Stay
11.3K posts

Stay
@FocusedKr
Liverpool Fc & Young Africans SC........ 🟡🟢 T.M.K's Favourite Son.
Dar Katılım Temmuz 2017
301 Takip Edilen398 Takipçiler

Ulipofika kwenye "lakini pamoja na mapungufu ya kibinadamu" nimeshindwa kuendelea,nikaona unamaliza karatasi na kutaka kusababisha JANGWA
Thom Mnkondya@Thommunkondya
Makonda ni kiongozi mwenye uthubutu, jasiri na mwenye uwezo mkubwa wa kushawishi. Ni kiongozi wa vitendo na mwenye msimamo thabiti. Kila unapompa jukumu, matokeo yake huwa yanafurahisha wengi na kuwakwaza wachache,lakini mara zote yanaonekana. Pamoja na mapungufu ya kibinadamu kama ilivyo kwa kila mwanadamu, Makonda si kiongozi wa kuachwa pembeni. Ni mtu anayependa matokeo halisi kuliko maneno. Binafsi namkubali sana.
Filipino

🗣 “In 2004, I was very close to joining Real Madrid. They promised me Figo's '10' shirt and the salary I wanted. My wife agreed and wanted us to make that life decision.
But I took another path. The path of the heart, for my family, friends, and fans. I wanted to do something different. Everyone was going to Barcelona, Real Madrid, and Bayern Munich.
I felt like a different player. I was already good, but different. That's why I chose to stay with my beloved team for my whole career.”

English

@annamatari995 @IAMartin_ Unaongea kama umepachikwa behewa katikati ya matako
Filipino

@IAMartin_ Unaona sasa Lissu ni aina ya mtu anaependa masifa 😆😆 hamna mtu hapo
Hii kesi ingekua chin ya akina Kibatala na ile timu yake kesi ingeenda kisomi sana.
Lisu anaongea mambo mengi ambayo ni pumba nyingi na mbwembwe kibao..hafu nyumbu utasikia wanasema anafundisha sheria🙄
Indonesia

@George_Ambangil FIFA wakimaliza kutunga tungunga vi sheria vyao wasisahau kuwatungia sheria wanaopaki ma Abood gorini.. shenzi kabisa
Indonesia

There comes a time when change is the only path you have to take. #Blessed #cltrmvmnt
#UtaratibuTheAlbum Dropping 27th September 2025.
Follow: @juniorroman255 @cltrmvmnt

English

@IAMartin_ Kitu kikubwa ninachomshukuru Mungu sija follow hawa jamaa hata mmoja.
Indonesia

Baada ya kuwaona wasanii wa sasa karibu wote ni wafuasi kindakindaki wa CCM, mimi na nafsi yangu tukakubaliana kwamba, tutasikiliza oldies (ngoma za kitambo) na ngoma za mbele tu. Hata nikiwa na ‘mshirika’ karibu, atalazimika kusikiliza mikito hiyo. Hata siyo udikteta. Ni misingi tu nimeweka. Naelewa, siwapunguzii kitu katika mitkasi yao, lakini nimeamua kupunguza dhambi zangu. Tutaanza kuwapunguzia (wao) kitu siku tukiwa wengi tunaojitambua na kuacha kufuatilia shughuli zao. Unaweza kusikiliza hata ngoma za WAPOPO tu. Afro Beats kali nyingi. Hawa wasanii wa CCM wanawadharau kwa kuwa matamasha yao mnakwenda, ngoma zao mnasikiliza, mitandaoni akaunti zao mme’ follow na habari zao mnazipenda. Siku mkiwacheua, watajitambua. They won’t respect you until you make them respect you. Respect is earned, not given. #KataaWahuni
Indonesia

@Geoffrey87Lea @mpomele31730_s We jamaa hilo jina lako la mbele ndipo shida ilipoanzia.
Indonesia

@mpomele31730_s 😂no wonder mashabiki wao wanajua zaidi kutukana kuliko hoja za msingi,u cannot debate in a civil manner with that group
Indonesia

Ripoti Mpya ya Shirika la Waandishi wasiokuwa na mipaka ‘Reporters Sans Frontières’ (RSF), imeiweka Tanzania katika nafasi ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki Uhuru wa Vyombo vya Habari.
Ripoti ya Shirika hilo la Ufaransa, iliyotolewa Jumamosi, siku ya kila mwaka ya Uhuru wa Vyombo vya habari iliyoanzishwa na Umoja wa Mataifa, inaiweka Tanzania katika nafasi ya 95 katika nchi 180 zilizofanyiwa utafiti.
Burundi iko katika nafasi ya 125 na alama 45/100, ikishuka chini nafasi 17 kutoka nafasi ya mwaka jana, ilipoorodheshwa ya 108 na alama 51/100.
Nchi nyingine za ukanda wa Afrika Mashariki Sudan Kusini ipo nafasi ya 109, Kenya 117, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 133, Somalia 136, Uganda 143 na Rwanda ya 146 duniani.
#KitengeUpdates

Indonesia

@shaffihdauda1 Endeleeni tu ipo siku kuna mtu au kundi la watu litakuwa mfano.
Indonesia

Siku ya kwanza nakutana na Gsan ilikuwa northside of Chicago, kwenye rap battle ya Wamarekani na sisi. Wanyamwezi walimtambua from the BET cypher so wakataka kushindana nae… ila walilazimika kwanza kushindana na mimi. So nilivyowashinda kaka mkubwa hakuhitaji tena kuchana, na automatically nikawa nime win his respect kabla hata hatujaanza kuongea chochote.
From that day, akanishika mkono na kunileta karibu na ulimwengu wao wa Xplastaz; introduce me to Ziggy Lah, J4 Thomas, producer wao (DJ 360), akanipa historia yao, Kifo cha Faza Nelly, Changamoto za Safari yao, story za Bongo Records, Sugu, Hashim Dogo (Walifanya nae ngoma kama 3), etc Ila muhimu zaidi ni kunifundisha jinsi ya kufanyia mazoezi punch ya sauti ili nisikike vizuri zaidi hasa wakati wa performances.
#RememberingGSAN #XPZ

Filipino















