Buluma

2.3K posts

Buluma banner
Buluma

Buluma

@Buluma15

Lord servant, entrepreneur, philanthropia

Dunya today Akhera tomorrow Katılım Ağustos 2019
4.2K Takip Edilen135 Takipçiler
BTSRCHRL
BTSRCHRL@BT21012853·
@Life_of_vike Kwamba madaktar hawafanyi physical examination (per abdominal)
Indonesia
2
0
4
1.4K
Life Of Vike
Life Of Vike@Life_of_vike·
Hapa kuna chuo maeneo ya Mwanza " Dem mmoja alikua ana mimba bhana kama miezi nane ! Mida ya usiku tumbo likawaka moto maana alikua anakaa hostel akadanganya ana madonda ya tumbo akaenda hospital wamempa " MISOPROSTOL " akarudi hostel ile amelala usiku tumbo likaanza
Indonesia
17
17
222
22.9K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@Life_of_vike @denismicky22 Miso kwa ulcers??? Daktari yupi angefanya prescription ya hivyo hizo kamba ebu kafungie viatu baana umezidi
Indonesia
1
0
1
9
Buluma
Buluma@Buluma15·
@Life_of_vike @JosephMasa40641 Uongo huo kabisa miso halafu mjamzito miezi nane unampa ya nini halafu miso yenyewe miezi sita ifanye yoote hayo
Filipino
1
0
1
3
Kante
Kante@MkulimaKante·
Galileo Galilei aliwaza nini hadi kubuni simu, hiki kifaa kimekuja kubadilisha sana maisha🙌
Indonesia
11
8
61
2.5K
Christopher Julias
Christopher Julias@christopherjul8·
@Buluma15 @MkulimaKante , Galileo Galilei (1564–1642) was a pivotal Italian astronomer, often called the "father of observational astronomy". RUDI SHULENI NDUGU YANGU
English
1
0
2
45
Christopher Julias
Christopher Julias@christopherjul8·
@MkulimaKante Alexander Graham bell aligundua simu 07 March 1876 Galileo yeye aligundua kuwa dunia ndo inazunguka jua sio vice versa
Indonesia
1
0
4
120
Abdul Ally
Abdul Ally@AbdulAlly253493·
@DanyMsigwa @kasesco_tz Upande wa pili kuna counterweight (uzito wa kusawazisha) ili kupunguza nguvu ya motor. Kwenye pande kuna guide rails zinazoiweka lifti isitikisike. Pia kuna breki za dharura ikishindwa, zinakamata na kuizuia isianguke.
Filipino
1
0
0
139
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Kwani ni nini kinaumzuia Watengenezaji wa Elevator (Lift) kuweka madirisha ya dharura in case ikifeli watu wayatumie kutoka..? 🤔
kasesco☆ tweet media
Indonesia
25
28
135
8.5K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@MakulaJr_ @IAMartin_ Kama unataka ibada ya kweli upo sahihi lakini kama unataka uchanganye na siasa au mambo ya dunia kidogo ya mungu kidogo nenda RC kanisa langu limejitenga kabisa na siasa halitaki kuhusika kabisa na siasa japo huko nyuma manabii mbali mbali walikemea baadhi ya mataifa mfano amos
Filipino
5
0
2
654
I am who I am
I am who I am@MakulaJr_·
@IAMartin_ I'm very sorry kwa kanisa katoliki la mitume, nilihamia Sabato nikiamin huku ndo kuna hiphop, all over the suddenly since last year nimejua exactly wapi mtu mwenye akili timamu anatakiwa kuabudu.!
Filipino
7
5
120
6.1K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
TEC hawajapeleka kabisa mwakilishi Wamekataa kuketi, kusomewa uongo Kanisa moja, Takatifu, Katoliki la Mitume Ni moja jana, leo, asili yake ni Yesu Kristo Ibada moja, sheria moja , mapokeo yaleyale Kanisa limeenea pande zote ulimwengu mzima Kanisa Katoliki, TUNAJIVUNIA 👏
Suomi
100
771
4.2K
67K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@Muhanuzi16 @DadaEstie @mgalatiaturbo1 @BenyKelley Jamaa liongo sana wewe ni msukuma kweli?? Utakuwa msukuma wa kuchoma Mbuta ni wale sangara wakubwa sana wenye mnofu mzito sana unakuwa kama unakula kama kiazi kitamu cha unga unga Mbute ni muhogo ulioozeshwa ukaozwa vizuri unabonyea sehemu zoote ambao huparuriwa na kupikwa
