Bekanho retweetledi

Leo napenda kuzungumzia ugonjwa hatari wa Vidonda tumbo kwan ni ugonjwa ambao humfanya mtu kunyong’onyea kupoteza mvuto na kupungua kwa mwili wake bila yeye kutarajia 🙏
Pia ni ugonjwa unao ongoza kufanya watu vinywa vyao vitoe harufu kali sana 😷🤧 sasa leo nataka kuwapa hii tiba naiman itawasaidia leo nafanya kuirudia maana niliwah ielezea miaka 4 iliyopita
Hasara za vidonda tumbo:
❤️ Kukosa hamu ya kula
❤️ Kukosa hamu ya kula chakula cha wanandoa
❤️ Harufu mbaya ya kinywa
❤️ Kuumwa na tumbo
❤️ Ongezeko la uzalishwaji wa Acid mwilin
❤️ Kuumwa na kwenye maungio ya mwil wako (joints)
❤️ Kushindwa kufika kileleni kwa wanawake
Papai moja bichi kama hapo kwenye picha likate kate na mbegu zake kisha chukua maji safi ya vugu vugu ujazo wa lita moja na kisha loweka hilo tunda lako kwa muda wa masaa 24 kisha utakunywa kikombe asubuhi na kikombe jion
Kwahyo ukinywa unapomaliza utaandaa mchanganyiko wako mpya na zoez hili lifanywe kwa sku 21 mpaka 30
Niwatakie mazingira mema na kupona kwema
Nb: Usipopona ujue unatakiwa kuja kununua dawa kwangu 🙏🙏🙏🙏
Sogea dm/Whatsaap 0680114218

Indonesia
























