FesMofe

3.1K posts

FesMofe

FesMofe

@FesMoFe

Katılım Eylül 2017
202 Takip Edilen71 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
FesMofe tweet media
Durham, NC 🇺🇸 ZXX
1
1
2
0
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
@lifeofmshaba Mtasubiri sana ,Hamna tofauti na fisi anayesubiri mkono kudondoka.
Indonesia
0
0
0
110
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Hii laana inasambaa kwa kasi sana Ina maana huyu mtoto wake amekuwa akiongoza Cameroon kimya kimya sasa ameaona aweke wazi Siku yakiwakuta wananchi wakikasirika inakuwa kama libya
Think Different tweet media
Filipino
12
17
122
6.1K
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
@zoetjesheeftX Unachekewa Mama,Tumekosa uvumilivu . Toa onyo kali kwa TEC pia waache kuigawa Tanzania.Wafundishe injili na si kupandikiza mbegu za kuwachukia viongozi wakuu juu Tanzania ,hasa Raisi na Raisi mstaafu.
Suomi
1
0
0
256
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
@mwananchidr Hivi TEC inataka Nini Tanzania? Serikali chukueni hatua kali .Tumechoka na hawa maaskofu wanao tugawa
Indonesia
0
0
0
19
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
Utamuelewa tu msikilize Baba askofu
Indonesia
17
106
409
12.8K
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
@mwananchidr Acheni upumbavu.Msiingize mambo ya siasa kwenye injili.Injili ni mambo ya kiroho
Indonesia
0
0
0
16
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
Nawatakia Pasaka njema
FesMofe tweet media
Indonesia
0
0
0
14
HUMAN RİGHTS DEFENDER
HUMAN RİGHTS DEFENDER@WakandaM95833·
watanganyika amkeni tukapiganie taifa letu...serekali haramu inazidi kutahifisha mali ya taifa ..deni la taifa linazidi kupanda na walipaji sisi watanganyika walipa kodi
Indonesia
2
2
10
371
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Askofu Dkt. Spiryan Hillint: Kuchoma mali za serikali ni kuchoma taifa vijana mnachoma kesho yenu. KKKT kuna Maaskofu makini sana sio kule TEC kuna wanasiasa waliojificha nyuma ya kanisa. Muwe Na Pasaka Njema.
Indonesia
22
16
28
2.4K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
📌 MANGE KIMAMBI ACHAFUKWA TENA... Mwanaharakati Mange Kimambi ameibua mjadala mzito kupitia ukurasa wake wa X, baada ya kuandika ujumbe unaogusa hali ya kisiasa na mustakabali wa nchi. Katika ujumbe wake, ameandika: “Aisee, hii inaitwa hakuna wa kunifanya kitu na sijali. Watanzania nawaita mara 3, nchi imetekwa na majangili ni lazima kila mtu ajitoe. Hakuna namna. Hii haina uCCM tena wala uChadema tena. Huu ni wakati wa Watanzania wote kuungana ili tuwaondoe hawa mashetani madarakani. Aisee, mnajua kimama hana aibu wala hajui vibaya. In short she doesn’t care anymore. Kaamua kufirigisha nchi. Na bado kuna Watanzania wenye low IQ inadhaan kuna katiba mpya atayileta huyu mtu.. Kibaya zaidi kuna Watanganyika bado wanaendelea na uchawa sababu ya kuendeleza njaa za kijinga.” 🗣️ Kauli hii imezua mjadala mkubwa mtandaoni, huku baadhi ya watu wakiiunga mkono na wengine wakipinga vikali, 👉 Je, wewe una maoni gani kuhusu kauli hii?? Follow @zoetjesheeftX
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
3
7
32
5.7K
FesMofe
FesMofe@FesMoFe·
@ayubu_madenge Maaskofu wameacha kutangaza injili na kujiingiza kwenye siasa.Tumfikushie habari hizi Papa .Ninashare na atafanya tafsiri mwenyewe .
Indonesia
1
0
0
164
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
“Tutarudi nyuma sana kama tutaendekeza UCHAWA. Na mataifa mengine watatuzomea sana. Tukiwa na critical mind tukaambizana UKWELİ tutasonga mbele. Lakini kama tutasifiana tu, tunapotea”. Askofu Stephano Musomba wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
22
129
1.1K
17.7K