
@Sharb84 @Twaha_Mwaipaya Mungu atusaidie siku africa iweze kutengeneza viongozi😁 ila tukiendelea kuzalisha hawa wana siasa, wanaoamini maono yao wao ndio mkondo wa kila mtu kupita kifikra. Huenda watawala wakibadilika itakuja kua worse zaidi ya tuliposimama😁😁 hakuna chuki hoja zijengwe tuu😁😁
Indonesia
























