
@Baradhuli2 Heri yako mwezetu umezaliwa na baba wiwili na mama wawili
Filipino
King David
6K posts

@DavidIsaya17
A Husband/Blaster/ OSH Specialist / Chelsea FC /Simba sc








Mahakama Kuu ya Kanda ya Morogoro imewahukumu kifungo cha maisha washtakiwa wanne kwa kusafirisha bangi (viroba 16). Waliotiwa hatiani ni Silvanus Julius, (49) mkazi wa Tambuka Reli - Mikumi, Joyce Gidion (49) mkazi wa Yombo Vituka Dar es Salaam, Sophia Samweli (45) mkazi wa Mogo - Mikumi na Frolian Magoha, (36) mkazi wa Idege -Mikumi.


