Godluck

1.9K posts

Godluck banner
Godluck

Godluck

@Godluck1

MILLENIUM OF FUMO

Ruvuma, Tanzania Katılım Mart 2022
4.8K Takip Edilen769 Takipçiler
Rieb van Janbeeck
Rieb van Janbeeck@RiebvJanbeeck·
This is what replacement looks like.
Rieb van Janbeeck tweet media
English
3
1
12
275
Godluck
Godluck@Godluck1·
@SwahiliRealTalk Aliye jenga hili sanamu alikuwa ananjaa nini au akulipwa pesa zake
Indonesia
0
0
0
60
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
NI majira ya saa 10:30 alasiri hali ya hewa ikiashiria mawingu ikiwa ni dalili za kunyesha mvua,angani upande wa mashariki kulikuwa na alama ya upinde wa mvua uliopambwa kwa rangi anuai katika anga hilo sanjari na jua jepesi lililokuwa likishindana na mvua iliyokuwa ikitaka kunyesha wakati huo Bodaboda, usafiri niliotumia kufika hapo, dereva wa boda boda aliniondoa hofu kutokana na wingu lililotanda angani huenda lingeweza kunitotesha mwili wangu na kunieleza uzoefu wake kuwa kutokana na dalili hizo angani mvua haiwezi kunyesha. Nilishuka na kumlipa dereva wa bodaboda na kukatisha katika mitaa ya mji wa Sumbawanga ambao wenyeji waliniambia kuwa hapo ndipo lilipo jina halisi la Sumbawanga. 'Sumbawanga Wenyeji' ndilo jina halisi la eneo hilo, mji wake ulipangwa vyema na mitaa yake ilionesha kuzingatia ramani za mipango miji tofauti na ilivyo baadhi ya miji mingi mikubwa ambayo nyumba zake zimejengwa holela holela bila kuzingatia ramani za mipango miji. Ukale wa nyumba hizo unaonekana dhahiri katika paa la nyumba hizo ambazo asilimia kubwa bati zake zinaonekana zikiwa zimefifia na kutengeneza kutu na rangi nyeusi ilhali kuta za nyumba za mitaa hiyo zikionekana kuchakaa,dalili pekee ya kuwa nyumba hizo zimejengwa miaka mingi iliyopita Kwenye baadhi ya nyumba mbele ya vibaraza vya nyumba hizo kulikua na akina mama walioketi baadhi yao wakisukana nywele,wengine wakichambua mboga huku baadhi yao wakipiga soga kama ilivyo desturi ya mitaa mingi ya maeneo ya mijini. Mbele yangu navutiwa na jumba kubwa imara na chakavu lililotelekezwa ambalo linaonekana ni jumba la kale kuliko nyumba nyingi zinazozunguka maeneo hayo, baadhi ya nyumba zilizopo jirani ya jumba hilo zikiwa ndogo ndogo tofauti na jumba hilo kuu na kuu kuu. Jengo hilo limejengwa kwa ustadi mkubwa na matofati madogo madogo ya kuchoma likiwa na nguzo kubwa na imara eneo la juu karibu na paa likiwa mithili ya nyumba ya kifalme sawa na nyumba za kale zilizopo maeneo ya Bagamoyo, Kilwa na Zanzibar. Natupia macho mbele yangu nakutana uso kwa uso na mwanamama aliyekuwa akistaajabu mshangao wangu, nikasogea karibu yake na kumuamkia kwa heshima kulingana na umri wake. Nilimkadiria mama yule umri wake ni kati ya miaka 75 na 80 lakini akionekana bado mwenye nguvu za kutosha Georgina Noel Kamzee(71)ndilo jina la Bibi huyu nilikosea kidogo kumkadiria umri wake lakini kulingana na maelezo ya mwanaye wa kike aliyeambatana naye akijitambulisha kama mtoto wa mama huyo anasema kuwa mama yake amezaliwa miaka 71 iliyopita kulingana na takwimu alizonazo katika vyeti vya kuzaliwa. Nilishawishika kumuuliza nilichokuwa nakishangaa eneo lile na kumuuliza kwanini jengo lile liko pale na lipo kwa matumizi gani.👇👇
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Indonesia
9
10
34
2.6K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Sema ujerumani kabla ya vita vya pili vya dunia alikua mbambe kinoma kwanini siku izi kapooza
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
32
10
175
12.1K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Daaah wanaume wa dar mnatupa wakati mgumu kujitetea.😁😁💔
kibaha_finest tweet media
Indonesia
28
11
113
11.5K
Godluck
Godluck@Godluck1·
@kalage_jr Usisahau nnchi za magharibi na marekani ziliwekeza kwenye nnchi kama china korea na japan for purpose
Filipino
0
0
0
17
