Champion

2.3K posts

Champion banner
Champion

Champion

@Chingy_de_son

Electrical gadget,,, lighter,solver

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2018
359 Takip Edilen197 Takipçiler
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@barakawamb Wanjisahaurisha tulipelekwa darasani na SLOWSLOW kupewa darasa na kumbananga Prof Asad kwenye 1.3 T au wanazani tumesahau ustaa wa prof Asad ulitoka wapi kama sio white elwphant hero Slowslow kutupeleka class.
Filipino
0
0
0
23
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
Nimesikia makelele ya upotoshaji kwamba kwanini Rais Samia hajachukua hatua dhidi ya watu waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Hii hapa elimu ndogo: CAG hutoa ripoti kwa Rais kwa mujibu wa katiba, wajibu wa Rais ni kuipokea na kuisambaza rasmi ili iendelee na hatua zinazofuata, na hafanyi maamuzi ya moja kwa moja kisheria na kiutawala juu ya watu waliotajwa. Rais baada ya kupokea ripoti inapelekwa bungeni, ambapo kamati za bunge kama PAC na LAAC huichambua ripoti, na wahusika waliotajwa huitwa ili kujieleza, na mapendekezo hutolewa, na si kawaida Rais kuchukua hatua hapo hapo. Baada ya hapo Rais na mamlaka zingine kama TAKUKURU huanzisha uchunguzi ikiwa hao watu watabainika katika tuhuma hizo, hatua kama kusimamishwa kazi zinachukuliwa kiutawala lakini huwa sio hukumu ya mwisho. Acheni kupotosha umma,eti angekuwa Magufuli angechukua hatua maramoja, ni wapi katika utawala wake aliwahi kupokea na kufanya maamuzi hapo hapo.
BarakaWambura tweet media
Indonesia
25
16
36
12.2K
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@mafolebaraka Uzuri betting haina chuo kama matakataka yenu ya kupiga watu ela
Indonesia
0
0
0
314
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
Infact kampuni za betting zinaweza fanya anything kuonesha influencers wao wameshinda mikeka as long as itawaongezea influencers wao trust na at the end wao watapata hela. Kuna couple ya evidences za hii mf kuna influencer bongo alishare amount ameshinda ambayo ni kubwa kuliko kiasi cha payout.
Indonesia
38
10
125
32K
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
Wewe unaona influencer wa betting ameweka stake ya 500k. Wewe kichwa kichwa unachukua salary yako ya Tamisemi yote unatumbukiza kwenye mkeka. Kiuhalisia 500k aliyoweka yeye hajatoa mfukoni kwake but wewe 500k umetoa mfukoni kwako then unakuja mtandaoni unasema akiliwa mmeliwa wote.
Indonesia
99
18
239
52.9K
Rwegasira Rwemela
Rwegasira Rwemela@RRwemela·
@Sativa255 Sio kweli. Kipindi cha magufuli miaka mitano alikopa sana kuliko miaka 10 aliyokaaa Magufuli. Kipindu cha magufuli tunakusanya tri 1.7/Mwezi sahivi tunakusanya Tri 3/mwez. Let’s be rational. na mikopo ya JPM ilikua kutoka benki za biashara riba kubwa🙌🏻 ndio inatutesa sasa hivi
Indonesia
9
1
6
1.3K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Kipindi cha MAGU deni la taifa lilikuwa linashuka na MAENDELEO tulikuwa tunayona—njoo zama za Kizimkazi mamae. Deni linapaa na hakuna kinachoendelea ni kama tunasubiri mwisho wa dunia tuu kama taifa. Wasenge wanakopa kwaajili yao na familia zao, afu tunakuja kudaiwa kama TAIFA.
Indonesia
27
93
941
21.7K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Ngosha alimkwara Manji Coco beach pamoja na kwamba jamaa alishinda kesi mahakaman mwamba akamwambia hawekezi mtu hapa hata hukumu itoke mbinguni 😅😅 Ngosha akawapa COCO wauza mihogo na mishkaki the rest is history MTANIKUMBUKA alijisemeaga baba wa watu 😅😅
Indonesia
19
51
710
34.4K
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@JChissu55685 Hakuna sababu ya msingi wamelipika huko ndani wanaharakati uchwara wakabeba agenda wanatembea nayo
Indonesia
0
0
0
108
jay
jay@JChissu55685·
😂😂😂chuki dhidi ya jakaya inazidi kuwa kubwa mno, nadhani watu wanasababu za msingi.
jay tweet media
Indonesia
21
9
151
9.1K
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@Badman001_ Mbona hapo hamna kosa man, kosa ni kujua betting ndio maana tunasema wa ndani wandani wanje wanje kama unajua betting hiki kilichoyokea ni kitu cha kawaida
Indonesia
0
0
0
3
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@TriciaAbou Uzuri ni kwamba hili game habembelezwi mtu na hii sio kitu cha ajabu kwa wacheza kamali so fuck off
Indonesia
0
0
1
236
Throneforge
Throneforge@MrShow_us·
Huyu mkamaria weka namba anko ushindi kama jina lako.
Champion@Chingy_de_son

@MrShow_us Umeomba ku withdraw pesa ambayo haujaibetia yaan uli deposit alaf kabla ujaibetia unataka kuitoa

Filipino
1
2
2
145
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Huyo Engeneer hakuona hizo nyaya za umeme hapo? 🤔
Narrowbeefly tweet media
Filipino
51
25
294
31.2K
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@MrShow_us Umeomba ku withdraw pesa ambayo haujaibetia yaan uli deposit alaf kabla ujaibetia unataka kuitoa
Indonesia
0
0
0
174
Throneforge
Throneforge@MrShow_us·
kama kawaida ni muda wa challenge atakaepata anakula 7k . Apo kwenye comment toa sababu kwa nini huo muamala umekwama
Throneforge tweet media
Filipino
11
6
15
1K
killo_Killotz
killo_Killotz@killo_killo11·
Kuna mchezaji bongo anae mzidi lddy Nado kwa ku drip🤷‍♂️
killo_Killotz tweet media
18
13
131
4.9K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
Wanaonufaika na Betting ni wachache kuliko wengi, kwenye 100 wanaweza kuwa 10, it's sad truth but it's what it is. Sio kwamba ni UTAPELI lakini ni nzuri kama upo kwenye SYSTEM
Bony 📚 tweet media
Filipino
99
49
608
57.2K
Champion
Champion@Chingy_de_son·
@IAMartin_ Kwan si mlisha conclude kwa waislamu hatuna Akili sasa ya nin kutwa kucha kujmtujadili? Tuacheni wazee sisi tunataka ubwabwa tuu.
Indonesia
0
0
1
120
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4, na 7:103-105). UISLAM ni DINI nzuri. UISLAM siyo dini ya wahuni. BAKWATA ndiyo wanaichoresha na kuifanya ionekane ni sehemu ya matumizi ya dola. Jambo ambalo linachafua taswira nzuri ya UISLAM. BAKWATA wenyewe hawaelewi wanataka HAKI, AMANI au WALI.
Martin Maranja Masese tweet media
Indonesia
83
108
755
39.2K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Hapa mnasemaje?
ProsperNow. tweet media
Indonesia
44
15
113
11K
Santos
Santos@OffSantos26·
Kwhy Arsenal wanaona wao ni favorite kushinda UEFA mbele ya Bayern, Barcelona, Real Madrid, PSG, ATM na Liverpool.
Indonesia
40
7
138
5.9K