Chris retweetledi

TAARIFA KWA UMMA
"Tumepokea kwa masikitiko taarifa ya tukio la kutekwa kwa msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndugu David Jumbe. @ACTwazalendo tunalaani kuendelea kukithiri kwa matukio ya utekwaji wa watu."
N/Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu
@Mbaralagande
#HakiItendeke

Indonesia








































