Cyprian

1.7K posts

Cyprian banner
Cyprian

Cyprian

@CyprianwaMercy

From the ground to gold. Investor | Entrepreneur. Focused on progress.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2012
1.2K Takip Edilen279 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
SWALI: Ikiwa una idea, itakayotengeneza ajira na kuitambulisha nchi kimataifa. Na unapaswa kuunda team yenye ushawishi pamoja na malengo yenye kuitendeleza idea yanayofanana. Nani anafaa kua wa kwanza kwenye team yako kwa upande wa ushawishi na kuamika. NB: piga kura kwa haki.
Indonesia
2
3
2
360
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@StephanoPerfect @Millambo_ Kaka usichoke, ukipata crusher na mwamba uwe unasoma vizuri! Check number hiyo unairudisha na mafao unawachia serikali inufaike
Filipino
0
0
0
1
Pipsologist.
Pipsologist.@StephanoPerfect·
@CyprianwaMercy @Millambo_ ahaaa sawa kaka..hopefully one day yes,, nimepambana me nimepata license ya sehemu ya kupata material,,napambana nipate tu crusher nifie site 😂😂mwendo wa mwaloni porini mwaka mzima nione
Filipino
1
0
0
5
Revocatus Millambo, Ph.D.
Wewe unajua process. Wengi wanadhani ni kuweka hela na kwenda baa. Ndio maana wengi wanapoteza. Inahitaji kujifunza na kufanya kazi kwa weledi bila kubahatisha. Sasa vijana wanataka sure bet, badala ya kulipa gharama ya kujifunza ili uingie ukiwa na taarifa sahihi.
Cyprian@CyprianwaMercy

@SemelaEA @Millambo_ Kununua Gold yenyewe 30M ni nyingi kwa mgonga ulimbo! Kwa kuchimba, 15M unanunua na kuset crusher, 5M gharama ndogo ndogo na malipo ya serikali, 10M running costs ya crusher na duara mpaka siku unachenjua.

Indonesia
1
0
14
1.6K
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@FrankFedric Ukiwa na crusher ni backup tosha,wateja watakuja kusaga kwako, ukisaga mwagia kwa muda mrefu mlima unazidi kukua, mambo yakibana unakamatisha na kuuza kazi unaendelea, that's why nilisema ukiingia huku uwe mvumilivu zaidi ya mgonga ulimbo
Indonesia
1
0
1
11
riico
riico@FrankFedric·
Kwa 30M kama huna backup usichimbe, nunua kama kota then Uza Low risk, return ya kawaida ila ukikaza ni rahisi zaidi kutoka huku ukilinda mtaji
Cyprian@CyprianwaMercy

@SemelaEA @Millambo_ Kununua Gold yenyewe 30M ni nyingi kwa mgonga ulimbo! Kwa kuchimba, 15M unanunua na kuset crusher, 5M gharama ndogo ndogo na malipo ya serikali, 10M running costs ya crusher na duara mpaka siku unachenjua.

Indonesia
1
0
1
50
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@StephanoPerfect @Millambo_ Kaka @StephanoPerfect mm nipo Songwe, nmetoka illusion sina muda sana, so nilichokipata nimerudisha kwenye kujenga plant, Bukombe ntatembea siku kuja kujifunza na kuvumbua fursa zaidi.
Suomi
1
0
1
12
Pipsologist.
Pipsologist.@StephanoPerfect·
@CyprianwaMercy @Millambo_ Cyprian seti crusher huku bukombe...nikupe sehemu ya kupata material mle kigosi mawe yenye ppm nzuri kbs tuandae senga
Indonesia
1
0
1
24
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@SemelaEA @Millambo_ Kununua Gold yenyewe 30M ni nyingi kwa mgonga ulimbo! Kwa kuchimba, 15M unanunua na kuset crusher, 5M gharama ndogo ndogo na malipo ya serikali, 10M running costs ya crusher na duara mpaka siku unachenjua.
Filipino
0
1
2
2K
Revocatus Millambo, Ph.D.
Juzi nilikuwa na mwanangu anauza dhahabu anakwambia ukiona magari makali hapa mjini wewe jua ni wanasiasa, au wafanyabiashara wa madini au matajiri wa Kkoo. Akija Dar, sehemu analala 500K kwa siku. Jamaa anasisitiza ukiwa na 90M unapata faida ya 200M+ kwa mwaka kwenye dhahabu.
Kante@MkulimaKante

Kuna sehemu kulala tu kwa siku 700,000 na kuna wanene wanabook kulala hapo mwezi mzima💔 Kuna muda haya maisha yanaweza yakakufanya umuulize Mungu swali gumu kuwa hivi ni kweli Mungu ni wa wetu sote?

