Mrina Ngowi 🇷🇼

4.2K posts

Mrina Ngowi 🇷🇼 banner
Mrina Ngowi 🇷🇼

Mrina Ngowi 🇷🇼

@DeusCharz

Dangote

Kigali Rwanda Katılım Ekim 2014
1.3K Takip Edilen1.6K Takipçiler
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kipaombele kwasasa ni kujenga ofisi ya mkuu wa mkoa (10B). Hili ni soko la NGUCHIRO ambao kodi wanazokusanya kutoka hapa ndio zinaenda kujenga OFISI ya chalamila. Ndiomaana wanatuuwa na wanatuita NGUCHIRO na hawajali kitu kuhusu sisi.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
41
198
1.3K
26.5K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Sisi ni Vijana wa Chama Chama Mapinduzi 💪🏿💪🏿 na moja ya jukumu letu ni kulinda viongozi wetu hasa mwenyekiti wetu na Rais ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania . Sisi ni askari wake💪🏿.
Thom Mnkondya tweet mediaThom Mnkondya tweet media
Indonesia
83
8
65
10.3K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Mzee Mussa Zungu akipima pamba zake mpya za Uspika kwa ajili ya maandalizi ya kukutana na Kamati za Bunge kabla Bunge la bajeti kuanza
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
22
12
328
30.7K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Nimeshindaaaaaaaaaaa tuzo ya mwandishi bora wa Vitabu Afrika…… Idumu Mizimu!
Indonesia
48
14
70
6.3K
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽@mananajr_·
Aliewekeza milioni 7 kwenye uwakala na aliewekeza milioni 7 kwenye duka la hivi nani anavuta faida nzuri kwa mwezi?
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽 tweet media
Indonesia
132
82
1.1K
98.2K
Balozi
Balozi@madaborjr·
Utaacha lini utapeli? Eti @bonifacejoseph_ tuongee ukweli! Ushawahi ona wapi muamala wa kieletroniki unaandikwa hivi 2700000 badala ya 2,700,000 ? Nikiwaambia huyu Nono ni tapeli mnamtetea. @lifeof_nono komwe acha utapeli au nipe kazi ya kukutengenezea script. Nyoko wewee
Indonesia
25
0
5
14.6K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Leo 04/03/2026 nimepata bahati na heshima ya kipekee kufika mbele ya Tume ya Mh Jaji Chand ya Uchunguzi wa matukio ya 29 Oktoba 2025 na kutoa maoni, mapendekezo na Ushauri wangu. Tumekuwa na kikao kizuri chenye uwazi na uhuru wa kutoa maoni yangu. Namshukuru Mwenyekiti wa Tume Mh Jaji Chande, Katibu wa Tume Mh Onorius Njole na Wajumbe wote wa Tume kwa Ujumla wake kwakunipa heshima hii muhimu. Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet mediaYericko Nyerere tweet media
Indonesia
71
7
42
15.3K
ATIENO
ATIENO@atienomyname·
Mange kimambi unablock kila mtu matako yako kama mbilimbi.
Filipino
26
12
94
3.7K
Mrina Ngowi 🇷🇼 retweetledi
RT
RT@RT_com·
IRAN SHOOTS DOWN AMERICAN F-15 JET — Tasnim
RT tweet media
English
207
1.9K
11.5K
247.6K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Footage from a commercial airliner shows a ballistic missile being launched from Iran.
English
6
8
65
5.8K
Mrina Ngowi 🇷🇼 retweetledi
bELINDA🎬
bELINDA🎬@belindaPINDA01·
Iran mwanaume mmoja anashambulia mashoga wa Israel, marekani, Saudi Arabia, Jordan, Kuwait, Bahrain, Iraq, wote ana wanacheze mbupu la mtu mmoja... Iran 🇮🇷...
Indonesia
11
12
110
4.9K
Sia Da Vinci💎
Sia Da Vinci💎@siadevinci·
Kwaiyo bei ya Mafuta inapanda lini???
Filipino
3
1
31
2.8K
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
BREAKING NEWS 🚨 Ulinzi wa Iran umeachilia video ya makombora kadhaa ya hypersonic ambayo yaliifadhiwa dhidi ya ISRAEL usiku wa leo.
Indonesia
6
12
135
7.2K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
KUHUSU MATARA. Jana kuna watu mlikuwa mnauliza kuhusu ukimya wa @Eng_Matarra baada ya kuwa hapatikani kwenye simu. Leo nimemtuma mtu nyumbani kwa Mama yake mzazi, katujulisha kwamba Matara alipata ajali kwenye hiyo ajali alipoteza simu zake lakin kwasasa anaendelea vizuri. Akipata simu, atarudi online.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
47
