Eligius Kitatwile

77 posts

Eligius Kitatwile banner
Eligius Kitatwile

Eligius Kitatwile

@ElyKitatwile7

Student at MUHAS|Minister of Education and Schools Coordination@muhasso 2024/2025|Aspired Researcher.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2023
190 Takip Edilen76 Takipçiler
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Na hadithi yake ikawaa somo: Kwamba uongozi wa kweli haujengwi kwa pesa, bali kwa tabia na uwezo. Na mtu asiyeweza kuongoza nafsi yake, hawezi kamwe kuongoza watu.
Indonesia
0
0
0
16
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Na siku ukweli uliposimama, Brayo hakuwa tena kiongozi. Alikuwa hadithi. Hadithi ya kijana aliyekuwa na tamaa kuliko uwezo. Hadithi ya kijana aliyenunua kiti, lakini hakuweza kununua heshima.
Indonesia
0
0
0
13
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Haikuwa kwa sababu alikuwa na uwezo mkubwa. Ilikuwa kwa sababu hakuwa na aibu. Alidhani uongozi ni maigizo. Alidhani heshima inaweza kununuliwa kwa bahasha. Alidhani watu watasahau. Lakini kuna kitu hakujua. Ukweli unaweza kuchelewa kusimama, lakini haujawahi kushindwa kutembea.
Indonesia
0
0
0
14
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Siku moja, alisimama tena mbele ya watu, safari hii akiwa na ndoto kubwa zaidi.“Natangaza kugombea Urais wa serikali ya wanafunzi.” Ukumbi ukawa kimya. Wengine walitazamana. Wengine waliinama chini, wakitikisa vichwa kwa masikitiko.
Filipino
0
0
0
14
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Badala yake, kulikuwa na minong’ono ya pesa zilizopotea. Malalamiko ya wanafunzi waliotapeliwa. Na jina lake lilianza kutajwa gizani, si kwa heshima bali kwa fedheha. Brayo hakujali. Macho yake yalikuwa yamefunikwa na tamaa.
Filipino
0
0
0
17
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Alipoweza kununua nafasi ile, alitembea kifua mbele, akidhani sasa amekuwa mtu wa maana. Lakini uongozi si kiti. Uongozi ni matendo. Na hapo ndipo udhaifu wake ulipoanza kuonekana. Hakukuwa na mabadiliko yoyote. Hakuna tatizo lililotatuliwa. Hakuna mwanafunzi aliyesaidiwa.
Filipino
0
0
0
11
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Kwa mbali, ungeweza kudhani ni mtu mwenye maono. Lakini kwa karibu, ungegundua ni kivuli tu, hakukuwa na kitu ndani yake. Kwa miaka yote aliyokaa chuoni, hakuwahi kusimama mbele ya wanafunzi kupigania jambo lolote. Hakuwahi kuongoza hata mkutano mdogo wa darasa.
Indonesia
0
0
0
12
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Kulikuwa na kijana mmoja chuoni aliitwa Brayo. Wengi walimjua kwa mavazi yake yaliyopigwa pasi kali, viatu vinavyong’aa kama vioo, na maneno matamu yaliyotoka mdomoni mwake kwa urahisi wa ajabu.
Filipino
0
0
1
10
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Wenzake walipokuwa wakipigania haki za wanafunzi wenzao, wakitatua changamoto za wanafunzi wenzao, yeye alikuwa pembeni, akicheka, akipiga soga, na akijificha nyuma ya wale waliokuwa na ujasiri wa kweli.
Filipino
0
0
0
10
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Badae akaanza kujipendekeza kwa vijana wenye njaa kali, ambao wanajua hela kwao ni bora kuliko heshima. Kijana Brayo akanunua nafasi ya uongozi kwa vijana wale; na alitembea kifua mbele, akidhani sasa amekuwa mtu wa maana. Lakini uongozi si kiti. Uongozi ni matendo.
Indonesia
0
0
0
8
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Katika maisha,hakikisha roho yako inapata zaidi kuliko mikono yako; pesa hufa, mali hupotea, lakini uadilifu ni urithi usioweza kufutika. Maisha yenye maana hupimwa kwa matendo mema na heshima inayobaki hata baada ya kuondoka duniani.