Indonesia
12
11
188
22.1K
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Kaka mm ni broker nipo field singer kwa kubahatisha, hizo za mtoni nazifahamu na za mwamba nazifahamu!
0
0
0
21
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
5M inatosha kabisa Kutoka kuwa mlinzi hadi mnunuzi wa dhahabu mkubwa ndani ya miaka 5 tu jamaa yangu sana yupo Chunya sasa Hivi Unajua ilikuwaje na nini Siri mpaka kufanikisha Kanielekeza vitu vingi sana,,, Anasema kwamba unaweza kuanza na mtaji wa 500k-5M inatosha. Ila sasa👇
Indonesia
15
50
344
30.9K
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Watafuta nyunga wenyewe sikuhizi wanaleta kwa broker moja kwa moja, unless uwe winga umdake ukale kwenye point
Indonesia
0
0
0
8
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
@CyprianwaMercy Nunua zile nyunga wanakusanya nenda kakamatishe unauza hiyo dhahabu ya faida watu wanapata sasa
Indonesia
2
0
1
39
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Mifumo ni pamoja na kujua unatakaje, kumiliki duara, kumiliki ofisi(a bit risky),kua winga(nzuri kwa mtafutaji) all in all ni biashara kma biashara zingine tu ni kujua inatakaje
Indonesia
0
0
0
47
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
@CyprianwaMercy Biashara ya dhahabu ninajua ngumu ila yatak mfumo ukiokosea utalia ukiupatia easy
Indonesia
1
0
0
19
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Hawa kabisa ukawadanganye na generator? Generation differ brother! That's why nikasema sijui ulipo Ila huku kwa kina Gaby wamejanjaruka
Indonesia
1
1
1
163
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
@CyprianwaMercy Hapo unafanya official business sasa pale mgodini kuna dhahabu za kusekesa mtoni hapo ni local kbsaa uwe na generator maji ambayo ni 300k na pipe haziwezi zidi 200k hapo 500k kwa kuanzia unatafta sehem ya mto hamna kizuizi wape vijana mashine nb wanazitka sana wafanye kazi alafu
Indonesia
3
0
0
231
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Kaka if it was this easy kila mtu angefanya, hizo nyunga watu wanakamatisha na kuleta ofisini. Mambo yamebadilika
Indonesia
0
0
0
17
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Kama ni kumiliki duara utahitaji vingi zaidi,machine ya kusagia(karasha-12M) duara litakalokusaidia kukusanya mlima for elution. Na hapa ndio kwenye hela kuliko kwnye kua na ofis ya kununua gold if well managed.
Cyprian tweet media
Indonesia
0
0
0
41
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
@CyprianwaMercy In short sjaelewa kuhusu huyo mshikaji kuhusu alikua vp ila nimemuunganisha tu kama example ila full experience niliyo toa hapo ni ya kwangu muda niliotumia kukaa mgodini nikajifunza Ndo kuna sehem nimesema so kwamba watu hawafanyi biashara ya dhahabu et hawana mitaji ila uzoefu
Indonesia
3
0
0
226
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@zed_officially Ww ndio huyo mlinzi? Maana hapo umeleta story ya mshkaj wako mlinzi! Mm the best experience naweza toa ni mtu kuja field hizi kazi hazitaki theory ni more of practice!
1
0
1
222
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
@CyprianwaMercy Nimetoa kutokana na uzoefu wangu kwahyo kama na wewe una. Uzoefu wako toa Pia ukisoma kwa makini humo nimeelezea vizuri
1
0
3
985
Cyprian retweetledi
Magogoni Daily
Magogoni Daily@magogonidaily·
Kwa mara ya kwanza Tanzania imezalisha magari ya umeme. Yametengezwa na kampuni ya Jenga Taifa Pamoja Auto Limited (JTP Auto) kwa kushirikiana na kampuni ya China (OEMs), yakitazamiwa kuleta unafuu mkubwa wa gharama kwa watumiaji.
Magogoni Daily tweet mediaMagogoni Daily tweet media
Indonesia
11
24
127
18.2K
Cyprian
Cyprian@CyprianwaMercy·
@gabyconscious Chalii alichoma ada yote ya ardhi uni!! Sasa hv ada inabidi ilipwe bila kupitia kwenye channel yake...!! Mana mpaka sasa bado familia inamuona kama karogwa, oya asishike 100k utakuta tayari kashajifungia ndichi
Indonesia
1
0
6
744