Dar city fc
108 posts

Dar city fc
@Darcityfc1
Football is business.
Ilala, Dar es salaam Katılım Ocak 2022
35 Takip Edilen345 Takipçiler


@WKazinja84310 @mshambuliaji Si ndo huyo alikuwa na bimsumi wakisainishana mikataba ya kuuza nchi
Filipino

Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Mohammed bin Zayed Al Nahyan, ametoa onyo kali kwa maadui wa nchi hiyo, akisisitiza kuwa taifa hilo lina nguvu na hali yake si rahisi kudanganywa.
Katika hotuba yake, Rais alisema:
“Msidanganywe na muonekano wa UAE, ina ngozi nene na nyama chungu, hatuko rahisi kama mwanya.”
Kauli hii inafafanua msimamo thabiti wa UAE katika kudumisha usalama wake na kulinda masilahi yake, huku ikionyesha kuwa taifa linaweza kukabiliana na changamoto yoyote bila hofu.
Viongozi wa nchi hiyo wamekuwa wakisisitiza utulivu wa kimataifa.
#KitengeUpdates

Filipino

@chimbuko_ @millardayo Saaana na wengi wanaompotosha hawamtakii mema ndo watakuwa wakwanza kumcheka siku akijaaibishwa na ICC maana hata magu alipokuwa hai walijifanya wanampenda
Indonesia

@millardayo Kuna mikenge ya CCM inajificha kwenye kichaka cha sovereignty. Wanafikiri ukishakuwa Rais unaweza kuamka Asubuhi na kuua wananchi kwa kichaka kuwa nchi yako ni taifa huru. Wajinga wanampotosha sana yule Bibi na wanamjaza upepo. 🚮🚮🚮
Indonesia

Uingereza imetoa ombi kwa Umoja wa Mataifa (UN) kuhakikisha inaitaka Tanzania kuruhusu uchunguzi huru, ulio wazi na wenye ushirikishwaji kuhusu matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliyoshuhudiwa October 29,2025 na baada ya tarehe hiyo uchaguzi ikiwemo tuhuma za mauaji na kufichwa kwa miili.
Balozi wa Haki za Binadamu anayeiwakilisha Uingereza kwenye Umoja wa Mataifa, Eleanor Sanders amesema hayo wakati akitoa hoja yake kwenye Baraza la Haki za Binadamu la 61 la UN ambapo Uingereza imesema uchunguzi huru utasaidia kuleta uwajibikaji na kulinda uhuru wa Watanzania na Katiba ya Tanzania.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@HildaNewton21 Yatakabal Ismail Yatabal Inshalah kumaamake huo wema mnaosema nyie LISU akitoka hana😂😂😂
Indonesia

@Sativa255 Kwani SATIVA mwema,,,
Huo wema mnaosema nyie Sativa hana… YATAKABAL ISMAIL YATAKABAL INSHAALLAH😂😂😂
Indonesia

Huyu KUMA akija KUFA nchi itasherekea kumamake.
SIR TIVA@Sativa255
HILI JINI mbona kama limepoteza Afya ghafla. Damu za ndugu zetu zinamlilia huyu. POMBE KALI Ndio msaada wake pekee uliobaki. Hakuna kitu nasubiri kwa hamu kama KIFO CHA HII TAKATAKA. Hata nikianza kufa mimi naomba mtakaobaki FANYENI SHEREHE WANANGU. TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia

@elonmuskTRENDSX I know trump and Obama only
Who is that two people 😄
English

@Sativa255 Ukisoma Yaliyoandaliwa na PHD MAN unasikia raha adi raha japo sidhan kama vibaraka wao wanaowatumia kwenye attacking midfielder wataelewa lolote hapa maana wengi wao ni 4m4 felia kama mkubwa wao aliyejiwekaga waz mwenyewe bila kusurutishwa maskin ya Mungu🙄🙄🙄
Indonesia

