Sabitlenmiş Tweet
D🇹🇿
3.7K posts

D🇹🇿
@Daninga009
Insight on personal growth//Psychologist/Educator/Content creator
Tanzania Katılım Eylül 2020
3K Takip Edilen1.9K Takipçiler

Picha kutoka Kikao cha CHAUMMA na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bwana Parfait Onanga-Anyanga.
Katibu Mkuu, Mhe Salum Mwalim, akiambatana na Katibu wa Sekretarieti, Ndugu, Edward Kinabo, waliwakilisha Chama.
Chaumma inaamini kwamba "mazungumzo" ndiyo njia sahihi zaidi ya kuliponya na kulikwamua Taifa kutoka kwenye mtanziko wa kisiasa wa tangu na baada ya uchaguzi Mkuu wa 2025 na kuweka misingi madhubuti ya Haki na Demokrasia ya kweli kupitia kuandikwa kwa katiba mpya na kuimarishwa kwa mifumo huru na ya kuaminika ya uchaguzi.


Filipino

Hivi kuna binadamu mwingine anayepitia magumu kama @ChademaTZ2 hapa dunia?
CHADEMA ingekuwa ndio binadamu sijui angekuwa na hali gani, Chadema ni JIWE, Chadema ni CHUMA, CHADEMA ni kila kitu unachojua ni kigumu, acheni masihara wazee😅
Sema mimi nawaambia
"Mungu sio mwanadamu"

Indonesia


@Masstown_ Huyu kwanza anafaa aamkie MILEMBE, Sura imekomaa kama koromeo alfu anataka mwenye hela
Indonesia
D🇹🇿 retweetledi
D🇹🇿 retweetledi

MEDIA ZA BONGO ZIMEGEUKA KASUKU-Anachoongea MADELU wao wanakiandika kwa maneno kwenye Caption. Ni kama watanzania wote ni VIZIWI hawasikii.
Wamejipa kazi ya kutranslate yanayosemwa na wakina MADELU kwenye Caption. Hayo ndio maisha wa Waandishi wa habari wa BONGO.
Hawana akili ya Kuhoji kama anavyohoji huyu muandishi wa Kenya. Kazi ya uandishi sasa kwa bongo inafanywa na mtu yeyote anaejua kusoma na Kuandika.
TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
D🇹🇿 retweetledi










