MWANAHISABATI

89.1K posts

MWANAHISABATI banner
MWANAHISABATI

MWANAHISABATI

@ArthurGeil

i love❤️Tanzania🇹🇿| Writer | RichKid Content Creator | Life lessons daily. Think better. Live better | Building #ElimuBure| My Resources→https://t.co/gekqvVYVT9

Follow WhatsApp Channel Yangu↓ Katılım Ocak 2022
285 Takip Edilen7.8K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Mbinu 10 Za Haraka Za Usalama Kila Mtu Anapaswa Kujua: 1. Ukihisi harufu ya kitu chenye utamu ndani ya gari lako, simamisha kuendesha mara moja kwa sababu huenda kuna uvujaji wa betri au kimiminika cha kupozea injini (coolant). 2. Ukihisi kuna mtu anakufuata kwa kukufatilia fanya mizunguko minne ya kushoto, akiwa bado yuko nyuma yako, kuna uwezekano anakufuatilia. 3. Ukidondosha funguo zako ukiwa unafukuzwa, endelea kukimbia usisimame, utapoteza sekunde muhimu. 4. Daima weka viatu vyako karibu na kitanda majanga mengi hutokea usiku. 5. Mgeni akikuomba umsaidie kutafuta mnyama wake aliyepotea, usiende hii ni mbinu inayotumiwa mara nyingi kuvutia waathiriwa. 6. Ukikwama kwenye moshi, tembea kwa kujikokota chini hewa safi zaidi hubaki karibu na sakafu. 7. Usiache kinywaji chako bar bila uangalizi hata kwa sekunde moja. 8. Hisia aka Intuition zako zikikuambia usiende, ziamini. 9. Ukishikwa mkono kwenye kifundo, zungusha mkono wako kuelekea upande wa kidole gumba cha mshambuliaji hapo ndipo sehemu dhaifu zaidi. 10. Hakikisha simu yako ina chaji angalau 50% kabla ya kutoka nyumbani simu iliyozimika hukata mawasiliano ya msaada. Chukua na hii...⤵️
Indonesia
1
3
9
265
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Maisha ya mwanaume hua yanaanza kunyooka akifikisha miaka 30 na kuendelea. Hapa katikati ya miaka 25 na 30 ndio kipindi ambacho wanaume wengi tunapitia presha kali sana kwenye maisha, Na hii ndio sababu:🧵
Filipino
4
22
142
7.8K
Mr. CEO 💰
Mr. CEO 💰@MrCEO001·
MWANAUME ni ngumu kutengana na ngono (SEX) ila ndio tusiwe vipofu tunakufa kis*nge 🚮💔🙌
Indonesia
5
9
15
157
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Jirani yangu kuna caisedo wake anamuingiza na mwamvuli,ili tusimuone anazima na taa za nje, asubuhi sijui anamtoa sa ngapi💔😀
Indonesia
5
12
17
134
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Mbinu 10 Za Haraka Za Usalama Kila Mtu Anapaswa Kujua: 1. Ukihisi harufu ya kitu chenye utamu ndani ya gari lako, simamisha kuendesha mara moja kwa sababu huenda kuna uvujaji wa betri au kimiminika cha kupozea injini (coolant). 2. Ukihisi kuna mtu anakufuata kwa kukufatilia fanya mizunguko minne ya kushoto, akiwa bado yuko nyuma yako, kuna uwezekano anakufuatilia. 3. Ukidondosha funguo zako ukiwa unafukuzwa, endelea kukimbia usisimame, utapoteza sekunde muhimu. 4. Daima weka viatu vyako karibu na kitanda majanga mengi hutokea usiku. 5. Mgeni akikuomba umsaidie kutafuta mnyama wake aliyepotea, usiende hii ni mbinu inayotumiwa mara nyingi kuvutia waathiriwa. 6. Ukikwama kwenye moshi, tembea kwa kujikokota chini hewa safi zaidi hubaki karibu na sakafu. 7. Usiache kinywaji chako bar bila uangalizi hata kwa sekunde moja. 8. Hisia aka Intuition zako zikikuambia usiende, ziamini. 9. Ukishikwa mkono kwenye kifundo, zungusha mkono wako kuelekea upande wa kidole gumba cha mshambuliaji hapo ndipo sehemu dhaifu zaidi. 10. Hakikisha simu yako ina chaji angalau 50% kabla ya kutoka nyumbani simu iliyozimika hukata mawasiliano ya msaada. Chukua na hii...⤵️