153
1.3K
64.2K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
About Iran's Supreme Leader Khamenei killed, it is a PSYCHOLOGICAL WARFARE'
English
86
5
67
41.1K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
👉Am sorry to say this ila moja ya kosa kubwa lililofanyika ni kumfungulia huyu Mzalendo wa Madhabahu. 👉Kuna kauli anaitoa mara ya 4 ambayo si bahati mbaya kuwa yeye ni Hazina ya CCM, akimaanisha President Material. 👉Jana kakiri Kabigumila ni kijana wake alimuagjza kuratibu uchomaji wa sheli, mabasi na vituo vya polisi. 👉 Urais anautafuta kwa nguvu sana tena kupitia Dini, kaplant Vipasta uchwara miaka 6 huko mikoani ili vimsambazie ajenda yake. 👉Asipodhibitiwa huyu anaenda kuwa kirusi kikubwa huko mbele hasa 2030
Dr. Sisimizi tweet media
Filipino
142
10
217
59.4K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
👉 Hadi 2019 Ruwaichi alishaandika barua 4 za kumchongea Pengo kwa Papa, ikabidi Pengo aombe kustaafu hiari 👉 Pengo sasa ni mgonjwa sababu ni Ruwaichi na Jimbo zima linajua 👉Ruwaichi ana kesi Baraza la Maadili Maaskofu ya matumizi mabaya ya madaraka, na kuwatukana watumishi.
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
21
13
34
3.7K
Mtanzania Bin Tanganyika
Mtanzania Bin Tanganyika@mpenda_TANZANIA·
@Sisimizi3 Serikali iache kuwaintertain wazee kama Mzee warioba,huyu Mzee ni kuacha kumuingizia posho na marupurupu yote,ni kumkatia tu Ningekuwa mimi ningeshamkatia mara moja
Indonesia
37
4
35
18.5K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
MAZUNGUMZO YA RAIS NA WARIOBA 👉 Disemba 17, 2025 Mzee Warioba alimtumia ujumbe binafsi, Msaidizi wa Mama akiomba kukutana na SSH ana ujumbe mahsusi. 👉Kwa sababu ya heshima aliyonayo Mama kwa Wastaafu Mama aliagiza kesho yake saa 3 : 00 asubuhi, baada ya kikao cha ulinzi na usalama mtu wakwanza kukutana naye awe Warioba. 👉Siku ya kikao Warioba alichelewa kufika badala ya kufika saa 3 : 00 yeye alifika saa 3 : 45 ila Rais alimuheshimu akamsubiri na alipofika alimwambia Mama anajenda 4 ambazo ni hizo hapo 🎤Yaliyotokea Oktoba 29 🎤Kuomba akatibiwe Nje ya nchi 🎤Ujumbe Tundu Lissu kwa Rais 🎤Kumuombea kijana wake Ukuu wa Mkoa 👉 Kwenye maongezi yao kuhusu Oktoba 29, kwanza alianza kwa kumpongeza kwa ushindi kisha akaanza na yaliyotokea Oktoba 29, Rais alimsikiliza na akamshukuru kwa maoni yake akamshauri kama anaushauri akautoe kwa Tume, ili kuwe na muafaka wa pamoja na akampa namba ya Mwenyekiti wa Tume aombe appointement ya kutoa maoni. (Ila Hakwenda) 👉 Kuhusu kutibiwa nje ya nchi, Mama alimwambia hamna shida fuata tu taratibu, andika barua ukipendekeza kwenda kutibiwa nje. 👉Kuhusu Lissu, Warioba alimwambia Mama kuwa alikutana na Lissu Gerezani Ukonga, Disemba 16, na akaomba afikishiwe ujumbe wa kuomba msamaha aachiwe na akishatoka ataenda nje ya nchi, Mama alimjibu hapohapo hilo siwezi ni suala la Mahakamani hawezi kuliingilia. 👉Kumuombea ajira mtoto wake, Mama alimjibu clear ninateua watu kulingana na uwezo wao na kuangalia namna gani watakua na mchango kwa taifa, ataangalia CV yake kisha kama anavigezo atapewa utumishi wa kuwatumikia Watanzania. Inshort mpaka Warioba anaondoka hakua na uhakika wa ajenda yake yeyote kufanikiwa, ukiitoa ile ya matibabu sasa inavvyoonekana hakufurahishwa kaamua kumchafua Mama. Sikutaka kusema haya ila amenikera, tunamsitiri ila anaamua kuiharibu nchi badala ya kuijenga.
Dr. Sisimizi tweet mediaDr. Sisimizi tweet media
Indonesia
270
28
182
70.8K
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
Mzee Warioba kuchonganisha vyombo vya Ulinzi na Usalama na Rais Dkt @SuluhuSamia ni kukosa busara na maadili ya uzee na uongozi. Tume imeundwa, haijatoa majawabu yeye anachochea machafuko. Mbaya zaidi uporaji, uharibifu wa mali kwake si cha maana. APUMZIKE SIASA, ITAMGHARIMU‼️
Suphian Juma Nkuwi tweet media
Indonesia
302
7
106
26.6K