CAPTAIN BEKA.
516 posts


@Conspiracist_1 Ni kifaa gani kigumu kinawezahimili ukali wa nyuzi joto 2700°C?
Indonesia

@musyokaNdesa @Conspiracist_1 Iyo sabuni ndio natumia na kabla sijaitumia lazima nitoe iyo label
Filipino

@Conspiracist_1 Unajua sabuni ya imperial?...unaogea mara ngapi mpaka ile label itoke?..kashikwe bega huko.

Kenya 🇰🇪 Filipino

@musyokaNdesa @Conspiracist_1 Acha uchoko ile label ukiishika inabanduka huwezifananisha na huu uongo wa NASA mnaaminishwa vitu vya kijinga na mnaamini, hiki wanachokifanya NASA ni utapeli wa kawaida sana wala huitaji maelekezo dosari zipo nyingi mno na nini lengo lao? Izi ni propaganda zakidunia mzee stuka.
Indonesia

@ze_mandevu Izo ni propaganda za mataifa yaliyoendelea, lengo ni kuiaminisha dunia kuwa Marekani wakombele sana ktk teknolojia, kama hili jambo lingekuwa linawezekana basi wakwanza angekuwa mchina kufika mwezini
Indonesia

Nadhani bado wengi wetu tuna fikra za kimaskini yaani kwa Dunia ilipofika sasa NASA watupe story za kutunga, wakati miaka ijayo huenda kuna Mataifa mengi yaliyoendelea nayo yataweza kwenda kufanya tafiti huko kwenye Sayari kitakacho baki NASA wataweka Legacy kuwa Watu wa kwanza kufika huko.

Indonesia

@ze_mandevu Kwaiyo mzee madevu nawewe unaamini?
Hiki chombo wanasema kinatembea speed kali zaidi mara tatu zaidi ya speed ya risasi, kutokana mgandamizo wa hewa kwa hii speed ni lazima chombo kingewaka moto sehemu ya nje, je! Umeiona iyo mizigo iliyofungwa na karatasi za nylon zingekuwa hai?
Filipino

@JMariotz Namba 3 ndio anapossibility nzuri ya kucontrol na kufunga sababu mguu wa kulia wa beki haupohuru kusogea hivyo ni rahisi kwa namba 3 kucontrol na ku score, option ya pili ni namba moja ananafasi, akiongeza speed basi anaweza kuscore au kupiga cross cut
Indonesia


@kasesco_tz Huyu ni Mwigulu Nchemba, waziri mkuu wa Taifa la Tanzania, ila ukiangalia kwa jicho la wenge utamuona Fidel Castro aliyekuwa kiongozi wa Cuba, na rafiki mkubwa wa Che Guavara walioleta mapinduzi makubwa Cuba.
Indonesia

@Thereal_taivina Kweli mkali, slip 4 na zote wao tu ndio wameniua dadeq nimeshinda na hasira hasira tu sijielewi
Indonesia

Izi hapa odds 2.94 za bure leo, kama jana @MrDepalitto9 @shandave4luv @angelbellerin02 @Thereal_taivina @Tipster_Blood @OddsCharity @SportsarenatzTz @Gwisapunter






