Indonesia
0
0
0
26
Essiiie Kapambala
Essiiie Kapambala@DadaEstie·
Wasukuma Naomba Mniambie Maana Ya Mbuta ??
Indonesia
29
4
157
17.9K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@IAMartin_ Nikahisi kanali polepole halafu caption inaanza na nimefurahi so nikawa na vibe kama loote daah mwisho wa yote daaa
Filipino
0
0
0
146
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nimepata morali zaidi. ✊🏾 Mwenezi wa wahuni wa mbogamboga anapiga marufuku Watanzania wasituchangie, sisi tunaongeza kasi. Usiku huu nimebarikiwa chochote kitu na kuchangia Tsh 100,000 kuunga mkono harakati za ukombozi wa kweli. Ikiwa 'Tone Tone' inawanyima usingizi kiwango hicho, basi tujue tuko kwenye mstari sahihi. Ungana nami kuwezesha mabadiliko leo. Kama unaguswa na mustakabali wa nchi yetu, usisite kutoa ulichonacho. Uhuru wa Kifedha: Chama cha siasa kinachofadhiliwa moja kwa moja na wananchi wenyewe kinawajibika moja kwa moja kwa wananchi, si kwa wafadhili wakubwa au mifumo ya siri. CHADEMA ni mali ya Watanzania. Ujumbe wa Kisiasa: Kuchangia harakati za kisiasa ni kura halali ya maoni kabla ya sanduku la kura. Michango ya fedha na mali ya hiari inatuma ishara kwamba kuna watu wako tayari kugharamia kile wanachokiamini. Nguvu ya Umma: Dhana ya ‘Tone Tone’ inajenga bahari kubwa. Shilingi 1,000 kutoka kwa watu milioni moja ni nguvu kubwa kuliko bilioni moja kutoka kwa mtu mmoja. Tusiogope. Tuchangie wengi. Wameogopa. Kila tone linahesabika. Namba ya Kuchangia: 0744446969 (CHADEMA HQ).
Indonesia
31
264
1.1K
21.1K
Berneese
Berneese@theberneese·
I went to the Bernabeu: Real Madrid lost I went to the Camp Nou: Barcelona lost Does this mean if I go to the Metropolitano Atletico Madrid will also lose?
Berneese tweet media
English
2.7K
3.3K
50.6K
590.7K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@bajabiri @EsirEid Nimekuinbox mkuu kama ikiwezekana uchungulie maana najua there's no notification
Indonesia
0
0
1
10
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
@EsirEid Watu wana hela hadi wanaonesha B/S. Mwalimu kama mie hiyo challenge siiwezi
Indonesia
2
1
1
244
Buluma
Buluma@Buluma15·
@thenationguy Fetus and a baby catch the difference you cannot call womb bound fetus a baby to be called a baby must be having experienced 9months of fetus
English
0
0
0
2
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Hapa Chama Gani unatamani lirejee tena ligi kuu ? Lipuli fc Stend united Njombe mji Tukuyu Stars Kariakoo Lindi Bandari Mtwara Pan Africa Ashanti United Mirambo FC Kurugenzi Kagera sugar Allience fc Mbeya kwanza
Indonesia
128
48
271
14.7K
Futbal Planet ✴️
Futbal Planet ✴️@PlanetFutbal·
Hapa ni Chama lipi unatamani lirejee tena kucheza Ligi Kuu? 🇹🇿 Toto African 🇹🇿 Lipuli 🇹🇿 Stend United 🇹🇿 Njombe Mji 🇹🇿 Tukuyu Stars 🇹🇿 Kariakoo Lindi 🇹🇿 Bandari Mtwara 🇹🇿 Mbao 🇹🇿 Pan Africa 🇹🇿 Ashanti Utd 🇹🇿 Moro United 🇹🇿 Cosmopolitan 🇹🇿 Mirambo 🇹🇿 Kurugenzi 🇹🇿 Allience FC
Futbal Planet ✴️ tweet media
Indonesia
9
1
34
1.6K
Buluma
Buluma@Buluma15·
@MarekaMalili Nilifikiri unaweza kuwa na ofisi hapa nilihitaji wa kula tuu
Indonesia
1
0
0
135
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
@Buluma15 Hapo karibu hadi raha, hata fresh wanafika bipa stress
Indonesia
1
0
1
543
Buluma
Buluma@Buluma15·
@MarekaMalili Bei gani nione kama kwa umaskini nilionao naweza kuwamudu
Indonesia
1
0
0
13