Indonesia
1
3
9
265
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
WhatsApp Channel yangu ipo hewani sasa. Thread mpya utakuwa wa kwanza kuziona. Mawazo ya pesa, maisha, discipline, mindset na kujijenga hayo yote nitakuwa naweka huko pia for FREE. Bofya hapa ujiunge👇🏾 whatsapp.com/channel/0029Vb…
Indonesia
0
0
0
36
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Bro to Bro Haya Mambo 5 Usiyajaribu: • Usijifunze vitu vingi Kwa wakati mmoja • Usipokee ghasia • Usipoteze muda wako Kwa yeyote, hasa ukigundua hakujali • Usiwashauri watu wasiofanyia kazi ushauri wako • Usizamie kwenye penzi kabla ya kutimiza malengo Yako Ongeza nyingine👇
Indonesia
4
9
29
1.3K
MWANAHISABATI retweetledi
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Nina laki yenu hapa kwa mtu atakayeweza kuniambia huu mchoro kipanya alimaanisha nini?
MWANAHISABATI tweet media
Indonesia
14
4
32
4.9K
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
WhatsApp Channel yangu ipo hewani sasa. Thread mpya utakuwa wa kwanza kuziona. Mawazo ya pesa, maisha, discipline, mindset na kujijenga hayo yote nitakuwa naweka huko pia for FREE. Bofya hapa ujiunge👇 whatsapp.com/channel/0029Vb…
Indonesia
0
0
1
36
Jovict_184
Jovict_184@Jovict184·
@ArthurGeil Inaonyesha jamaa kapewa uhuru wa kuzungumza, ila akizungumza tu ndo mwisho wake
Indonesia
1
0
1
46
MWANAHISABATI retweetledi
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
🚨𝕏 - Update! Jana X wametoa update ya algorithm jinsi itakavyofanya kazi! Mimi baada ya kusoma code yake nimeelewa haya… X sasa inapenda zaidi: ->Content yenye kitu cha maana na yenye mawazo ya kipekee. ->Post zinazowafanya watu wabaki kuzisoma. ->Coment yenye mazungumzo ya kweli na si fake engagement. X inapunguza reach yani kufanya post yako iende viral ukifanya vitu kama: ->Kupost hovyo hovyo. ->Ukifanya engagement ya uongo (engagement farming). ->Content za AI zilizorudiwa-rudiwa. ->Post za motivational zisizo na ushahidi (X haitaki motivation uchwara 😁). Kwa kifupi: siku hizi X haitaki tu wingi wa post. Inataka ubora na uhalisia. Mambo yaliyoanza kupunguza nguvu ya posts zako kuwafikia watu wengi ni: 1. Kupost sana sana Ukikaza kupost kila muda, si kwamba lazima uadhibiwe moja kwa moja lakini mara nyingi engagement hugawanyika. Watu wanaweza kuchoka na algorithm haijui post ipi isimamishe zaidi. Maana yake ni hii: post moja kali inaweza kufanya vizuri kuliko post 10 za kawaida. 2. Kuomba watu wa-comment ovyo Zile post za: “sema YES”/“coment Amen” kama watu wa facebook humu hazifanyi kazi! “weka 🔥” “nakubali” “kushusha handle” hii ndio sababu unapata shadow ban. Hizi siku hazina nguvu sana. Algorithm sasa huangalia zaidi: ->Nani amejibu. Je, ni mtu muhimu au la mazungumzo yana maana au ni makelele tu 3. Post za maandishi tu. Post zenye maandishi peke yake bado zinaweza kufanya kazi vizuri lakini picha, screenshots, videos, na carousel mara nyingi husaidia zaidi kwa sababu huwafanya watu wasimame na kuangalia. 4. Kuirudia ile ile format ya viral post. Zile post za kuiga: “No one talks about this…” “I quit my job and learned this…” Zimejaa sana. Sasa algorithm inaonekana kugundua vitu vinavyorudiwa-rudiwa, hivyo original idea inathaminiwa zaidi. 