Sabitlenmiş Tweet
Anko J
20.5K posts

Anko J
@IamMborrow93
Content creator 🖊️, Wisdom.
🇹🇿 Katılım Haziran 2024
925 Takip Edilen1.5K Takipçiler
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi

Boss wa record label ya 'Mavin Records' Don Jazzy ametuambia kwa mara ya kwanza alimjulia na kumpata msanii wake #AyraStarr kupitia mtandao wa Instagram.
🗣Don Jazzy anasema alimwomba msichana mmoja amtumie akaunti za marafiki zake wa kike wenye vipaji vya muziki ndio akatumiwa handle ya Sabi Girl Ayra Starr.
Unaambiwa Don Jazzy alim-follow Ayra Starr instagram na siku akajipost akiwa anaimba na kilichofuata baada ya hapo ni historia.
#EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha

HT
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi

Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki yake ya kuandaa Mshiriki Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 kutokana na uhaba mkubwa wa fedha na ucheleweshaji wa ujenzi wa Viwanja.
Katibu Mkuu wa Michezo Elijah Mwangi alifichua kwamba nchi bado haijalipa ada yake ya lazima ya Ksh3.9 Bilioni (Dola Milioni 30) kwa Shirikisho la soka Afrika (CAF).
Mgogoro wa kifedha unachangiwa na vikwazo vikubwa katika ukarabati wa Uwanja. Mwangi aliwafahamisha Wabunge kwamba Viwanja vya Kasarani na Nyayo huenda vikawa tayari katika muda wa miezi sita uliowekwa na CAF.
Alieleza kuwa Mkandarasi anayekarabati Uwanja wa Kasarani amepunguza Wafanyakazi wake kwa kiasi kikubwa kutokana na deni la Serikali la zaidi ya KSh3.7 bilioni.
Hali katika Uwanja wa Nyayo ni mbaya zaidi, huku mkandarasi akiacha eneo kubwa kutokana na fedha ambayo haijalipwa inayozidi Ksh2.6 bilioni.
#KitengeUpdates

Indonesia
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi
Anko J retweetledi


































