MKATA UMEME

29.7K posts

MKATA UMEME

MKATA UMEME

@FullDose3

Nafollow back ndani ya sekunde tu, yaani unikigusa tu nimoo

Katılım Ekim 2019
5.8K Takip Edilen10.6K Takipçiler
MKATA UMEME
MKATA UMEME@FullDose3·
@anuskills3 Ni basi tu kazi na michongo havipatikani kirahisi mtaani ila kiukweli mshahahara wa 600k ni mdogo sana. Hapo bado hujalipa kodi ya gheto , nauli, kula , na matumizi mengine madogo madogo . Labda hiyo kazi iwe na posho nyingine nyingine ila bila hivyo kupiga hatua inakua ngumu
Filipino
0
0
0
61
MKATA UMEME
MKATA UMEME@FullDose3·
Karibuni tena
Sevilla FC@SevillaFC_ENG

#OnThisDay in 2⃣0⃣1⃣9⃣ we visited Tanzania to face Simba SC in a friendly 🇹🇿 An unforgettable experience sharing football and friendship with our Tanzanian friends ❤️🤍

Indonesia
0
0
0
49
PABLO ZUNGU
PABLO ZUNGU@sinahisa·
Unyunyu gani ni Bab Kubwa Kwa Wanaume kwa bei isiyozidi 100k ?
Filipino
26
8
140
12.7K
MKATA UMEME retweetledi
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Wazee hivi ada ya Feza bei gani..? Kijiweni hapa watu wanabishana ada ya Feza kuna mchizi anasema milioni 4.5 wakataka kumpiga wanamwambia ingekuwa hivyo watu wengi town wangesomesha watoto Feza ..😅
Indonesia
25
47
295
23.3K
MKATA UMEME retweetledi
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Uraibu wa twitter ni zaidi ya madawa ya kulevya.
Filipino
38
47
489
10.9K
MKATA UMEME
MKATA UMEME@FullDose3·
@zizujo01 Nakukumbusha Tuchel alifeli na Mbappe, Neymar , Messi ila aliipa Chelsea UEFA
Indonesia
1
0
0
110
HATUSHINDWANI BEI STORE.
HATUSHINDWANI BEI STORE.@zizujo01·
Ila mashabiki wa Cheltako wnavomfurahia alonso, wanahisi kuna kitu kitabadilika kwenye timu yao. Yani alonso aliyefeli project ya Madrid licha kuwa na wachezaji top kabisa. Iweje cheltako hii ya wafuga rasta🚮🚮🚮
Filipino
7
9
29
1.2K
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@master_plan9·
Ntakuwa Mtu Wa Mwisho Kuamini Kwamba Njombe inaongoza kwa Watu kuwa na Ukimwi Kuliko Dar.🤔
Indonesia
59
45
281
11.8K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Taja jina la huyu ndege
kasesco☆ tweet media
Türkçe
190
51
385
29.3K
MKATA UMEME
MKATA UMEME@FullDose3·
@ThomzJoseph Wanasemaga hivyo hivyo subiri game zianze unakuta wanaonesha baadhi
हिन्दी
0
0
1
128
†hømz
†hømz@ThomzJoseph·
Ila Azam TV wanajua kuwapelekea moto DStv game zote 1O4 za WC🙌🏾😂😂
Polski
66
66
1.4K
46.2K
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Kama umetembea 🇹🇿 location inasoma wapi hapa
MAESTRO 🎭 tweet media
Indonesia
40
28
252
17.6K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Mnaohamia Dodoma au Wenye plan za Kuhamia Dodoma .,Ukishasikia Mtaa unaanza na CHA .,Usitafute Chumba au Nyumba ya Kupanga huko Msije kusema Hatujawasanua ...😂😅🙌🏿
Indonesia
48
45
623
40.6K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Hivi hapa kwetu Tanzania chakula chetu cha asili ni kipi?! Mfano nikaulizwa na foreigner, what is your traditional food? Fasta fasta natakiwa kumwambia msosi gani?
Indonesia
288
38
863
59.9K
MKATA UMEME retweetledi
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Oktoba 21 ya mwaka 2019 ndio ilikuwa siku ya kwanza kwa GEORGE AMBANGILE kuhamia Wasafi Media nikiwa " Football Analyst " . Nilipokelewa vizuri , nikapewa platform ya kuonesha kipaji changu , nikakua zaidi . Baada ya miaka takribani Saba , cycle yangu imefikia tamati ndani ya Wasafi Media . It was quite a journey na najivunia , nashukuru , na kuthamini kila dakika niliyotumikia Wasafi Media . Naishukuru sana Kampuni , imenipa vitu vingi sana ,moyo wangu umejaa shukrani . Kipekee kabisa namshukuru CEO @diamondplatnumz kwa thamani uliyonipa , i will never forget it . Asante sana Boss . Bila kusahau nawashukuru wafanyakazi wenzangu wote ambao tumefanya kazi kwa pamoja Wasafi Media kuanzia kipindi cha michezo mpaka wa vipindi vingine na wafanyakazi wa idara tofauti , mchango wenu kwangu una thamani kubwa sana . God bless you all . Wale wote ambao walinipa thamani ya muda wao , masikio yao kusikiliza kazi yangu Radioni , cha kuwalipa sina maana bila nyie ngumu kuwa na George Ambangile bora , nawashukuru sana tena sana . Ambangile hayupo tena Wasafi Media lakini naomba muendelee kuwa " LOYAL " kwa Wasafi Media . ASANTENI SANA THANK YOU SO MUCH WASAFI MEDIA AND GOODBYE " The World is Yours " GEORGE AMBANGILE 🤝
George Ambangile tweet media
Indonesia
482
403
3.6K
122.2K
MKATA UMEME retweetledi
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Kama kuna wadau nitawakwaza mtanisamehe ila perfume aliyokuwa anatumia Ferooz imepanda bei badala ya 120,000 kwasasa ni 130,000
John kalage 🇹🇿 tweet media
Filipino
1
6
78
2.7K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Wataalam wa location hapa ni wapi..
kasesco☆ tweet media
Filipino
64
38
317
21.9K
Beast
Beast@emabilly2001·
Janja bingwa wa magari snap anatuvimbia akiwa kapewa leseni ya kumiliki silaha 🙌
Beast tweet media
Filipino
12
7
115
46.5K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Miaka ya 90’ kuna bia ilikua inaitwa BINGWA, picha linaanza unaambiwa kabisa haijatengenezwa kunywewa ya moto. Sasa wewe jichanganye unywe ya moto uone😂😂😂
Indonesia
65
24
506
32.9K