kalulu
25.6K posts



Hotpot set 🔥 Tsh 75,000 Inatunza joto 12hrs 0755693113 📍 Riverside karibu na Micasa Mikoa yote tunatuma

Hii project ya DAR CITY ni ya nani?

Huwa nashangaa sana wanaume wanaokua na mke mmoja na wanakua proud kabisa halafu huko nje wana vimada wasio na idadi. Dini za mapokeo zimetupumbaza sana. Real men wana mke zaidi ya mmoja tena sio kwa kujificha.


Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi amemuagiza Wakala wa Uagizaji Mafuta (PBPA) kuhakikisha kuwa Maghala yote makubwa ya usambazaji wa mafuta yanapata bidhaa hiyo kwa wakati, ili kuimarisha upatikanaji wake Nchini kote.. Akizungumza Jijini na Waandishi wa Habari hii leo Machi 26, 2026 Ndejembi ameelekeza kuwekwa mfumo madhubuti wa upangaji wa ratiba ya ushushaji wa mafuta ili kuhakikisha maghala yote makubwa yanayohusika na usambazaji wa mafuta yanapata mafuta kwa usawa na kwa wakati. Ameeleza kuwa Serikali imekubaliana kuharakisha ushushaji wa meli za mafuta zinazoingia Nchini, hususan kwa ajili ya matumizi ya ndani, ili kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea kuwa wa uhakika na salama. Aidha Waziri Ndejembi amegusia uwezekano wa kupanda kwa bei ya mafuta siku zijazo ambapo amesema "bei mafuta inaweza kupanda kutokana na changamoto za usafirishaji wa meli kupita katika maeneo yenye hatari, hususan mlango wa bahari wa Hormuz” #MillardAyoUPDATES


" Hio ni mentality ya Umaskini"-Kenyan Pop Musician Bien decided to school Tanzanian Radio Presenters!

" Hio ni mentality ya Umaskini"-Kenyan Pop Musician Bien decided to school Tanzanian Radio Presenters!


Uganda exported $6.4 billion worth of gold in 2025. Gold has overtaken coffee to become Uganda's largest export product.