Indonesia
0
0
1
20
Luhaga Mpina
Luhaga Mpina@LuhagaMpina·
Bunge lijalo litakuwa la ndugu jamaa na marafiki.
Indonesia
115
196
1.2K
17.5K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Pokeeni unabii 🔥 Next President of the United Republic of Tanzania Bi Kizimkazi leo atalala na viatu maana watu hawataki kusikia ujinga wake
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
33
179
1.3K
35.6K
Eligius Kitatwile retweetledi
Muhimbili University
Muhimbili University@muhimbiliuniver·
🎉 MUHAS proudly recognizes his outstanding contributions by awarding him the title of Professor Emeritus. With over 34 years of dedicated service in teaching, research, and leadership, Prof. Lyamuya has left a lasting legacy in microbiology, immunology, and beyond. 👏
Muhimbili University tweet media
English
9
35
128
4.8K
Eligius Kitatwile
Eligius Kitatwile@ElyKitatwile7·
Heshima haiombwi, inafanyiwa kazi. Ukipewa nafasi na ukashindwa kuonyesha jitihada zako, usitarajie huruma za umma zitaziba pengo la bidii usiyowahi kuweka. #ItendeeHakiNafasiYako.
Indonesia
0
0
1
40
Eligius Kitatwile retweetledi
MUHASSO
MUHASSO@muhasso1·
Jitihada za MUHASSO kwa zaidi ya miezi miwili zimefanikisha kurejesha matumaini kwa wanafunzi walioteleza ufadhili wa Samia Scholarship Nchini Tanzania, wakipata mkopo wa 100%. 👏🎓 Serikali za vyuo vingine zimepongeza juhudi hizi, zikisifu uongozi wa MUHASSO kwa uthubutu wake.
MUHASSO tweet media
Indonesia
0
3
18
2.7K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nawatakia nyote kheri katika Sikukuu ya Krismasi. Tusherehekee na kujumuika na familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa furaha na upendo. Historia ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo itupe pia tafakari juu ya mwanzo mpya katika utekelezaji wa majukumu yetu ya kila siku, juu ya upendo kwa ndugu na jirani, juu ya uzalendo kwa Taifa letu, juu ya kuishi katika kweli, juu ya unyenyekevu tunapojaaliwa nafasi za kuwatumikia wenzetu, na juu ya shukrani. Tuungane pia kuiombea nchi yetu iendelee kudumu katika amani, umoja na utulivu. Mwenyezi Mungu awabariki nyote.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
354
346
1.9K
113.9K
Eligius Kitatwile retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
Tamasha la pili la IJUKA OMUKA 2024 (KUMBUKA NYUMBANI) Bukoba. Limefanikiwa sana kuhamasisha maendeleo na utamaduni wa vyakula na mavazi asilia mwendelezo wa BUHAYA FESTIVAL iliyofanyika Oktoba Mlimani City DSM. Shukrani mgeni rasmi Mhe Dotto Biteko naibu Waziri Mkuu. Pongezi muandaaji RC wetu hodari Mhe Hajat Fatma Mwassa - Ma KATALEMWA (asiyechoka), Waziri Mambo ya Ndani Mhe Innocent Bashungwa. Kwa kauli moja wadau wote tumempongeza Mhe Rais Samia kumteua "Ma Katalemwa" kuinua mkoa kwa hamasa zake chanya kutupa moyo na matumaini mapya. "Tweyememu. TWAKILA".. KAZI IENDELEE. Vazi la wanawake miaka ya 50 liliitwa LIBATA EMPIYA (max dress) ndilo hilo. Tofauti na Rwanda Muhaya anajisitiri mabegani na mtandio wake.
Anna Tibaijuka tweet media
Indonesia
56
59
505
32.9K
Nassir jr
Nassir jr@Nassirjr753·
On my special day, I just want t wish myself pure happiness tht never ends.HBD t me.I certainly consider myself t b 1 of th luckiest people in ths world,whch is y on my BD, I don't want t ask Allah fr anything bt 🙏 Hm for all th good things He has blessed me with over the years.
Nassir jr tweet media
English
11
4
34
1K