Sabitlenmiş Tweet
Wajibu_Institute
1.9K posts

Wajibu_Institute
@InstituteWajibu
Experts in: • Public Financial Management • Social Accountability • Corporate Governance, and Leadership | [email protected] RTs are not endorsement
Ndovu Street, House No 10 Katılım Ekim 2018
397 Takip Edilen1.9K Takipçiler
Wajibu_Institute retweetledi

Katika zahanati hiyo moja ya Uzi, kuna daktari mmoja pekee.
Hakuna wakunga wa kutosha. Kwa mama mjamzito, hii maana yake ni kusubiri au kusafiri umbali mrefu, wakati mwingine maisha yanakuwa kwenye hatari.
#RaiaMakini
@policy_F @InstituteWajibu
Indonesia
Wajibu_Institute retweetledi

Ukosefu wa maji Malamba Mawili umewalazimisha wakazi kununua maji kwa gharama kubwa kila siku.
Je, ni haki kwa wananchi wa kipato cha chini kubeba mzigo wa huduma ambayo kikatiba inapaswa kupatikana kwa wote?
#RaiaMakini
@policy_F @InstituteWajibu
Filipino
Wajibu_Institute retweetledi

@MarekaMalili @policy_F @InstituteWajibu Mfano, chukulia viongozi wanasema wanalinda katiba kwa kutumia katiba kumwajibisha raia, lakini katiba haiwajibishi viongozi, unategemea nini
Indonesia

On 15th December, we were pleased to host Ella Pyk and Olivia Johansson, interns from the @SwedeninTZ at WAJIBU for a learning visit.



English
Wajibu_Institute retweetledi

'Matumizi duni masoko ya kisasa Dar yanavyopoteza mapato" Soko lililokuwa na wafanyabiashara 925, lakini sasa ni 650 wengi wamekata tamaa wameondoka masokoni. Masoko yamejengwa kwa fedha kubwa ila wateja hawako @policy_F @InstituteWajibu #RaiaMakini

Filipino
Wajibu_Institute retweetledi

Uchunguzi uliofanywa na Dailynews Digital miezi 3 katika masoko matatu ya kisasa ya Magomeni, Tandale na Bwawani,masoko hayo bado hayajatumika kama ilivyopangwa.
Soko la Magomeni Sh bilioni 10.5, Soko la Bwawani bilioni 1.5 na Soko la Tandale Sh B 10.2 @policy_F @InstituteWajibu
Filipino

#ITAC2025 is here!! Join @InstituteWajibu and other stakeholders to engage in a Candide Discussion on "Enhancing Electoral Accountability and Participation for Strengthening Democracy in a Digital Age"
Register 👇
itac.wajibu.or.tz/register
English
Wajibu_Institute retweetledi

Wakazi wa vijiji vya nanjilinji A na miguruwe wilayani Kilwa wameeleza kwamba mradi wa raia makini uliotambulishwa kwao na shirika lisilo la kiserikali TUJIWAKI utawasaidia kutambua majukumu yao kama wananchi na kuisimamia serikali kwenye utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo ili ilete tija.
Wameyazungumza hayo kwenye mikutano ya hadhara Kwa nyakati tofauti yenye lengo la kuutambulisha mradi huo.
Wananchi hao pia wamepata nafasi ya kuuliza maswali muhimu kuhusu mradi huo namna utakavyotekelezwa kwenye vijiji vyao na kushukuru Kwa ujio wa mradi huo kwani utawawezesha kufatilia mambo yanayohusu maendeleo ndani ya vijiji vyao.
Awali mratibu wa mradi wa raia makini PILI MKEMI ameeleza mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano wa shirika la WAJIBU na POLICY FORUM kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya ukiwa na malengo ya kuwawezesha wananchi kufatilia masuala ya uwazi na uwajibikaji kwenye kwenye matumizi ya fedha za umma pamoja na maendeleo ya jamii zao.
#RaiaMakini

Indonesia
Wajibu_Institute retweetledi

LEO NI SIKU YA UZINDUZI..!
📍 Youth Manifesto / Ilani ya Vijana Tanzania 2025
📅 Makumbusho ya Taifa
Vijana wote 👉 Hii ni nafasi yetu ya kusikika, kuamua na kushiriki kujenga Tanzania bora!
Usikose kuwa sehemu ya historia.
#YouthManifesto2025


Indonesia

WAJIBU na @policy_F wazindua Ripoti Tatu za Uwajibikaji za mwaka 2023/24. Ripoti hizo zimezinduliwa na Bw. John Kabale, Mkurugenzi Msaidizi kutoka TAKUKURU. Uzinduzi ulichagizwa na mada iliyowasilishwa na Mtoa Mada mkuu Mhe. Jaji Mstaafu Robert Makaramba,Dodoma. #RaiaMakini




Indonesia
Wajibu_Institute retweetledi

@InstituteWajibu na @policy_F Waandae Bango Kitita la Uwajibikaji (Accountability Matrix) Kuangalia maeneo yenye Vihatarishi vya Uwajibikaji, Ushahidi, na nani anapaswa kuwajibika katika matumizi ya fedha za Umma~ Jaji Mstaafu Makaramba #RaiaMakini

Indonesia






