🫵🏿
9.6K posts

🫵🏿
@EliaIsAlive
BILA KUCHOKA. 💪🏿
Tandahimba, Mtwara, Tanzania. Katılım Eylül 2012
926 Takip Edilen849 Takipçiler

@gratian_barbosa Kama unaishabikia Tz utaachaje kuishabikia England??
Hawa ni mapacha...kwenye klabu zao wanabebwa na wasio wazawa..wakiachwa wenyewe ndio hata Liechtenstein anajipigia
Indonesia
🫵🏿 retweetledi

🗣️ Moisés Caicedo: "Why the number 25? Because of an Ecuadorian player who played in the Premier League: Antonio Valencia. He used to wear the number 25, and that's the reason. He was my inspiration growing up. So, when they asked me for the number I wanted, I stuck with 25."
The Chelsea star paying homage to the great Antonio Valencia in the Premier League. Impossible not to admire the man who spent nearly 15 years in England and rose to become captain of Manchester United. 🇪🇨

English

KARUSHE VIDOLE JUU-HUNA UNACHOJUA.
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)@mafolebaraka
Wewe waambie watu ukweli kuhusu matreni yako janja janja.
हिन्दी
🫵🏿 retweetledi

@Thommunkondya Fanya kwanza research kabla hujatweet, unajiaibisha na tai lako hapo unaonekana hujui kitu.
Indonesia
🫵🏿 retweetledi
🫵🏿 retweetledi

TTCL ndio wenye mkongo wa Taifa.
TTCL wanawauzia Voda, Tigo , Airtel, Halotel na wengine wote Internet.
Voda, Tigo, Airtel na Halotel wanawauzia wananchi mawasialiano na internet wanatengeneza faida ya kutisha.
TTCL mwenye mkongo, wafanyakazi wa umma, magari ya umma , Ruzuku nk.
TTCL anaewauzia hao wote internet apate hasara ya bilioni zaidi ya 700..
Na wananchi wapo kimya tu!!!!
Indonesia
🫵🏿 retweetledi
🫵🏿 retweetledi
















