Jo

1.9K posts

Jo banner
Jo

Jo

@AbgastJ

Tanzania Katılım Kasım 2015
1.2K Takip Edilen222 Takipçiler
Jo
Jo@AbgastJ·
@Wakazi The leader ume reason vema sana....Kingine ni kwa nini serikali isingezuia kumzika James bila kichwa mpaka kichwa kipatikane?? Na kwanini waliruhusu kuzikwa mwili bila kichwa wakati serikali ina mkono mrefu wa kutambua kichwa kiko wapi na nani alikichukua na kwa sababu zipi?
Indonesia
0
0
1
540
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
MATUNDA YA SERIKALI HARAMU Inauma sana Mzazi kupokea taarifa za kifo cha mwanao. Imagine unapata taarifa mwili wa mwanao umeokotwa ukiwa hauna Kichwa. Sijui kama Forensic Pathology & Post-Mortem ilifanywa ili kupata picha kamili ya kilichomsibu. Kabwa ya Kichwa kupatikana, nilikuwa na marafiki zangu tunaongea kuwa Mama yake hatomaliza msiba sababu hata baada ya kuzika mawazo yote ni “Kichwa cha mwanangu kiko wapi?” CRIME OF PASSION Mauaji ya kimapenzi; muuaji sio “professional” ni hasira na wivu tu; anachoma kisu mara nyingi ila sio kung’oa kichwa, au risasi anakupiga hovyo not with precision nor Intention. USHIRIKINA Watu huwa wanachukua viungo vya mwili; sehemu za siri, viganja, macho, nywele, maskio au ngozi. Sijawahi kusikia (DAR ES SALAAM) kuna masharti ya Mganga yanasema upeleke Kichwa cha Mtu. BIASHARA HARAMU kuna biashara ya kuuza viungo vya binadamu, na ingekuwa ni hivyo basi figo, pafu, moyo, ndio vingechukuliwa. JE HUU SIO MCHONGO? What if, Serikali Haramu imemuua dogo na kusingizia kuwa ni ushirikina ili ku-prove narrative ya JAJI CHANDE na Ripoti yake? Mmemteka dogo randomly na kumtoa kafara, bila kujua ni Binamu wa MH TEMBA (Msanii anae support CCM). Kumbuka Sheikh Sharrif Majini alipiga kampeni za CCM, asubuhi akapiga kura, mchana akauwawa na Wauwaji waliotumwa na Watawala wa CCM. MATUNDA YA UBAYA Kuna uwezekano Serikali kweli haihusiki na hili kabisa, ila kwa hali ilivyo nchini, kwa polisi walivyo incompetent, utekaji na upoteaji wa watu ulivyokithiri, WATU WANAACHAJE KUWANYOOSHEA VIDOLE WAO? Matunda ya UOVU, ni kuwa kila TENDO OVU, tunawapa nyie. POLICCM Yaani Vyombo vya Usalama vinashindwa kumlinda kijana wa Chuo Kikuu, alafu ghafla wanajidai wapo vizuri kiutendaji na wamepata kichwa Kitunda. Dar hakuna ushirikina wa hivyo! Polisi wana serve watawala Haramu na sio RAIA! Je, Mama yake JAMES TEMBA, atachimba kaburi lingine kuzika kichwa cha mwanae, au atafukua mwili aweke kichwa ndani ya jeneza?! NA HAPO NDIO TUMEFIKISHWA NA SERIKALI HARAMU AMBAYO KILA KUKICHA INAJINASIBU KUWA TANZANIA IKO SALAMA! The Leader
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet media
Indonesia
7
55
375
14.1K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Kama una Pesa kwenye account Za kitanzania ziweke kwenye mzunguko Mara moja! Au Kama waweza ziweke kwenye currency tofauti na Tzsh ama kwa Binance au Ku coin au wallet yeyote Tanzania inafilisika kabla ya mwezi wa 8 Keep this ✍🏻✍🏻
HT
40
95
1.2K
43.8K
Jo
Jo@AbgastJ·
@godbless_lema Mimi sina akili lakini viongozi wengi wa awamu hii hawanizidi
Indonesia
0
0
1
285
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Asante sana Mwenyezi Mungu. Jina lako libarikiwe.
Godbless E.J. Lema tweet media
HT
140
528
2.9K
67.7K
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
