Vigour

167 posts

Vigour

Vigour

@Highervigour

Mtia moyo, mshauri na mchambuzi wa masuala mbalimbali.

Tanzania Katılım Mayıs 2023
121 Takip Edilen41 Takipçiler
Vigour
Vigour@Highervigour·
@NyandaAmosi Kwani wewe unayelaumu ulitoka? mmeishia tu kuleta hadaa humu mtandani et kalamu Ina nguvu kuliko upanga kwamba mlikuanahamasisha kupitia post😄 hii nchi watu ni wabinafsi sana mnataka wengine ndio wahatarishe maisha kwaniaba yenu ila Nyie aaahh😄
Indonesia
0
0
1
224
AmosiNyanda
AmosiNyanda@NyandaAmosi·
1). Media Houses Zote Kubwa 2). Watu wenye Influence Kubwa Na wale wenye Media Zenye Authority 3). Vilabu Vikubwa Vya Mpira 4). Madhehebu Makubwa ya Dini Zote Hizo zote ni TOOLS na Silaha za Ziri zinazotumiwa na WANASIASA! PS: Now You Know!
HT
20
63
438
9.2K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@John_Pambalu Mbona na ninyi mnauongela huu uchaguzi Kila kukicha wakati hammo ila wanasiasa bna😀🙌
Indonesia
0
0
3
329
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Mwambieni WENJE azungumzie CHAUMA, ACT, TLP na CUF. CHADEMA haipo kwenye huu uchafuzi.
HT
60
134
956
18.4K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@spana_Konki @INFLUENCERjr Wakati wa yale maandamano ya ukuta mbona alikamatwa akawekwa ndani au wenzetu ndio siasa mmeanza kufuatilia juzi
Indonesia
0
0
0
40
Vigour
Vigour@Highervigour·
@rollymsouth Hapo kwenye kugomea uchaguzi ni biashara ya wachache chadema na muunga mkono 100% mradi wa no reform no election unawaingizia watu mamilioni huku wengine wakidanganywa et ni harakati hii nchi hii 😀
Indonesia
2
0
0
281
Vigour
Vigour@Highervigour·
@godbless_lema Mlitegemea mchukue Chama kihuni vile halafu patulie tuliwaonya jamani hizi kampeni baada ya uchaguzi chadema will never be the same again hamkusikia, ndio kwanza ukaandaa na kitabu Cha behind the....😀 Leo Chama kinasambaratika mnato milio na kujifariji😀
Indonesia
6
1
1
3.2K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mradi umekuwa mgumu sana. Wakandarasi warudi mezani haraka. Na sisi huku tunaendelea kukemea mapepo.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
83
245
1.5K
54K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@earadiofm @SamsonChazz Mimi nimezunguka mikoa mingi hapa Tanzania ila sijawahi kuona mkoa unatisha Kwa radi kama kigoma 😀🙌 kule ni mwisho wa maelezo 😀
Indonesia
0
0
0
13
Vigour
Vigour@Highervigour·
@Advocate_Jebra Halafu wewe ulipoitwa wakili kibaka ulitoa milio ya Kila aina jaribuni kufanya mambo ambayo mkifanyiwa mnaweza kuvumilia ninyi mnadhalilisha wenzenu mkidhalilishwa ninyi ni milio😄
Indonesia
4
0
2
1.8K
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Hivi Bawacha ya Chauma inaitwaje?
Jebra Kambole tweet media
हिन्दी
195
63
682
185.7K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@NelsonNgemela @rollymsouth Yap wpo wanufaika na wapo wafuata upepo wanafuta tu mkumbo wasijue wenzao wapo kwenye mradi
Filipino
0
0
0
11
Madenge
Madenge@rollymsouth·
G-55 wapo tayari uchaguzi usiwe huru na haki hata watu wafe wapate vilema ila wapewe wabunge viti maalumu na wabunge wawili watatu na madiwani hata wanne washenzi hawa wanawaza matumbo yao tu na sio maslahi ya watanzania.
Indonesia
34
164
965
24.2K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@martinAbdul14 @HecheJohn Amebaki lissu na heche na lema Kwasasa ndio waakunja hiyo mikwanja ninyi wengine mnasindikiza wenzenu kwenye utajiri😀
Indonesia
2
0
0
8
Vigour
Vigour@Highervigour·
@martinAbdul14 @HecheJohn Siwezi kushawishi wasioelewa siasa na michezo yake ila Kwa wanoielewa wanajua kabisa no reform no election ni mradi wa watu kupiga hela
Indonesia
1
0
0
15
Vigour
Vigour@Highervigour·
@CatherineRuge Safi sana ujumbe umewafikia wanaharakati wote wa mchongo ambao jukwao lao ni hapa X tu ila field huwaoni
Indonesia
