Sabitlenmiş Tweet

....Kuna jamaa wanachapa pesa mtandaoni bhana!
Ukiniuliza kwa Bongo soko la Information Marketing linakuwa kwa kasi sana.
Ukiangalia mtu kama @isaack_nsumba , @NyandaAmosi ni miongoni mwa wabobevu kwa kuuza taarifa mtandaoni.
@Mkunga_Og anamkimbiza mwizi kimya kimya kwa kuuza bidhaa za taarifa za afya.
Wako wengi sana,
Kina @jnanauka ,
@GillsaInt ,
@Sam_instaGuru,
@gabyconscious,
@ally_eh,
@meetmelch,
@meetkhaled_,
@sajo_mwaihabi,
@Psiteshio1,
@ShukuruAmos,
@jorammtanzania,
@kelvinkibenje,
@SeifJamal21,
@mafolebaraka
@Joshuamsuya_
@kabigwa_78
Na wengine wengi..
Hawa waliamua mali yao kuipata shambani.
Binafsi huwa naamini kuwa INTANETI indo fursa pekee ya kumtoa mtoto wa mkulima na hakuna mtu wa kumkwamisha.
Sema watu wengi wanapokuwa mtandaoni wanakosa kujua wafanye nini ili kufika nchi ya ahadi.
SASA, ni zamu yako...
Kwa siku 335, tangu huu mwaka uanze nimekuwa nikiandika E-Book ya:
"Wewe Ni Mgodi: Sayansi ya Kubadili Akili, Ujuzi, Maarifa na Kipaji kuwa Pesa."
Pengine, hiki ni kitabu cha lazima kusoma kwa kijana yoyote wa Kitanzania ambae ana ndoto za kufanikiwa kupitia mitandao.
Kitakusaidia kujua chimbo, jinsi ya kujenga brand na kuji-postion na hatimae kulima online.
Kama wewe sio mmoja wao, basi hakitokufaa. Achana nacho.
Hapa tunahitaji kuzalisha wakulima wa mtandaoni tu.
Na Leo hii natoa Ofa ya E-Book hii rasmi kwa watu 50 Tu kwa mwaka huu 2024.
Hawa watakipata kwa bei ya OFA lakini pia watahudhuria MASTERCLASS ya kukichambua kitabu LIVE.
Ukibahatika kupata nafasi unapata na Bonasi zaidi ya 15, + zingine za surprise.
NB: Ni watu 50 tu wa kwanza.
Ukikosa fursa hii umependa mwenyewe kubaki nyuma.
Mpaka sasa nafasi zimebaki 45. Hata saa haijaisha.
Kuwahi siti yako: Link ya bahati hii hapa.
wewenimgodiebook.gr-site.com
#WeweNiMgodiOutNow

Filipino