Ulinzi wa taifa si kulinda mipaka pekee. Ni pia kulinda misingi inayolifanya taifa libaki taifa. Taifa hulindwa si kwa bunduki tu, bali pia kwa: Taasisi imara,sheria zinazoheshimiwa, mahakama huru, bunge lenye uwezo wa kuisimamia serikali, uchaguzi unaoaminika, na wananchi wanaoamini kuwa haki inaweza kupatikana bila nguvu wala hofu. Kwa sababu mipaka inaweza kubaki salama… lakini taifa ndani likaanza kuoza. Mahakama zikikosa uhuru, bunge likigeuka muhuri wa kupitisha kila kitu, taasisi za umma zikianza kuogopa watu kuliko sheria, ndipo taifa huanza kupata ufa wa ndani ambao ni hatari kuliko adui wa nje. Historia inaonyesha: mataifa mengi hayakuanguka kwanza kwa kuvamiwa yalianguka pale ambapo taasisi zilianza kudhoofika, ukweli ukaogopwa, na mamlaka ikawa kubwa kuliko sheria. Ulinzi wa taifa wa kweli ni kuhakikisha: Hakuna mtu aliye juu ya sheria,taasisi zinafanya kazi bila hofu,na madaraka yanabaki kuwa dhamana ya wananchi, si mali binafsi ya watawala. Kwa sababu mwisho wa siku: jeshi linaweza kulinda mipaka, lakini ni taasisi huru zinazolinda roho ya taifa.”
Indonesia
59
177
950
24.8K
Jo retweetledi
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹
.@DrHmwinyi, kwa niaba ya masikini wote, tunakusihi sana usikerwe na kuudhika na sisi masikini. kerwa na umasikini na ufukara unaozaliswa, na kuendelezwa, na serikali yako na chama chako, @ccm_tanzania:
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹 tweet media
Indonesia
9
53
226
6.9K
sultan
sultan@chapanombombwi·
Wazee, baada ya yote yaliyotokea mshua akirejea kwenye shughuli za chama, Tumchukulie kama mtu aliyerudi chamani, au kama mtu aliyemaliza muda wake wa likizo? 😁
sultan tweet media
Indonesia
43
13
117
5.8K
Mayowa Durosinmi
Mayowa Durosinmi@mayordeah_·
The era of having CNN tell African stories is over, and we at the @Spearhead_Af are telling Africa's story on Africa's terms. As for what really happened on the October 29 election in Tanzania, watch out for the documentary, which will premiere in Accra at 5PM on Tuesday, May 26, at the WAGMC Auditorium, University of Ghana. Subsequently, it will also premiere in Dar es Salaam and Nairobi before going up for general viewership on YouTube on May 31.
Mayowa Durosinmi tweet media
English
177
557
1.3K
35.7K
Jo
Jo@AbgastJ·
@Chahali TISS ilishazikwa nafikiri. Kwa haya yanayoendelea TISS isingekubali kuyakalia kimya
Indonesia
0
0
5
1.4K
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢
Aisee! KUMBE Mama, mwana na binti na mkwe wote watu wa Idara ya Usalama wa Taifa! 😲😲😲 Ofkoz mama "aliingizwa kihalali" kutokana na utumishi wake serikalini, lakini wanae aliwaingiza kwa sababu "it fits the pattern", watoto wa vigogo serikalini na ccm LAZIMA waingizwe TISS😢
Indonesia
12
28
414
31.6K
Jo
Jo@AbgastJ·
@TitoMagoti @GoodluckMalekoJ Nadhani Msigwa asamehewe tu aliondoka Chadema bipa kutarajia wala kujua nini anafanya😀😀 kwa kifupi alimkimbia Mbowe
Indonesia
0
0
0
69
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
@GoodluckMalekoJ Agree. But he went on to damage entire movement. Ulikuwa ni ujinga uliopitiliza
Filipino
2
3
27
2.5K
Jo
Jo@AbgastJ·
@ChaummaT 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 gudubai
हिन्दी
0
0
1
128
Jo
Jo@AbgastJ·
@HallahKispoti @cleme74076 @RahmaMwita Lowassa aliwapa somo na sasa wamefuzu. Ujinga ule haujirudii ndii maana mwaka jana chadema ilisimama wima bila kuyumba
Indonesia
1
0
0
100
Rahuuuum
Rahuuuum@RahmaMwita·
Mpina alivyoingia ACT Wazalendo mlibeza ila wakija kwenu ndo patakatifu, mna hitilafu sana kama chama na siku mkiacha kuona nyie ndo wabeba bendera ya harakati za kuitoa sisiemu madarakani wengine mapandikizi basi tutapiga hatua kama upinzani kwa umoja na si vinginevyo.
Godbless E.J. Lema@godbless_lema

