Sabitlenmiş Tweet
Adamoo
153.7K posts

Adamoo
@Addy_Adams
لا إله إلا الله محمد الرسول الله
Tanzania Katılım Kasım 2011
746 Takip Edilen12.5K Takipçiler

@Addy_Adams We muache anasema yeye ndio kiongozi wa Genz wakati huyo mtu ndi anatafutwa😂
Indonesia

@samz__23 @Addy_Adams Leo kajiita binadamu 😂 mbaya zaidi kaharibu zaidi kudai hela ya Prof hajatoa mama. Yaani msamaha wenyewe umekosewa
Indonesia

@Addy_Adams Yule alianza kujisahau na alipokua anaelekea ni kubaya
Indonesia

@Addy_Adams Inashangaza sana kuona hoja kama hii ikijadiliwa kila awamu ya Bunge; FEDHA ZA KUMUONA DAKTARI HAZIINGII MFUKONI MWA DAKTARI.
Ingelikuwa hivyo Madaktari wangekuwa matajiri kupindukia.
Indonesia

@Addy_Adams Hakuna hoja hapo, hio pesa si ya daktari ni mapato ya hospitali husika.
Filipino



Vp tena mbona kama huu Mwaka hauna DECEMBER au ndio mambo ya Fashooon??
One woman Soldier👑@Toosynn
What comes to your mind when you see men dressed like this? I love his shoes
Indonesia

@Addy_Adams Mambo meng nlkua offlne since jana usiku nipen summary
Indonesia

@Addy_Adams Mheshimiwa 🔊 kwanza nimpongeze kaka yangu waziri kwa hotuba nzuri......
Mheshimiwa 🔊 Jimbo langu halina hata hospital 😝 serikali imeahidi miaka naenda Rudi kutupatia hospital mpaka Leo wananchi wangu wanateseka
Naunga mkono hoja
Unachanganyikiwa unayesikiliza
Filipino

Mzazi amekuzalia Mheshimiwa kwanini asipate fadhila ya kulipiwa Insurance? Ujue hawalali wanawaza Maendeleo yenu,,, japo muwe na Shukrani Wananchi
Tena napendekeza isiwe Bima ya NHIF,,, iwe STRATEGIS Insurance #KaziNaUtu
Bony 📚@bonifacejoseph_
Wanasiasa ni wabinafsi sana qmmmk 😂😂🙌🚮
Indonesia

@DadaConso Sasa mbona hii ni hatari,,, unajimaliza afu No yako anayo
Filipino








