Cleo Codez

1K posts

Cleo Codez banner
Cleo Codez

Cleo Codez

@CleoCodez

👀

127.0.0.1 Katılım Haziran 2024
341 Takip Edilen106 Takipçiler
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Umri gani watu wengi wakifikia huwa wanakata tamaa kabisa ya kutimiza ndoto zao kubwa kuliko?
Indonesia
16
5
75
5K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Hivi kuna Mfanyakazi Serikalini analipwa Mil 10 kwa mwezi? 🤔
HT
63
31
448
39.2K
Sarafina
Sarafina@Finah_Business·
@CleoCodez Sahani iwe ndogo na Moto unaset mdogo
Indonesia
1
0
0
9
Hassan Khamis 🇵🇸
Hassan Khamis 🇵🇸@hassankham1s·
Mwandishi Khalifa Said ni miongoni mwa sauti chache katika uandishi wa habari wa Tanzania wanaochanganya taaluma, uadilifu na ujasiri wa kusema ukweli. Ameendelea kujenga nafasi ya uandishi unaolenga si tu kutoa taarifa, bali kuelimisha na kuhamasisha fikra pana za kijamii. Anajitofautisha kwa uwezo wake wa kuchambua masuala magumu kwa utulivu na umakini, akitoa hoja zenye mizani na ushahidi badala ya mihemko. Uandishi wake unaonesha nidhamu ya kitaaluma, heshima kwa wasomaji, na dhamira ya dhati ya kuona jamii inapata maarifa sahihi ili kufanya maamuzi yenye tija. Huu ni uandishi unaojenga, si kubomoa. Katika mazingira ambayo mara nyingi yanakumbwa na kelele za taarifa zisizo na kina, Khalifa Said anasimama kama mfano wa mwandishi anayezingatia ukweli, uwajibikaji na maadili ya taaluma. Ni aina ya uandishi unaohitajika zaidi katika kujenga jamii yenye uelewa, haki na mwelekeo sahihi wa maendeleo. Kwa mantiki hiyo, ni wajibu wa jamii, wasomaji na wadau wa habari kuunga mkono kazi zake na kuenzi mchango wake katika kuendeleza uandishi wa kina, huru na wenye uwajibikaji. Kuunga mkono uandishi wa aina hii si tu kumsaidia mwandishi mmoja, bali ni kulinda mustakabali wa ukweli, haki na mjadala wa maana katika jamii yetu.
Hassan Khamis 🇵🇸 tweet media
Indonesia
47
197
1.1K
37.5K
Chief Kimbawala 🌍🇹🇿
@mshambuliaji Huyo kiongozi wa upinzani wa Israel ni mpuuzi tu. Lengo la vita ya Iran ni kumpokonya Iran uwezo wa kuzalisha Nyuklia bomu na kuharibu uwezo wa Iran kuwa na makombora ya masafa maref Had sasa Israel na Marekani wamefanikiwa maana walishaharbu uwezo huo wa Iran na kuua leaders
Indonesia
5
0
4
397
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Kiongozi wa upinzani nchini Israel, Yair Lapid, amesema Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameshindwa kisiasa na kimkakati kufikia malengo ya vita dhidi ya Iran, akielezea hali ya sasa kama “janga kubwa la kisiasa katika historia ya Israel.” Katika taarifa yake, Lapid amesema: “Netanyahu amefeli kisiasa, amefeli kimkakati, na hakufanikisha hata lengo moja aliloweka yeye mwenyewe.” Kauli hiyo imekuja baada ya makubaliano ya sitisho la mapigano la muda kati ya Israel, Marekani na Iran, ambapo Lapid alikosoa serikali kwa madai kwamba Israel haikuhusishwa kikamilifu kwenye maamuzi muhimu ya usalama wa taifa. Lapid, ambaye anaongoza chama cha Yesh Atid, amesema kuwa malengo yaliyotangazwa mwanzoni mwa vita — ikiwemo kuondoa tishio la makombora, kudhoofisha uwezo wa kijeshi wa Iran, na kufikia ushindi wa kimkakati — hayajafikiwa hadi sasa. Aidha, ameitaka serikali ya Netanyahu kutoa maelezo kwa wananchi kuhusu mwelekeo wa vita na sababu za kushindwa kufikia ushindi uliotangazwa awali. Wachambuzi wa siasa za Mashariki ya Kati wanasema kauli ya Lapid inaweza kuongeza presha ya kisiasa kwa serikali ya Netanyahu wakati ambapo taifa hilo linaendelea kukabili changamoto za kiusalama na kidiplomasia. #KitengeUpdates
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
22
11
221
18.1K
Cleo Codez retweetledi
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Kama kuna kitu nakuaga mkali pamoja na mapenzi yangu na Technology ni baby mamas wangu niwakute wanaGoogle google au wanaChatgpt vitu vya afya ya mtoto. Huwa namind sana yaani.😡 Piga simu kwa daktari mpe hata Liten kama huezi enda hospital kwa wakati huo.
Filipino
25
29
331
14.5K
Cleo Codez
Cleo Codez@CleoCodez·
@Ndera_Wirtz Wewe unajuaje dozi sio zenyewe? Au baada ya kufika hiyo private dawa za awali hazijaanza kufanya kazi?
Indonesia
0
0
0
5
Ndera_LFC
Ndera_LFC@Ndera_Wirtz·
Tanzania wataalamu wa afya hamna kitu mara nyingi wametupa dozi ya ugonjwa sio wenyewe, unakunywa dawa unaona kabisa hadi haja ndogo inabadilika rangi unaenda private unaambiwa dawa sizo, mimi ni muhanga, Tanzania kila kitu ni uozo hakuna uwanda mpana wala nini!
mimilicious🌹🍒@amina_hafidh

Mmeona watu wanaokuwa wajuaji hospitalini eegh? Ukisoma hapo vizuri Sara hakuna anachokijua ila kakwepa treatment kwa kudhani yeye anajua kila kitu kuliko anaemtibu Tuheshimiane kwenye majukumu wakuu medicine ina uwanda mpana sana,tusiwe wajuaji

Indonesia
1
0
0
34
Abdul Hameed
Abdul Hameed@Ahameed449·
@nexta_tv Now its going out of control, we have to stop this 😉😂
Abdul Hameed tweet media
English
16
4
119
55.7K
NEXTA
NEXTA@nexta_tv·
A new trend is taking over social media ❤️ Women are trying to recreate a heart shape. These photos are getting hundreds of thousands of likes and views.
NEXTA tweet mediaNEXTA tweet mediaNEXTA tweet mediaNEXTA tweet media
English
401
472
10.2K
2.3M
Cleo Codez retweetledi
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
"Chipsi za Kwa Mpemba" Repost yako wengi wajue 🙏 Menu iko available @Pikitz1
Mudi Mabiriani in Dubai tweet media
Indonesia
2
45
73
14.7K
Billy
Billy@BillyTronix1·
🤣🤣
ART
1
0
11
1.1K
Ten Hag United 
Ten Hag United @heis_tenhag·
Unaenda kuwa jambazi kuu unamfira afu akulipue na bomu kama yule adui wa mwanzo
MRENO⛑️@mreno255

Hello @thekiranoir, if another episode of machine gunner is gonna happens, please include me in the cast list. I don’t need any payment only i need is you. If you’re reading this, please reply.🙏🏿😁

Indonesia
2
2
2
70