Eng.Mapunda Jr

127.5K posts

Eng.Mapunda Jr banner
Eng.Mapunda Jr

Eng.Mapunda Jr

@EngMapundajr

A father|A friend|Chelsea FC|Yanga SC|Moshi Tech Alumn| DIT Alumn|Electrical Engineer|Busses&Trucks Enthuastic|Mvuvi 😊|Retired Alcohol Master 🥃🍾🍺🍻🍹🥂 🇹🇿

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2011
2.9K Takip Edilen11K Takipçiler
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Bro to Bro .,kama Biashara Yako sio halali na ipo na Makando kando Usimshirikishe mwanamke ..🤝
Indonesia
25
42
275
8.6K
Eng.Harrison HR
Eng.Harrison HR@Buberwa_·
Nilipokuwa O-Level nilikuwa najua French Kiss ni Friends Kiss. Yani ukiwa na rafiki wa kike mnapendana kirafiki, mnakua mnakiss tu kama marafiki. 😂
Eng.Harrison HR tweet media
Indonesia
5
4
26
858
Eng.Mapunda Jr retweetledi
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
+1 🎂🎁 Birthday to Me! Life has taught me that gratitude gives meaning to the past, purpose to the present, and hope to the future. Today, I celebrate not just another year of life, but another chance to make it count.
Kibayasi FS 🇹🇿 tweet media
English
49
29
72
3.7K
Eng.Mapunda Jr retweetledi
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Wakuu mnaojua Muziki yule msanii aliye ingia na Ronaldo na Ronaldinho anaitwa nani..?😂😂
Indonesia
16
14
227
16.7K
Father Mapendo(Bamnyogode)
Father Mapendo(Bamnyogode)@mwakambind32591·
@EngMapundajr Anko unajieleza sana,hapo unatakiwa uombe akaunti namba uweke muamala mtoto akafanye manunuzi ya viwalo kwaajili ya kuja kuonana na wewe.Tafuta hela mtani uache kujieleza sana,hawa viumbe tumeumbiwa sisi,maneno mengi waachie madalali!!
Indonesia
1
0
2
289
Eng.Mapunda Jr retweetledi
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Uko zako mjini Daslam unafanya kazi nzuri tu, ghafla mizimu ya kijijini kwenu Simiyu inakuchagua ,Inataka ukapewe Mikoba uwe Mganga wa Kienyeji..😆💔🙌🏿
Eng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
23
29
177
5.5K
Eng.Mapunda Jr retweetledi
Father Mapendo(Bamnyogode)
Father Mapendo(Bamnyogode)@mwakambind32591·
@EngMapundajr Dah,umenikumbusha mbali sana kuna jamaa mmoja wa Kigoma alikuwa na maduka makubwa matatu K/koo akaja kufirisika kabisa kuja kufuatilia kumbe Mwamba alikuwa anaitwa kwao zamu yake kusimamia kiringe,akawa hataki kwenda.Noma sana Anko,ila mwisho wa siku alienda maana alikuwa halali!
Indonesia
0
1
1
188
Eng.Mapunda Jr retweetledi
franklusayo
franklusayo@franklusayo1·
@EngMapundajr Sina imani sana na hayo mambo! But kuna mshkj anateseka kweli! Na inakula male members mmoja kila mwaka!now Wameshafarik watoto 4!
Filipino
0
1
2
223