5. List za AI zisizo na experience. Post za aina ya: “Top 10 AI tools” “Best ChatGPT prompts” “Best AI websites” zikija bila uzoefu wa kweli, proof, au matumizi halisi, zinapoteza nguvu. Sasa watu wanataka kuona kitu cha kweli, sio copy-paste ya tools. 6. Motivation tupu Post za: “Never give up” “Stay consistent” “Winners never quit” bila mfano, bila story, bila data, hazivutii kama zamani. Nini sasa kinafanya kazi? 1. Mawazo ya kipekee kutoka kwa akaunti ndogo. Sasa hata account ndogo inaweza kwenda mbali kama ina kitu kipya na cha maana. Sio lazima uwe mkubwa ndio uonekane. 2. Thread zenye story kama zangu. Thread zenye mwanzo, changamoto, suluhisho, na mwisho wa maana zinafanya watu wasome hadi mwisho. 3. Text pamoja na media kama katuni za kipanya. Ukiweka maandishi na picha au screenshot au video, mara nyingi inafanya vizuri zaidi kuliko maandishi peke yake. 4. Maoni ya bold yaliyo na ushahidi Algorithm inapenda post zenye msimamo. Lakini si msimamo wa kubahatisha; unapaswa kuambatanisha na proof kama: screenshots data matokeo mfano halisi 5. Long-form content Post ndefu zenye maelezo mazuri bado zinafanya kazi kwa sababu zinawafanya watu wakae muda zaidi na kuonyesha kuwa unaelewa unachoongea. “Reply to your own replies” ina maana gani? Hii ina maana ukijibu watu kwenye comments zako mapema, conversation inabaki hai. Algorithm inaona post bado inazungumzwa, na hiyo inaweza kusaidia reach. “Consistency > volume” Hii ndiyo lesson kubwa kabisa. Bora upost mara 1 au 2 kwa siku kwa ubora mzuri kuliko kupost sana bila mpangilio. Kwa content yako binafsi, hii ina maana gani? Kama unataka kufanya vizuri kwenye X, jaribu kuwa: wa kweli wa moja kwa moja mwenye maoni yako binafsi unayeonyesha proof si mtu wa maneno ya motivational tu Kwa kifupi, algorithm ya sasa inapenda zaidi: “onyesha ulichojenga, si tu eleza unachowaza.” — MWANAHISABATI
MWANAHISABATI tweet media
Indonesia
1
4
9
364
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Hapa lazima tutakuwa na kubwa jinga, chelsea akishinda tunaamka na city, city akishinda chelsea tunao hakuna kupoteza yaani😀
Adv.Innocent⚖️ tweet media
Filipino
9
21
67
934
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@PstNkonina Mimi. Mungu afanye maajabu 10% ya followers wangu wanunue kozi yangu 🤲🏾🤲🏾
Indonesia
0
0
0
26
Rev. Sam Nkonina
Rev. Sam Nkonina@PstNkonina·
Wangapi kati yenu mnaamini kwamba Mungu anaweza kubadilisha hali yenu ya kiuchumi kwa usiku mmoja?
Indonesia
8
8
48
1.4K
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@The_mesha24 Namba 5: - Siasa - Mpira Huko nishajikataaga kitambo sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Filipino
1
0
2
79
THE MESHA
THE MESHA@The_mesha24·
Mambo ya kuyaepuka wakati unajitafuta kama Kijana. 1. Usiji-attach na mahusiano, 90% mahusiano mengi ni destruction. 2. Epuka sana na raha za muda mfupi na nyepesi. 3. Jiepushe na watu wasiokuwa na mwelekeo. 4. Epuka kujilinganisha na watu waliokutangulia kwenye unachofanya. 5. Jiepushe kubishana sana mambo ya mpira, yanakula sana energy yako.
Indonesia
2
8
53
1.9K
Lanez
Lanez@Tom_lanez·
@ArthurGeil Kaka nime follow channel yako kule whatsapp..madini ni mengi sana 🙌🙌
Tanzania 🇹🇿 Eesti
1
0
1
13