Chakali
5 posts


Kila ninapoiona hii picha ya Deus Soka moyo wangu unaumia sana.Hakustahili adhabu hii ,hakustahili kupotezwa kwa sababu tu ana mawazo tofauti na watawala wa nchi .
Bado alikuwa kijana mdogo sana,miaka 27 tu. Bado alikuwa na ndoto nyingi za kutimiza.Aliamini katika haki na aliipigania kwa vitendo bila uwoga.
Hatujasahau,na hatutasahau,leo yeye na wenzake akina Mbise na wengine wengi walipaswa kusheherekea Pasaka na familia zao kama sisi wote tulivyofanya.
Swali linabaki:Nani anafuata?Ili iweje?
#FreeLissu
#FreeSoka
#Freethemall

Filipino

@Its_pirates @Innocen89950594 😂😂😂 ko umeachana na kilimo kabisa ili umfatilie😂😂🤣🤣🙌🏿🙌🏿
Filipino

@Sativa255 Kuma kabisa huyo watanzania gani mwenye akili anaumizwa na AFCON kutokuwepo
Filipino

Kaa kimya KUMA wewe.
Munkarwanakir@Munkarwanakir1
@Sativa255 SATIVA AFCON itakuwepo Hivi Kwanini unakua na roho mbaya kiasi hicho kuona kua Watanzania tutanufaika umekua mstari wa mbele kuipaka madoa Nchi yetu mpaka nakua na wasi wasi na uraia wako hata kama humpendi Kiongozi alipo madarakani why unawaumiza watanzania?????
Indonesia

🚨𝐌𝐃𝐀𝐔
Wiki Hii imekua na Mambo Mengi Mnoo, Haya ni Baadhi Yaliyo Tikisa Vichwa Vya Habari Ndani ya Wiki Moja
01: Ripoti ya CAG imetaja Mambo Mengi ya Kushangaza.
02: Nyeti za watu zinapotea 🤔
03: Maduka Dar Yanawaka Moto Muda Huu.
04: Mafuta Yamepanda Bei Gafla.
05: Bunge Linaendelea na Kuahirishwa Dakika Chache.
#MaoniyaMDAU

Indonesia