3
0
3
3.5K
Associate CPA Catherine Ruge (Msubhati)
Siwezi lupoteza nguvu zangu kubishana na mtu ambaye hajawahi hata kuchukua form ya kugombea kitongoji wala mtaa. Ambaye alikimbilia Nairobi kipindi cha Magufuli na juzi kakamatwa kakaa ndani siku 2 kashakimbilia Nairobi. Sasa hivi kawekwa kwenye apartment na pesa za NGOs za nje anaandika ujinga akiwa salama na mtoto wake. Mimi sitakimbia mapambano wala nchi yangu, Ntafia hapa na ntazikwa hapa PERIOD.
Indonesia
387
35
430
120.9K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@martinAbdul14 @HecheJohn Kwani humu Kuna tofauti Gani na Facebook tena bora hata Facebook huku Kuna hadi kipengele Cha watoto wameshalala😀
Indonesia
2
0
0
246
Vigour
Vigour@Highervigour·
@hancymachemba Kiongozi mmoja alipowaita wanaokosoa maendeleo wanatumwa na mabeberu mlimsema sana kuwa hataki kukosolewa Leo nyie mnaopishana nao mawazo mnawaita matapeli awee😀 democracy kweli ni rahisi kuisema kuliko kuiishi na huwa ni rahisi kukosoa ila sio rahisi kukubali kukosolewa
Indonesia
1
0
1
188
Hancy Machemba
Hancy Machemba@hancymachemba·
Ila wale G55 sidhani kama kweli wapo timamu. Ktk wakati ambao chama walichokihama kikiwa kwenye wakati mgumu WA kuipambania uhai na haki za wanachama wenzao,lkn wao wapo busy kupambana na chama. Yaani mawazo yap yapo kwenye nyadhfa na kupambana viongozi wao Tu. Wale matapeli😂😂
Indonesia
48
70
589
31.3K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@godbless_lema Hivi mbona mnapenda kujifariji badala ya kukubali uhalisia 😀 kundoka Kwa wanachama kwenye chama ni pigo sababu Kuna watu nyuma yao wanawaamini kuondoka kwao kunawafanya waliowaamini na wao wakose Imani na siasa na Chama husika, mangi acheni kujifariji Chama kijitafakari
Indonesia
22
0
18
2.8K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
G-55, Mandela, na Safari ya Kujisafisha Chadema: Tunakoelekea Ndiyo Tunakostahili Kuwa Kitendo cha kundi la G-55 kujiondoa ndani ya CHADEMA kimeniamsha fikra juu ya jambo la msingi sana kuhusu uhai wa vyama vya siasa—kuwa si kila msongamano ni mshikamano, na si kila idadi ni nguvu halisi. Nilijikuta nikikumbuka mwaka ambao CHADEMA, chini ya Katibu Mkuu wa wakati huo, Dkt. Wilbrod Slaa, ilifanya mikutano kadhaa ya ndani. Wakati huo huo, Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) Wilaya ya Ubungo lilikuwa na kongamano maalum katika Ukumbi wa Landmark Hotel. Mgeni rasmi alikuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Miongoni mwa wazungumzaji wakuu alikuwa Mwanasheria wa chama—Tundu Antipas Lissu. Katika hotuba yake, Lissu alitumia mfano wa kihistoria kutoka Afrika Kusini, akimnukuu Nelson Mandela na harakati za ANC dhidi ya mfumo wa ubaguzi wa rangi (apartheid). Mandela, kwa mujibu wa Lissu, alikuwa mkali sana katika kuhakikisha kuwa mapandikizi yote ndani ya ANC—Waafrika waliokuwa wakifanya kazi kwa maslahi ya serikali ya Makaburu—yanang’olewa bila huruma. Hili liliwezesha harakati za ukombozi kuwa safi, imara na za kweli. Lissu alisisitiza kuwa CHADEMA pia ilikuwa inapitia kipindi kama hicho: mapambano dhidi ya mfumo dhalimu hayangefanikiwa ikiwa chama kingeendelea kubeba mizigo ya watu walioko ndani lakini roho zao ziko nje. Kwa wakati huo, aliyekuwa kinara wa tuhuma hizo alikuwa Zitto Kabwe. Leo hii, tukirejea msimamo wa #NoReformNoElection (NRNE)—ambao ndiyo dira ya sasa ya chama—ni dhahiri kuwa Tundu Lissu, akiwa Mwenyekiti, ameendeleza kwa ujasiri falsafa ile ile: CHADEMA lazima kijisafishe. Lakini tofauti na kutumia nguvu au vurugu, chama kinajenga mazingira ya ndani ambayo yanawalazimisha wenyewe kujiondoa. Wamejitoa kwa hiari, lakini si kwa bahati mbaya—ni kwa sababu ya moto wa misimamo ya kweli. Katika mazingira ya sasa ya kisiasa nchini Tanzania, CHADEMA ndicho chama pekee chenye upinzani halisi