Ameandika Askofu Benson Kalikawe Bagonza
NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?!
1. SAFARI YA VATICAN
Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre wake; Tumetengeneza Wakatoliki Vijora; Tunamdhalilisha Kitima, halafu tunaenda kwa Papa. Hatari ipo ya kuambiwa, “Kama hamkumsikiliza Musa na Manabii, hamtaweza kushawishika hata mtu akifufuka”(Luka 16:31). Patana na mshtaki wako kabla ya kwenda kwa Kadhi.
2. MABEBERU:
Tumezoea kuzizodoa nchi za Ulaya kuwa ni mabeberu. Vatican iko Ulaya. Je, Hata Papa ni Beberu? Naye anataka kuchimba Uranium yetu?
3. AMANI YA NCHI
Wizara ya Mambo ya Nje inamuomba Papa aiombee nchi yetu iwe na Amani na Utulivu. Wizara ya Mambo ya Ndani inasema nchi iko salama imetulia. Hawawasiliani? Nani msemaji wa nchi?
4.MARIDHIANO
Wazee wa Chama wanataka Maridhiano. Bunge linasema nchi iko sawa. Tume iko kazini kuchunguza. Nani mkweli? Je kuna ukweli tusioujua hadi tuumulike kwa tochi ya Tume? Je tunataka maridhiano kabla ya ukweli?
5. CHADEMA na CCM
Wapo wanaosema Chadema Imekufa lakini wanaisema kila siku. Huyu ni marehemu mwenye nguvu. Makada wa CCM wanasema CCM tunatamba nayo. Ukiiangalia unaiona ni mfungwa asiye na pingu. Nani zaidi kati ya marehemu anayeishi na aliye hai lakini amekufa?
6. YALIYOTOKEA OKTOBA 29
Siku hii inatusumbua mpaka tunaenda Vatican. Bado kwenda Mecca. Kama waliokufa hawajulikani; waliowaua wanajijua. Dunia inajua makundi yote mawili. Hekima ya WAJALUO inasema, “kuchelewa kwenda kujisaidia, hakuzuii njaa kuuma”. Tukubali: Tuliua, Walikufa; tuombe radhi, tuwajibishane na kusonga mbele.
7. TUNDU LISU
Waliompiga risasi hawajakamatwa lakini walioiba michango yake wamekamatwa. Yeye yuko rumande. Mahakama imeenda likizo na haki yake iko likizo. Fikiria daktari akienda kupumzika katikati ya operesheni mgonjwa?! Tunajikanyaga mpaka tunajiudhi.
8. WIZARA YA MAMBO YA NJE
Hii Wizara inaonyesha tuko vitani. Kimsingi ina mawaziri 4: Kombo, Kabudi, Nyalandu na JK. Msiniulize JK ni nani maana mtamuona anatumwa katika masuala magumu huko nje. Waliobaki 3 na manaibu 2, wanaunda kikosi kazi cha mawaziri wa wizara. Msiniulize nani ni Boss maana Kabudi anaweza kujikuta ni Naibu Waziri. TUNAJIKANYAGA MNO.
9. Taifa likiwa katika mtifuano kama tulio nao, linakuwa kama mgonjwa. Hawezi kwenda kwa daktari akagoma kuvua nguo. Tuvue zote na madaktari watuingizie vidole kila mahali ili kubaini ugonjwa ulipo ndipo tutibiwe.
Wajaluo wakibanwa TEZI DUME husingizia wanaumwa kichwa. Sasa Wajaluo wa TEZI JIKE hao usiseme!
REPOST

Indonesia

Ilaaniwe ile siku aliyozaliwa huyu Mwanamke, Lilaaniwe tumbo lililombeba, Walaaniwe waibarikio siku hiyo, Ujio wake kwenye Dunia hii umekuwa ni msiba na kilio cha kudumu kwa maelfu ya Watanganyika.
Leo Samia ametimiza miaka 66, Miaka 6 akijiita Raisi wa Tanzania, Ni ombi letu kwa MUNGU usiongezeke mwaka mwingine kwake, Machozi na Maombolezo ya Watanganyika yafike na kusikika mbele za Mungu. Wote tuseme AMEN.

Indonesia

@ChademaTdm @HildaNewton21 Serikali inajengwa na mihimili mitatu ambayo ni bunge mahakama na….
Sasa kama bunge ni miongoni mwa mihimili ya serikali unapata wapi nguvu ya kuniita ninaakili kisoda pale ninaposema mbunge ni part of government 🤔 jaman tunapowachukia wauwaji nawatekaji tupunguze gubu pia
Filipino

@Darcityfc1 @HildaNewton21 Tayar umeonyesha una akir kisoda tangia lin mbunge awe Serikal
Indonesia

@Sativa255 Alishatwambia Gwajima haya yoote mpk wakaamua kumfungia kanisa leo tumejionea kwa macho yetu wenyewe😭😭😭
Indonesia

@godbless_lema Nyimbo ya kuzikia ndio wanaiimba kwenye pless daah kweli hawa ni wa bei ya jion😂😂😂
Indonesia

@Sativa255 Wakatoliki wa bei ya jioooon😂😂😂 Shame on waliowatuma
Indonesia

@Jindo_1307979 Missing number is any number that is not written in a place where it was supposed to be there
That is a answer 👆
English













