Sales With Hamza retweetledi

BRO TO BRO,
Usiwahi kudharau hustle ya mwanaume mwenzako.
Wanaume Hatuchekani wala kudharauliana.
Kila mwanaume anapambana na vita yake kimya kimya, na mara nyingi hakuna anayejua mzigo anaoubeba.
Heshimu sana jitihada za kila mwanaume unayekutana naye, kwa sababu nyuma ya kila hustle kuna njaa ya mafanikio, majukumu ya familia, na vita visivyoonekana.
Siku zote Wanaume wa kweli hawavunjani moyo wanainuana.
Kwa sababu sote tupo kwenye vita moja ya maisha
Filipino













