Dismas kifaru retweetledi

BRO TO BRO
Maisha ni magumu sana hayana huruma na mtu , kaka. Kila siku huja na mapambano mapya. Kuna siku unaanguka, kuna siku unachoka, kuna siku unaumia kimya kimya
Lakini sikiliza vizuri ugumu wa maisha haumaanishi mwisho Ugumu unaonyesha bado umesimama imara na unapambana.
Wanaume wengi tunakata tamaa njiani. Wewe usifanye hivyo. Onyesha ujasiri wa kweli wa kupambana na vita vyako mpaka kieleweke. Ushindi upo njiani 💪
Filipino






