Peace

1.2K posts

Peace

Peace

@F3teken

Peace✌️

Tanzania Katılım Mart 2022
662 Takip Edilen88 Takipçiler
KUSAGA
KUSAGA@kirambaukwaju·
Muwe mnasalimia watu
Indonesia
24
32
781
44.7K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Mkurugenzi Saudi Pro League🗣 Cristiano alikuja hapa kwa ajili ya pesa tu na malengo yake binafsi, si kwa shauku. Tunampa mshahara wa juu zaidi duniani kwa mchezaji, tukimsaidia kufikia lengo lake la mabao 1000. Hata baada ya MGOMO wake, tulikubali kumuunga mkono katika kushinda kombe. Bado, anatumia maneno kama hayo na kuipa ligi sifa mbaya duniani kote. Anaweza kuwa mwanasoka mwenye umaarufu mkubwa, lakini katika suala la uwezo, sidhani kama yeye ni hata kati ya wachezaji bora 20. duniani"
The champ👑 tweet media
Indonesia
39
14
244
32.8K
Peace
Peace@F3teken·
@fintanjr_ hawa vijana wenzetu ndo wanafanya tusiaminike kwenye kampuni za watu, sijuhi ni bange au nini kunatusumbua vijana
Indonesia
1
0
0
90
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Nitakuwa serious kidogo✍💔,. Kuna siku nilikuja humu X na kupost natafuta kijana wa kufanya nae kazi , well, Dm ikawa busy sana na vijana wengi wakaja so katika ile pool nliselect mmoja, ambaye kwenye kuzungumza nae nlihisi imani kumsaidia, ..ila kwa kuwa hakuwa na Guarantor wala makazi ya kudumu akiwa amepanga na rafiki yake sinza, for security nikamuomba kitambulisho OG (nida) na cheti nikawa nimehold Bhas, kwa kuwa ofisi ilikuwa tayari , nikampa training na kuingia kazini,.. But kila siku vioja, ndani ya week moja ana loss kubwa tu,. nidhamu zero, nikaona sio kesi nimvumilie, hiyo siku kaingiza loss halafu anataka kuacha kazi,.. Sikudai hata mia, nikamwambia aje achukue kitambulisho na cheti, .. Kwa kifupi akaondoka vibaya sana while nlikuwa namtreat kama mdogo wangu wa damu,.. Leo anatuma hii sms, !! hivi ukipata kazi ndio uondoke hovyo mahali ulipo!? .. Vijana wenzangu, fursa ikija hata kama inakupa mia, we kuwa na adabu, maana hicho kidogo kwako ni ndoto ya mwingine na hata wewe hukuwa nacho ndio maana ulitafuta kazi . Sitamtag handle yake ila nadhani iwe somo kwa kuwa mnatufundisha kuwa na roho mbaya na watu tuliowaona ukubwani🚮💔. nb. nimeileta humu coz kijana nlimpata humu.
The champ👑 tweet media
Filipino
65
29
129
10.8K
Susan Abel
Susan Abel@susylicious2023·
Call me a cow if Arsenal doesn’t win today
Susan Abel tweet media
English
8.1K
626
7.6K
733.8K
Peace
Peace@F3teken·
@atletienglish Your only trophy is to defeat barca😂😂😂
English
0
0
0
1
Atlético de Madrid
Atlético de Madrid@atletienglish·
All of us right now waiting for kickoff:
Atlético de Madrid tweet media
English
793
526
11.2K
535.3K
Airtel Tanzania
Airtel Tanzania@airtel_tanzania·
Mohammad Raza Roshanali, Mkazi wa Arusha amekabidhiwa gari jipya aina ya Mazda CX-5 , ambalo alijishidia kupitia kampeni yetu ya mwaka umenyooka na My airtel App. Hii ni gari ya pili kwenda kwa wateja wetu, ambapo hadi sasa imebaki gari moja. Endelea kutumia My Airtel App.
Airtel Tanzania tweet mediaAirtel Tanzania tweet mediaAirtel Tanzania tweet mediaAirtel Tanzania tweet media
Indonesia
3
1
2
755
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kumbe yule Loui ni mtu wa Mbeya sema anasema amekaa sana Arusha ila yeye kwao ni mbeya. Jamaa anaimba na ni content creator. Mzee wa Mamamsi na Bukavu
Filipino
6
12
176
5.5K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Watu wenye kazi mmeona leo mnavyofurahia kulala nyumban, sasa sisi jobless hayo ndo maisha yetu ya kila siku. Tukiamka asubuhi tunatoka chumbani tunaenda kulala kwenye makochi mpk jioni.
Indonesia
21
35
295
6.2K
Peace
Peace@F3teken·
@prossoff Siyo wote bro, na hapo ni matokeo ya kufeli kwenye mchakato wa kuajiri hayo ndiyo matokeo yake
Filipino
0
0
0
17
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Sikuhizi vijana wa kazi kwenye maofisi ni kuwaendea kwa waganga kwanza kabla hayajachangamka kifala. Unafanya uwekezaji kwa pesa umeyojibana kwa muda mrefu then ukiliachia ofisi linafanya mambo ya ajabu. Saizi bila kuyaloga lazima yakupe stress mamae. Madogo wa sasa jau.
Indonesia
12
26
268
11.7K
MRENO⛑️
MRENO⛑️@mreno255·
Hapa Tanzania Iringa ndio kuna matajiri wengi ambao kiumri ni wadogo na wanachanganya sana kwa muonekano wao 😂😂🙌🏿
MRENO⛑️ tweet media
Filipino
39
30
476
42.4K
Peace
Peace@F3teken·
@swahilitimes Kule ulaya ndomaana wameweka VAR, huyo refa nae ni binadamu siyo kipa tukio ataona na kutafsiri vzr
Indonesia
0
0
0
4
STUNNA
STUNNA@CavityDamas23·
Mpiga kura hana thamani, ayo makura mnaendaga kupiga ya nini sasa kama baba au mama ako anakufia njiani kisa et msafala wa wakubwa Huo utu mnaosemaga uko wapi, Any way Kifo ni kifo 😭😭😭😭🚮🚮🚮🚮
STUNNA tweet media
Indonesia
9
7
15
505
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Leo tunakumbuka miaka mitano tangu kuondoka kwa John Magufuli. Lakini kumbukumbu ya kweli haiwezi kufutwa wala kupambwa lazima iseme ukweli. Kipindi chake cha uongozi kiliacha alama nzito , hofu ya kisiasa, kubanwa kwa uhuru wa kujieleza, na maswali makubwa juu ya haki katika chaguzi na ukatili mwingi. Haya si maneno ya chuki, ni kumbukumbu ya waliopitia mazingira hayo na waliolazimika kunyamaza. Tuseme wazi bila kupepesa macho, mifumo ya ukandamizaji na hofu iliyojengwa kipindi hicho bado inaathiri namna siasa na uchaguzi vinavyoendeshwa hata leo. Hii si historia iliyopita tu ni sehemu ya changamoto tunazokabiliana nazo sasa. Kumkumbuka leo si kuhalalisha yaliyopita, bali ni kusisitiza wajibu wetu wa kuyakataa. Hatutaki taifa linaloongozwa kwa hofu, tunataka taifa linalojengwa juu ya haki, uhuru, na uwajibikaji. Kumbukumbu hii iwe wito. Tusinyamaze. Tusisahau. Tusirudie na kuendelea na makosa yale yale.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
137
148
976
45.7K
Peace
Peace@F3teken·
@millardayo Maneno kibao af alie husika hatajwi
Indonesia
0
0
0
38