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Around miaka 70 uchumi wa china ulikuwaa uchumi wa kawaida tu lakini wamepiga hatua kubwa kwa kasi kwasababu mbali mbali ikiwemo kuwekeza kwenye nguvu kazi ya ndani, kuwapa ulinzi na kuwawezesha wafanyabiashara wazawa pamoja na kulinda haki zao Maendeleo sio miujiza ni mipango
Filipino
4
4
37
1.1K
Godluck
Godluck@Godluck1·
@FaradayMtz01 Watu wangekuwa na capital hayo yote ungeona wabonge wangekuwa wanafanya ila changamoto za mitaji ndo zinatufanya tuone na kuwaonea wivu wachina
Filipino
2
0
0
245
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Mchina anauza hardware. Mchina anafuga kuku. Mchina anamiliki saloon. Mchina anafuga samaki. Mchina anafanya udalali. Mchina anafuga nyuki. Mchina anauza maziwa. Mchina anauza matunda. Mchina ni fundi garage. Mchina anauza nguo rejareja. Bado mpo kimya mkiona ajira zinachukuliwa
Filipino
7
16
93
4.3K
A man of interest
A man of interest@official_kauzu·
Sio kwa ubaya ila sisi watanzania kututoa kwenye Bet pawa na Sporty bet itakuwa ngumu sana 😎
A man of interest tweet media
Filipino
84
34
856
46.9K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Mwaka 5000 kiswahili haitakuwa lugha ya taifa tena. Hii tweet mahususi kwa ajili ya future, I have vision📌
Indonesia
24
32
154
3.7K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Hivi hawa watu wanafyeka pembezoni mwa barabara huwa wanalipwa na nani wakuu nasoma comment 🤔
kasesco☆ tweet media
Indonesia
77
56
412
31.4K
Godluck
Godluck@Godluck1·
@018Salama Wanazingatia sana nidhamu na mambo yasiyo ya msingi kuliko productivity
Filipino
1
0
0
37
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Mpira wa kiBongo nilisha malizana nao since 29 Oct,,, sijawahi kusngalia match hata moia
Indonesia
26
36
313
12.4K
MTANZANIA 🇹🇿
MTANZANIA 🇹🇿@GilbertPaul095·
Nimeitwa Sehemu kuwafanyia INTERVIEW wasomi wa BONGO, ENGLISH ni changamoto kwa WASOMI wetu. Mhitimu wa CHUO anashindwa hata kujieleza kwa Dk 1 tu🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Indonesia
192
98
1.1K
63.4K
Rieb van Janbeeck
Rieb van Janbeeck@RiebvJanbeeck·
In South Africa, most of the locals are just criminals waiting for an opportunity. Here they storm a blown-up cash truck to see if there is anything left to steal.
English
21
40
139
3.6K
Godluck
Godluck@Godluck1·
@kasesco_tz Bording school ni upotev wa ela ulio kaa kitapeli zaidi
Filipino
0
0
2
404
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Eti wakuu ni wakati gani sahihi wa mtoto wako asome boarding school.. 1.Primary level 2.Ordinary level(o'level) 3.Advanced level (a'level).
Filipino
23
32
157
6.6K
Mponda
Mponda@MpondaSabinus·
Coffee ☕
Mponda tweet media
English
11
20
206
3.3K
Godluck
Godluck@Godluck1·
@Mushi_plus Sisi tunaenda kutafuta capital mchina anakuja na capital ndo maana anfanikiwa
Indonesia
0
0
1
11
💐🪴Yote Maisha Mpenzi wangu🪴💐
Hivi ni kweli kuwa sisi waafrika nchi maskini hasa watanzania tunaamini kweli utajiri tutaupatia kwenye mataifa yalioendelea ? Ni kivipi maana nchi zilizoendelea hasa wachina wanakuja kwenye hizi nchi zetu na wanatengeneza pesa ya kutosha kweli kwanini😁🧨
Indonesia
3
1
5
258
Godluck
Godluck@Godluck1·
@Mvuvi_Nyasa X pomoja na online media zina uwa hizi tv mdogo mdogo bila kuonekana kwa macho
Polski
0
0
0
32
M N Y A S A M V U V I. PHD
ITV STAR TV CLOUDS TV CHANEL 10 TBC na TV zingine kaza wa kaza inaweza ikafika miaka 2 au ata mitatu sija angalia hizo TV.. Sijui kwann nimefika kiwango iko.
Polski
9
3
31
1.6K
Mponda
Mponda@MpondaSabinus·
Mbinga coffee.
Mponda tweet media
Indonesia
2
9
86
1.7K
I ❤️ Cape Town ~ I Stand with Russia🇷🇺 MAGA
The ANC have been in power for 32 years now. Thirty-two very long, painful years. And what have they achieved? Not much apart from excelling at corruption and violence.
Cyril Ramaphosa 🇿🇦@CyrilRamaphosa

This Freedom Day stands as a reminder that political liberation was never the final destination. It was the beginning of a longer journey towards economicfreedom and social justice. x.com/i/broadcasts/1…

English
4
4
15
268