George Job

13.7K posts

George Job banner
George Job

George Job

@GeorgeJob14

Sports analyst Wasafi Media

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2020
252 Takip Edilen211K Takipçiler
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Nimeangalia kwa utulivu na jicho la kimpira kabisa hiki kikosi cha England kilichoanza na kwa moyo wa upendo nikaangalia na Bench pale kuona labda nitaokota chochote kitu ila nimekuja kugundua hii timu nayo itaenda kuzurula Marekani kwenye world cup Tuchel atatupiwa lawama tu
Presenter Noah tweet media
Indonesia
18
2
86
4.4K
Barbosa
Barbosa@gratian_barbosa·
Kulingana na vyanzo vyangu vya kuaminika inasemekana next summer tunaenda kusajili mbadala wa Luis Diaz na Cody Gakpo na jina linalotajwa ni Kernan Yildiz🙌🏻 bila kusahau Michael Olise kama ideal replacement ya Mohamed Salah. Tunaenda kuwa tishio kubwa sana kwa miaka 10 ijayo.
Indonesia
41
17
204
6.6K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@mentor209 @TriciaAbou Kwahiyo hii misikiti tunaweza kuita sinagogi? Na wenyewe wanajua hilo tusije kuita sinagogi ukaanza ugomvi. Nijue hapo tu, maana mimi napendaga majina halisi.
Indonesia
2
0
6
568
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Yesu hajawai kuwa mkristo ila waebrania walimwita masihi “mpakwa mafuta” . Yesu ni mhayudi na alizaliwa Palestine 🇵🇸 wakati huo ikijulikana kama judea alizaliwa katika mji wa betleemu Yesu aliishi katika Torah ya musa. Pia wakati wake hakuwai kusali kanisani wala hakukuwa na
Indonesia
128
51
387
47.3K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@Laudrupszn I dont know much about history but he is among the top midfielders..in my list he is in those 5 yes.
English
0
0
0
264
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@bonifacejoseph_ Tupe na hesabu ya wanufaika wa bima kwa mwaka kuna kitu nataka kujifunza.
Indonesia
2
1
19
1.3K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
Wanaonufaika na Betting ni wachache kuliko wengi, kwenye 100 wanaweza kuwa 10, it's sad truth but it's what it is. Sio kwamba ni UTAPELI lakini ni nzuri kama upo kwenye SYSTEM
Bony 📚 tweet media
Filipino
99
50
609
57.2K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
Dortmund akiwa Signal Iduna mpe hela yako na magoli mawili yeye ndio atajua yana patikanaje, aidha afunge yote yeye/afunge na aruhusu ama afungwe yote yeye. Kama hayuko na Bayern mpe apate yeye hizo 2. Ana pelekaga sana moto.
Filipino
6
8
290
8.6K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@vliandro_gerald Uta yaona hayo magoal mpaka siku utapo amua kuyacheza ndio uta shangaa na roho yako.
Filipino
5
0
14
741
Vliandro
Vliandro@vliandro_gerald·
@GeorgeJob14 Huko per day kuna over 24+ matches na nyingi zinatoa sana magoli... Ni mtu sasa kyfanya proper analysis na uchaguzi mzuri tu na bahat... 😂
Filipino
2
0
3
751
George Job
George Job@GeorgeJob14·
Kama wawekezaji wanaonaga serie A ni ya kitapeli wajaribu Uingereza championship na league one yao ndio utaelewa maana ya kupunwa zote.
Indonesia
28
18
465
18.2K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@daudi10emmanuel If they have same productivity on the pitch then what makes Messi be Messi and separate him from Neymar? I just want to understand better what u mean.
English
1
0
1
518
Daudi Emmanuel
Daudi Emmanuel@daudi10emmanuel·
Pele R9 Neymar Jr. Am i forgetting a dude in 1980's? Maybe Zico Boy is in top 5 of all time in Brazil. So, yes, he is as good as Messi ( in terms of what he can do/produce inside the pitch ) but Messi is Messi if you know what i mean. So, yes, Rooney waffled
