Mr Arsenal

5K posts

Mr Arsenal banner
Mr Arsenal

Mr Arsenal

@ChademaTdm

Chadema kwenye damu

Katılım Ocak 2022
3.3K Takip Edilen5.5K Takipçiler
Beast
Beast@emabilly2001·
Vijana wenzangu' kwa kuwa mimi limenikuta naomba nishare na nyie toka juzi kwenye sehemu za siri nilikuwa nahisi siko sawa nikaamua kupotezea leo naingia harakati asubuhi naona natoka na usaa' 💔 nikaamua kuomba ruksa kuja kupima 👇
Beast tweet mediaBeast tweet media
Indonesia
140
47
473
62.2K
Mr Arsenal retweetledi
Mosam
Mosam@mosam_chande·
#FREENINJA ⚪🔴
Mosam tweet media
QME
0
5
16
144
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Madueke ni taka ngumu.
Indonesia
91
77
1.1K
34.6K
Jafary MAGARI
Jafary MAGARI@fundi_rang·
@ChademaTdm @abelsima45 Umemposti ndugu yangu alikufa akiwa na Maradhi yake na hakuuwawa kama kitu hukijui uliza kwanza. Alikufa mda kabla ya hata maandamano
Indonesia
1
0
0
20
SIMA
SIMA@abelsima45·
Tunduma vifo ni 0 daah, na yule dogo aliyeambiwa shuka kwenye gari, kimbia then akala chuma kwa nyuma.
Filipino
31
91
864
28.3K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mama Ana Komu, aliyetumiwa wa Idd Amin Mama kuishitaki CHADEMA mpaka ikazuiwa kufanya shughuli za kisiasa amefariki usiku wa kuamkia leo.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
112
102
1K
29.1K
Mr Arsenal retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
This interview imetusaidia sana mno Nyalandu amekuwa cooked kwenye international media inayofuatiliwa sana Uzuri kwetu na ubaya kwao lazima watembee na hii narrative ya Nyalandu ambayo ni mbovu na imeoza
Indonesia
22
84
405
15.3K
Mr Arsenal retweetledi
SafariMlevi
SafariMlevi@safarimlevi·
Wale mashahidi wa Siri kwenye kesi ya Mh Tundu nadhan hata madenge alikua ni mojawapo
Indonesia
43
82
876
42.4K
Mr Arsenal retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwa mujibu wa JAJI KYANDE ni kwamba Waandamanaji walipata mafunzo na walilipwa. Nimemkumbuka ndugu MASTA TINDWA (R.I.P) aliefuatwa nyumbani na Kupigwa risasi hadi kufariki. Usiku wa jana NYALANDU kahojiwa na Sky news ya uingereza anaulizwa "nani alitoa amri ya kuuwa?" Anasema Askari walienda kutuliza wananchi ambao walikuwa wanauwana wao kwa wao. Ikumbukwe kabla ya mauwaji yote kuendelea "IGP WAMBURA" Alitoka na press iliyoruka live akiwataka wananchi waingie kulala saa 12 jioni, na kwamba wana "KAZI MAALUMU YA KUFANYA". Baada ya hapo watu walianza kupigwa risasi za vichwa sio tuu waandamanaji mpaka watu waliokuwa majumbani walifuatwa na kupigwa risasi za vichwa. Mtandao ukazimwa na baadhi ya maeneo umeme pia ukazimwa nchi ikaingia GIZANI kwa siku 6. Haya yote ushahidi upo na dunia inajua. Sasa endeleeni kuleta NGONJERA kwenye maisha ya watu, hakuna kitu kigumu kama kutetea UONGO. Leo mnasema watu walipanga haya maandamano nawalipata mafunzo na walilipwa, nafikiri mnatakiwa kutuambia ni wapi mafunzo yalifanyika? Pesa hizo ziliwafikiaje waandamanaji? Tume ilikuwa na MAJAJI wawili na IGP mstaafu ambae pia ni mwanasheria wote hawa ni wataalamu wa Sheria ila ukisikiliza Ripoti ni kama imeandikwa na Watoto wadogo wanaoanza kuota VUZI. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
28
138
757
35.5K
Mr Arsenal
Mr Arsenal@ChademaTdm·
@Adv_innocent Katika sehemu ulifeli n hyo mm Zambia wakinipa uraia crud tena bongo nchi yenye waremavu wa akili
Indonesia
1
0
7
633
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
2022 Nilipata scholaship ya kwenda kusoma khazakstan, nikaambiwa hiyo nchi kuna baridi sana, ila najuta walah ningeenda tu nkafe na naimonia kuliko kukaa Tanzania.
