Sir-Mbosa

10.7K posts

Sir-Mbosa banner
Sir-Mbosa

Sir-Mbosa

@BenjaminGodson5

Katılım Şubat 2016
1.3K Takip Edilen999 Takipçiler
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@midoy8_ Kwa Barca hii ya msumi ulioisha Mou anatangaza ubingwa mapema tu
Polski
1
1
2
12
mido
mido@midoy8_·
Mourinho ni kocha mzuri ila hawezi pambana na barca pale laliga .Ngoja tuone mwisho itakuaje🤝
2
3
9
120
Sir-Mbosa retweetledi
אנדרוניקו
אנדרוניקו@thenameis_Andro·
Najulishwa kwamba kwenye hizi TOP FIVE LEAGUES the most assists ever to be recorded in a season ni assist 21.. Two assists against Brighton and BRUNO sits JUU ya THE BEST WENU WOTE maamaeee.. Huyo ndio #ElMagnificoBrunoooo
אנדרוניקו tweet media
English
3
6
36
1.4K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@N3sty09 Jichanganye sasa wiki ijayo uweke magoli uone wote wanavoshinda moja bila
Indonesia
0
0
0
5
❄️™
❄️™@N3sty09·
Hii ligi wanatupia magoli🙌 hapo ukifata direct win ni odds 2+
❄️™ tweet media
Italiano
3
0
5
117
Sir-Mbosa retweetledi
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Kuna mlevi hapa anasema.. Tukiongea kiukweli kabisa Simba na Yanga kufika nusu fainali au kuchukua ubingwa wa Club Bingwa Afrika bado sana. Lakini binafsi naamini tukipeleka hawa mapacha shirikisho ndani ya miaka 3 kikombe cha Afrika kinakuja bongo. Sasa kwa maslahi mapana ya mpira wetu kwanini tusiweke kanuni kwamba mshindi 1&2 wanaenda shirikisho then 3&4 waende champions league ili tuanze kuzoea kwanza hilo kombe CCC (yaani tuchukue at least mara 3) then tukijiona tumeiva tunarudi kwenye default settings CL🤭
Indonesia
23
22
291
15.3K
SIAH☺+255
SIAH☺+255@MalkiaTabasamu·
Ile Nyimbo ya Wakamalia Vipi views ni ngapi Huko YUTYUBU ?
Indonesia
15
14
331
62.5K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@MkulimaKante Sema hip hop ki iringa Iringa sio kibongo, unaijua utanikumbuka
Indonesia
1
0
1
16
Kante
Kante@MkulimaKante·
Hii industry ya music wa hip hop kibongo bongo ilikuwa ina watu makini sijawahi kuona. Kuna mwamba alikuwa anaitwa Roho Saba alitoa nyimbo bora ya hip hop ya miaka yote chini ya usimamizi wa producer bora wa nyakati zote Amba. Pale Ebony Fm enzi hizo wapo akina Edwin Bashiri Udade Va Vana hili goma lililia sana afu sikiliza huo mdundo wa Amba. Maproducer wa sasa wana mengi sana ya kujifunza wanangu, Bonge moja la street hip hop🔥🔥
Indonesia
6
3
12
338
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@EsirEid We jamaa miyeyusho sana😂😂😂
हिन्दी
1
1
1
310
Dume O'Reilly 🩵
Dume O'Reilly 🩵@Dume_Jeuri__·
Nasikia pale tanzania hii sio offside 😃😃🙌🙌
Dume O'Reilly 🩵 tweet media
Español
10
12
117
3.6K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@Maestrowafact Chura nimeshakuambia huku mtaani vijana wanaibiwa boda boda sana baadhi waliuliwa kabisa, police hawajawahi mpata hata mwizi mmoja Hadi Kuna vijana wengine hua wanakuja kuzipata pikipiki zao kwa jitihada zao wenyewe, hii nakubishia police wetu kwenye upelelezi bado sana.
Indonesia
4
0
17
1.5K
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI
Tanzania kubwa tu ukiwa una tafuta maisha ila ukiwa unasakwa na jamhuri ni ndogo kishenzi 😅😅😅
Filipino
37
65
623
17.3K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@INFLUENCERjr Dodoma Jiji wamemgeuza Yanga ni underdog, Yan Dodoma Jiji inazuia na mapeki wawili😂
Indonesia
1
0
0
81