dhidi ya CCM na dola, na kinachobeba matumaini ya mamilioni ya Watanzania. Kwa hali hiyo, ilitarajiwa kuwa moja ya mikakati ya kimya ya dola ni kuvuruga chama hicho kutoka ndani kwa kupandikiza watu wa kuharibu dira na mshikamano wake. Kwa mantiki hiyo, programu ya NRNE imekuwa kama nyoka anayejivua gamba—kujisafisha kwa njia ya asili. Kujiondoa kwa G-55 si pigo; ni neema. Ni hatua ya kuongeza usafi wa chama. Ni hatua ya kujenga msingi imara wa chama cha watu, si cha nyadhifa. CHADEMA haipaswi kuwa chama cha wenye kiu ya ubunge, udiwani au uwakilishi. Inapaswa kuwa chama cha watu wanaoamini katika mabadiliko ya mfumo, hata kama wao hawatanufaika binafsi. Chama hiki kinahitaji watu walio tayari kupigania maslahi ya umma hata kama haitaleta faida kwao binafsi. Kwa hiyo, kujiondoa kwa G-55 ni baraka kwa CHADEMA—ni nafasi ya kuimarika, kupendwa zaidi na kuvutia maelfu ya Watanzania walio nje ambao wanatafuta nyumba ya kisiasa ya kweli, siyo ya mahesabu binafsi. Ni nafasi ya chama kuwa chama cha watu wa aina ya Lissu—wanaoishi mbele ya muda. CHADEMA inaendelea kuwa mwanga wa matumaini, na kuondoka kwa wale waliokuwa kivuli tu kumeifanya iangaze zaidi. Anderson Ndambo Mtetezi wa Haki za binadamu na Mchambuzi huru.
Indonesia
203
476
2.1K
101.9K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@KumbushoDawson Mna mengi ya kujifunza Kwa CCM, Nchimbi alikuwa timu Lowasa na alitamka hadharani ila Uongozi mpya ulipoimgia ulizika tofauti wakampa na ubalozi nyie Sasa ni huzuni wanaopinga ni wasaliti na mnawapa vijembe Kila siku kwann msiwasikilize na mkawajibu ili anayezingua akaonekana
Indonesia
2
0
2
645
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
Kwamba kabla ya kuja kuongea na wanahabari waliambizana wavae ngue nyeupe wote? Kwamba katika kipindi hiki ambacho Mwenyekiti ana kesi nzito kama hizi Ndiyo wao wanaona NI wakati sahihi WA kuongea haya?!
Kumbusho Dawson Kagine tweet media
Indonesia
64
28
272
24K
Topten
Topten@Charzy96·
@Highervigour @HecheJohn @mdudenyagali @tanpol Hoja zinatolewa Sana sio tu nje Hadi bungeni CDM wamekua wakitoa hoja Sana hakuna kiongoz wa CDM mweupe ndo maana hua wananunuliwa na CCM kwa gharama kubwa na wakifika kule wanakua Hadi mawazir sema tu wanafika hatua ya kufoka baada ya kuona hoja zao hazifanyiw kazi
Indonesia
3
1
1
61
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Tumeshauriana na viongozi, Naibu katibu mkuu wetu Amani Golugwa ataenda Mbeya kwaajili ya kuongeza ufuatiliaji wa suala la mwanachama wetu @mdudenyagali . Tunataka serikali ituambie alipo Mdude, Utekaji na upotezaji wa watu haukubaliki, @tanpol mna taarifa zote kuhusu hao watu waliokuwa wanamtafuta Mdude. Watanzania wanataka Mdude arudi akiwa mzima.
Indonesia
93
508
2.3K
77.9K
Vigour
Vigour@Highervigour·
@HusseinBashe Baada ya rais Samia unatakiwa ufuate wewe unaupiga mwingi kiongozi
Indonesia
0
0
0
60
Hussein M Bashe
Hussein M Bashe@HusseinBashe·
Salaam Ndugu Zangu, Mtakumbuka kuwa Serikali, kupitia kauli yake rasmi iliyotolewa Bungeni, imeanzisha Programu ya BBT Borelhole - ya kuchimba visima 62,000 kwa ajili ya kuwawezesha wakulima wadogo nchini. Visima hivi vitahudumia zaidi ya hekta milioni 2.2 kwa kipindi cha miaka minane, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha kilimo cha umwagiliaji na kupunguza utegemezi wa mvua. Katika hatua ya awali, Serikali imenunua magari 20 maalum yenye uwezo wa kuchimba visima hadi kufikia kina cha mita 1,500. Magari haya yameanza kuwasili nchini wiki hii, na ifikapo tarehe 15 Juni 2025, yanatarajiwa kuwa yamewasili yote, InshaAllah. Na mwaka ujao wa fedha, tutatenga tena Fedha kununua magari mengine.
Hussein M Bashe tweet mediaHussein M Bashe tweet mediaHussein M Bashe tweet mediaHussein M Bashe tweet media
Indonesia
353
226
1.2K
171.8K