Imaglass retweetledi

Kumbe kwa sheria za Usalama Barabarani Boda Boda na Baiskeli havina haki ya kutumia Barabara kuu. Ivo Mwendesha gari akimkanyaga Boda boda hana kosa lolote kisheria maana boda boda ndo kamfuata kwenye njia yake.
Boda boda muwage wapole kwenye barababara sio njia zenu zile na sheria haiwatambui. Mnatambulika tu na CCM siku wakiwahitaji kwenye kampenzi zao😂
Indonesia













