@iam_imu17 @Thereal_taivina Hayo makampuni ya taivan mi nimeshindwa nimeacha nimebaki betpawa hata kama odds zake ndogo ila paripesa na keka bet wanapiga Hela NDEFU SANA
Filipino
1
1
1
66
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Naenda Burundi kuangalia kama kuna Access ya makampuni ya Betting na kodi zao after Winning kama yamenyooka kule tunaishi vizuri tu nakuja kuwachukua wanangu wengine mkacheck malawi.
Taivina James tweet media
Indonesia
12
38
778
12.1K
The ChandO
The ChandO@SadickTusia·
Allahamdulliah🙏 Engineer in Town, God Did it..
The ChandO tweet media
English
52
31
544
34.4K
Baraka Raphael retweetledi
Baraka Raphael
Baraka Raphael@BarakaRaphael14·
@Sirjeff_D Kaka tuachie ndugu yetu please kwenye hili utagombana na sisi watanzania wenzako hatutaki ujinga kwa ndugu zetu muda waazoezi wapo na sisi msibani
Indonesia
0
1
1
123