Sawa bhana 😄 Dhambi zako zote zimekuwa cleared. Sasa Ijumaa 22/5 fika Releni utoe ushuhuda live 😅. Na usiwe na wasi wasi… huku hakuna nyama za matambiko 😂

Indonesia
167
11
134
51.1K
Jo
Jo@AbgastJ·
@MariaSTsehai Waliopo kwenye mifumo wanajali maisha yao tuu na wala sio taifa.
Filipino
0
0
0
186
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨HALI MBAYA - MADENI KILA KONA‼️ Serikali haramu inafanya mzaha! Watumishi wa umma wakiwemo polisi wanaidai serikali mabilioni! Katika hii jedwali kwa mujibu wa CAG ni madeni ambayo watumishi wa taasisi hizo wanadai, yanahusu fedha za mishahara,uhamisho,safari au likizo! Sasa fikiria kuna pesa zile za kamata Lissu safirisha mkoa mwingine mara CHADEMA nchi nzima kamata peleka Dar! Ni pesa! Na hawajalipwa! Kumbe Suzan Kaganda inasemekana kilichomponda ni kumkemea Awadh kuhusu huu upumbavu! @SuluhuSamia anaiua nchi - Taifa linaenda kudidimia itachukua MIONGO kadhaa ku-recover! Hivi kuna watu kwenye mfumo wanaoona hii na wako tayari kuokoa jahazi? Bado subirini Sanctions zianze ndo mtanielewa #TutaelewanaTu mwaka huu!
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
23
98
383
21.8K
Jo
Jo@AbgastJ·
@EduTalkTz Takataka hizi zinaudhi sana
हिन्दी
0
0
0
67
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Halafu wakati huo huo “tunaunda tume ya kuchunguza jinai😂😂😂😂😂😂.”
हिन्दी
23
42
164
9.3K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
GEITA ASANTE SANA. Barabara ya lami si maendeleo ya kweli. Maendeleo ya msingi na yenye maana huanza kwa kuheshimu utu wa watu, haki zao, uhuru wao na usawa wao. Mambo mengine kama lami, majengo na miundombinu yanapaswa kuwa huduma za kawaida za dola, si mbadala wa haki za wananchi
Godbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
15
237
1.2K
17K
Jo
Jo@AbgastJ·
@nulphin 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
QME
0
0
0
78
Dr Calipso
Dr Calipso@nulphin·
MSUYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA TWENDE ZETU JOGGING MSUYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 😂😂😂
Dr Calipso tweet media
Indonesia
63
53
573
14.3K
Jo
Jo@AbgastJ·
@JohnNgutiCDM Hahahahahha kashachoka kujibu hoja ambazo haziwezi
Polski
0
0
0
93
John Nguti Chadema
John Nguti Chadema@JohnNgutiCDM·
Namna gani tena hapa, ata half time bado nimewekwa kabatini🙂
John Nguti Chadema tweet media
Filipino
17
14
110
5.4K
Jo
Jo@AbgastJ·
@Abraha1Brighton Amepotea yeye na heshima yake yote aliyoijenga kwa miaka mingi baada tu ya kuonjeshwa uwaziri kwa mara ya kwanza
Indonesia
0
0
1
57
NKENJA_7
NKENJA_7@Abraha1Brighton·
Uncle Bashe kwenye kikosi cha mama kizimkazi Hata Sabu hayumo 😂😂. CCM Kila mla mtu anakundi lake Kapotea Bashe kama upepo wa kisuri suri
NKENJA_7 tweet media
Indonesia
5
2
63
2.2K
Jo
Jo@AbgastJ·
@tylenol07 @fbuyobe Hahaha yaani mpaka hapo kajuta sana nimemkaanga leo mpaka kaaanza kupanic. Maumivu anayoyapata tukiwa tunampa makavu hivi ni mazito mn
Jo tweet media
Indonesia
1
0
1
15
Xprophet♊️
Xprophet♊️@tylenol07·
@AbgastJ @fbuyobe Anatakiwa apate knocks back to back..huku anakaangwa na wapwa kule anapoteza followers
Filipino
1
0
1
8
Jo
Jo@AbgastJ·
@tylenol07 @fbuyobe Kwa sasa hivi tusim unfollow mpaka apate maumivu ya kusemwa ajute baadae tunampotezea
Indonesia
1
0
1
17