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Hakuna mechi hapa ngoja niendelee na mambo yangu
Indonesia
7
6
55
1.5K
Mchizi chizi kichizi
Mchizi chizi kichizi@mchizidamas·
Hapa Madridstar kubalini mkatae mlipigwa bana hakuna mido hapo 😀😀
Mchizi chizi kichizi tweet mediaMchizi chizi kichizi tweet media
Filipino
8
2
66
2.7K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@ByCardoJason Ni kweli watu wengi wenye hela nyingi fixed huitumia kama dhamana kupata mikopo midogo kusolve issues hasa za dharula, ila kwa 10M kuikopea ni kuchukua risk ya kupoteza hata yenyewe tena kwa hasara zaidi. Maana hiyo 8m + riba ukishindwa kulipa hiyo ten inaondoka yote.
Indonesia
1
0
1
445
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
@BenjaminGodson5 Ko turudi nyuma hilo wazo mimi mwanamaendeleo na uchumi ni zuri au baya kaka ebu lipe hoja au kasoro kwanza kabla mwakani sijajitusu humo ndani kaka.😁
Indonesia
1
0
1
456
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
Kama una 10M+ fungua fixed account hasa (Dhahabu fixed saving account) inayoenda 3-20 years kwa benki ya kijani. Hela yoyote unayoweka unauwezo wa kukopa 80%-90% yake na fixed inatumika kama dhamana. Mfano hapo nakua na 10mill nakopa 8mill, kiuhasibu hapo tayari nna 18mill.
Indonesia
40
59
576
45.6K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@ByCardoJason Upo sahihi na ndio mm nilichosema Sasa huoni vinalinzana na hoja yako ya mwanzo
Filipino
1
0
0
526
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
@BenjaminGodson5 Mikopo ni sehemu ya hesabu ya Net Worth ya mtu, lakini kama Liabilities (deni), si kama Asset (mali). Kiufupi Net Worth = Total Assets (yote unayomiliki yenye thamani) – Total Liabilities (yote unayodaiwa au deni). Kaka japo sikua pure Accountancy ila course yangu niligusishwa
Filipino
2
0
3
524
M Ę C K I Ę 
M Ę C K I Ę @mee_nicodemus·
Adama Coulibaly & Yanga SC………👀
Indonesia
8
0
82
4.4K
DO's
DO's@97Yamungu·
@BenjaminGodson5 @Maestrowafact Hawa jamaa ni make...ge sana kwenye Justification zao. Yaani nitukane ndio nijue upelelezi? Marekani viongozi wanatukanwa live,UK,ufaransa,ubelgiji,SA tuu hapo. Upelelezi tuletee kitu wananchi hatujui au hatujawahi kusikia. Mfano juzi huyo dogo kafa ila upelelezi mpaka leo??
Indonesia
1
2
4
419
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@97Yamungu @Maestrowafact Si ndio hapo, kwanza mtu akinitukana mtandaoni hata mm ninampata vizuri tu ni vile siwezi mfanya kitu.
Indonesia
0
0
1
336
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI
Ni uzi mrefu mkali ilikua ni Joint ya Polisi, Tisi na FBI na kwa mara ya kwanza bongo tuliletewa teknolojia za kipelelezi kama Utambuzi wa DNA na Forescinc ya mabaruti.. Bongo walikufa 11 tu wakati KENYA walidead zaid ya 200 unajua kwa nn? Umahili wa vyombo vyetu
Unaweza@hataweweunaweza

@Maestrowafact UONGO

Indonesia
8
4
50
35.9K
Sir-Mbosa
Sir-Mbosa@BenjaminGodson5·
@ByCardoJason Madeni hua hayajumlishwi kwenye utajiri bali hua yanatolewa, sijui kama unaelewa haya mambo au unaandika tu.
Indonesia
3
0
3
590
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
@BenjaminGodson5 Pia elewa neno (kiuhasibu) tunavyohesabu utajiri wa mo dewj huwa tunajumlisha mpk madeni yake ambayo hujumuishwa ni hela zake.😁
Indonesia
1
0
9
2K
Sir-Mbosa retweetledi
Afia Dimple🦋
Afia Dimple🦋@AfiaDimple_·
The whole world agrees that CR7 is the G.O.A.T right ??
English
266
469
3.2K
22K