English
7
4
79
7.1K
Iric
Iric@Iric_WatchMe·
@JackRthythm Jaribu kumuangalia akicheza walau 3 consecutive games utatuelewa
Indonesia
2
0
1
116
JackTactics
JackTactics@JackRthythm·
Hivi hua mnatumia nini kupima kwa kusema Leao ni mchezaji wa mood? Au kisa anacheza huku ana-smile?🚮😂 Mwingine sijui hana weki reti, bakini na kina Pedro Neto wana weki reti kubwa mamae🚮🚮😂
JackTactics tweet media
Indonesia
21
11
126
7.6K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@rayasel94 Kuna namna ukiangalia wengi walioibgia hiyo debate wamechukua maneno nusu na kuset ajenda. Ni pakukaa mbali tu.
Indonesia
2
0
19
1.7K
Ray Asel
Ray Asel@rayasel94·
Hata ku engage kwenye debate ya Rooney na Neymar ni jambo la ajabu
Indonesia
7
2
136
6.4K
The Touchline | 𝐓
The Touchline | 𝐓@TouchlineX·
🚨🗣️ 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Cafu: “In my view, Neymar is greater than Messi.” — @Podpah
The Touchline | 𝐓 tweet media
English
2.3K
1.3K
16.3K
2.3M
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@thisistemidayo Nadhan Rooney alimalizia kwa kusema ubora wa kumlinganisha Neymar na wakina Ronaldo & Messi. Sio yeye as player kuwa hakua bora ila daraja lakina Messi hakufika.
Indonesia
1
0
9
598
Temidayo
Temidayo@thisistemidayo·
Rooney anasema Neymar hajawahi kuwa katika ubora wa dunia kwenye career yake, hivi kuna mchezaji wa Ligi ya Brazil aliwahi ingia kwenye tuzo za Ballon D’or akiwa Brazil? Yule Neymar wa Barca anapokwa Ballon D’or yake na Messi 2015?!! Ghafla anasema World Cup ya SA haikua bora🤣
Indonesia
30
11
220
10.7K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@George_Ambangil @oneyjr6 @hereiseddy_ Kuangalizia mpira sehemu ambayo sauti ni muziki, mpira una ona kwa picha tu. Drury yale maneno yake yangekua kwa kiswahili ungesikia kejeli kama hizi. Anacho sifiwa zaidi Drury ni ushairi wake. Wakachukue goal la Manolas watupe tafsiri ya kiswahili.
Indonesia
1
0
0
22
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
@oneyjr6 @hereiseddy_ Hata Ulaya wanasema ila labda sio mara nyingi na kurudia rudia . Ila wanasema . Jana tu Liverpool Vs Spurs commentator kasema kuhusu Richarlison kutokea Everton ila tu harudii rudii sana😀
Indonesia
3
1
14
402
Ray Asel
Ray Asel@rayasel94·
Nimeshangilia mpaka sauti imekata 😂🤣🤣🤣
Eesti
36
26
317
6K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@icmail72 @fimboyamusa10 @11RoseniorEra Karudi tena kwenye hiyo tweet yangu..nilitaja baadhi ya wachezaji kwa majina kabisa. Inawezekana hamkuelewa ila mliamua tu kubishana. Kanakwamba haitoshi na wakamaliza juu yenu huo msimu.
Indonesia
1
0
0
26
Denver
Denver@11RoseniorEra·
Leicester saivi wapo wanapambana kubaki championship, mambo yanabadilika sana aisee. Nakumbuka kipindi kile George Job alikua anatoana damu kila siku na fans wa Arsenal baada ya kusema “Leicester wana project bora kuliko Arsenal” 😂😂😂
Filipino
9
8
113
9.6K
George Job
George Job@GeorgeJob14·
@rayasel94 Kaka mpira ni mchezo tu, social media ni platform tu ya kujuana na kutoa mawazo pamoja na mijadala. Sasa kwanini tublockiane kwa kupishana mitazamo ya kimpira? Kwangu huwa naona ni jambo la kawaida. Labda tufikie hatua ya kuvunjiana heshima kwa dhamira ya dhati kabisa.
Indonesia
2
0
16
693
Alfred Kajuna (S.T.A.R)
Alfred Kajuna (S.T.A.R)@kajuna_alfred·
Ile movie ya SALT ilikua balaa🙌,sio hizi movie zenu za WAR MACHINE😂😂
Indonesia
17
8
114
7.5K