Filipino
34
59
522
12.9K
Mr Arsenal
Mr Arsenal@ChademaTdm·
@AlexSamoja Umeeleweka wao wanachojari n upwiru tuu hawawaz kesho yao
हिन्दी
1
0
1
86
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Dada zetu tunajua mko huru kuchagua bwana, lakini tunaomba muwe mnaangalia watu wa kuwavulia vipago, sisi ni wanaume ila tunajua kuna wanaume wenzetu hawastahili hata kugusa kinena kwa bahati mbaya, tunachoka kila siku Anko yako hajala tunaomba hela ya chakula wakati baba mtu yuko hai, Tukisema hatuna hela Undugu lawama unaanza, Kaka zangu hawanipendi. Tunachoka kbbke📌
Indonesia
10
14
103
8.7K
Mr Arsenal
Mr Arsenal@ChademaTdm·
@sukununu01 Oya tuliza huo mkundu maana naona umepoteana sasa kama hujui aliemuweka ndan Lisu usichangie hoja unadharirisha ukoo wako
Indonesia
0
0
1
49
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Wote tuna mpenda lissu ndio maana kila mtu anatakiwa kutowa mawazo yake ili chadema waone namna gani ya kufanya ili lissu awe njee na gerezani si wanaharakati tu kila mtu anayo haki ya kutowa ushauri kuhusu lissu kwa maana ni mtanzania mwenzetu
SUKUNUNU 🇹🇿 tweet media
Indonesia
20
7
37
1.3K
Anord
Anord@Eliamatonda·
@sukununu01 We mjinga, haujui kwamba CHADEMA sio waliomfunga Lissu, wanawezaje kumwachia hebu acha ujinga wako bwana
Indonesia
1
0
2
46
Odemwingiejr6
Odemwingiejr6@oneyjr6·
Havertz amekosa chanze kama zile free header zaidi ya mara 3 katika mechi muhimu sana wakati tofauti tofauti 🥲
Eesti
2
0
1
218
CPA(T) Boni Fales
CPA(T) Boni Fales@FalesBoni64699·
@fbuyobe CDM akili zenu bana unahis Lisu ana lipi la kuweza kumpa mashart rais kiufup mwenzenu anaomba msamaha ili atoke ukonga leo mariziano imekua ajenda yenu mlipomsema FAM kua kalet mariziano mbaya kwa iyo nyie kichwan mna waza nini kama haikua chuki na chama kimerud nyuma sababu yenu
Indonesia
15
0
1
2.1K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Tundu Lissu ambaye yupo ndani ya kuta za gereza Ukonga asingeweza kwa njia yoyote ile kumtafuta Dr. Chakwera Kwa hiyo hapa hoja ya nani alimtafuta mwenzake it’s obvious ni Chakwera ndiye aliyemtafuta Lissu ama kwa maelekezo, au utashi binafsi. Kauli ya Lissu “Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru” Kwa wasioelewa hii ni lugha yangu kisheria kuhusu makubaliano. Makubaliano yanayotambulika kuwa halali kisheria ni yale yanayofanyika under FREE and genuine consent. Neno FREE hapo linasimama likimaanisha FREE from COHESION or UNDUE INFLUENCE Lissu anaamaanisha kuwa, kwa yeyote anayetaka kuzungumza na yeye kuhusu lolote, asifanye hivyo wakati Lissu kwa kutumia ukosefu wa Uhuru wa Lissu kama UNDUE INFLUENCE kuchagiza maamuzi yake. Kwa hiyo kwa ambao hamjaelewa, Lissu bado amekaza kutuuza kwa mazungumzo yenye ushawishi wa kumpa Uhuru. Lissu anataka UHURU KWANZA ndipo umpelekee hoja mezani aamue kukubali au kutokubali akiwa HURU. Lissu hajataka akatokee Ikulu. Anataka atokee kwenye malango ya Ukonga. Sio kwa huruma, bali on merit either kwa serikali kufuta kesi yake yenyewe ambayo mpaka sasa wameipakisha basi kwa Pilato bila sababu, au hukumu ya NOT GUILTY. Nimeona mnajimu mmoja wa mizimu anatafsiri tofauti ikabidi niweke sawa. Yours, The Hoofman
Filipino
85
343
1.6K
58.7K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Madogo wakitoka kulala uwa kuna ka nusu saa flani hivi ya Utulivu, unaweza kusema watoto si ndio hawa, kumbe wana update mafile. Badae wanageuka Maninja, Ma Spiders 🤣🙌🏼
Filipino
132
174
1.7K
47.1K