Chandra 🌟

2.4K posts

Chandra 🌟 banner
Chandra 🌟

Chandra 🌟

@ItsMatemu

There is no friendship without self-interest.

London, Ontario Katılım Haziran 2020
354 Takip Edilen411 Takipçiler
Eduardo Hagn
Eduardo Hagn@EduardoHagn·
If Arteta doesn’t win the Premier League or the Champions League, he CANNOT continue next season.
English
634
1K
9.7K
366.8K
Astropics
Astropics@astropics·
A day on Venus lasts 243 Earth days A year on Venus lasts 225 Earth days
Astropics tweet media
English
181
1.2K
31.6K
1.3M
Alex Kabona
Alex Kabona@AlexKabona·
@EsirEid Hapana, angalia muktadha aliolinganishwa nao. Persecution. Sio Ukuu wake
Filipino
2
0
1
712
🇹🇷GianT
🇹🇷GianT@mkemi4mkUu·
“Basi wajukuu zangu kipindi hicho fisadi haendi jela ni anatajwa jina lake tu anaanza kuona aibu hadi anakufa”
🇹🇷GianT tweet media
Indonesia
111
266
1.3K
23.7K
Ing. Kwadwo Kyeremeh
Ing. Kwadwo Kyeremeh@KwadwoKyeremehT·
@elliot_solution They have systematically downplayed the 94 million deaths as a footnote of history, whiles only talking about theirs (6 million)
English
7
0
10
1.8K
Elliot
Elliot@elliot_solution·
The most violent century in human history was the 20th century. The two deadliest conflicts ever were World War 1 and World War 2. Neither was fought in the name of religion. Stalin was atheist. Killed 20 million. Mao was atheist. Killed 45 million. Hitler was not motivated by religion. Killed 6 million Jews. The problem was never religion. The problem has always been power and the humans who want it. Religion is just one of the tools they use. Take it away and they will find another.
Nandi 🤍💜🤍@pallnandi

The world would be a lot more peaceful if religion didn’t exist.

English
213
1.4K
7.1K
271.9K
Chandra 🌟
Chandra 🌟@ItsMatemu·
@HecheJohn Huyu Baba namuonea Huruma sana, lakini nikiiangalia kesho anayoipigania najipa Moyo na kusema "napaswa kumuunga mkono".
Filipino
0
0
17
1.2K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
KUTOKA KATIKATI YA KUTA ZA MAGEREZA UKONGA, ANAANDIKA TUNDU ATIPHAS LISU: Mwaka 1988 mto Vaal huko Free State ulifurika na kujaza bwawa kubwa la kuzalisha umeme la Vaal Dam. Bwawa likazidiwa maji na kutapika. Sehemu kubwa ya maji yakaenda kuathiri mashamba ya makaburu huko Free State na Gauteng. Nyumba za wakulima wa kizungu zikabomoka, na vifo 11 vikaripotiwa. Wakati huo kulikuwa na mapambano makali ya watu weusi kudai uhuru kutoka kwa makaburu. Baada ya makaburu kupata majanga hayo ya mafuriko, maelfu ya watu weusi walishangilia mitaani na wengine wakifanya sherehe kama ishara ya kushukuru "miungu" yao kwa kuwalipia kisasi. Rais Pieter Willem Botha, mmoja wa Marais katili mno wa Kikaburu, akalaani kitendo cha Waafrika kushangilia vifo vya makaburu. Huyu ni yule aliyewahi kusema Waafrika hawana akili za kujitawala, wanapaswa kutawaliwa milele. Baada ya mafuriko hayo P.W Botha akasema serikali yake haitawavumilia walioshangilia vifo vya makaburu kwa sababu huo si ubinadamu. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha ANC, Walter Sisulu, akamjibu P.W Botha kwa maneno ambayo yanaishi hadi leo. Sisulu alisema: "Kama makaburu hawaumizwi na vifo vya watu weusi, wasitegemee kwamba weusi wataumizwa na vifo vyao. Weusi wameuawa kinyama na makaburu, na wengine hawakupewa hata heshima ya kuzikwa; walifukiwa kwenye makaburi ya halaiki kama wanyama. Leo, makaburu wakifa wanataka weusi waomboleze? Huku ni kujipa haki kubwa kuliko hata malaika. Hamuwezi kuua watu weusi, muwafukie kama mizoga, halafu mkifa nyie mnataka watu haohao wasikitike. Binadamu ni yule yule, awe mwenye ngozi nyeusi au nyeupe. Kama wewe kaburu unaumizwa na kifo cha kaburu mwenzako; unapaswa kuumizwa na kifo cha mtu mweusi pia. Kuwa mweupe au kuwa na madaraka hakukufanyi kuwa binadamu kuliko wengine. Utu wetu haupo kwenye rangi za ngozi zetu wala vyeo vyetu.”
John Heche tweet media
Indonesia
46
414
1.4K
35.4K
MicasaSucasa🎣
MicasaSucasa🎣@Kirungu_·
@ItsMatemu @prossoff Qmmk kweli yaani,unalomba Bar Maid,kimoyomoyo unajisemea huyu napiga mara mbili nasepa sitaki mazoea. Ila baada ya hapo sasa kazi unaanza kuielewa mpaka unatamani uipost! Hata uambiwe mtu fulani anakula,unaumia na kuwa na wivu qmmk utadhani unaoa.
Indonesia
1
0
1
98
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE. 1. Anauza duka la mtu. 2. Migahawani na mahotelini. 3. Bar maid. 4. Muhudumu wa Guest house/Lodge. 5. Muigizaji. 6. Mnenguaji. 7. Saloon za kiume. 8. Muhudumu wa magari. 9. Agent stendi. 10. Mtembeza mboga + matunda. Hiyo ni aina ya ladies among other ambao wapo subjected ma wanaume aina mbali mbali. Wanakutana na watu ambao wanazo hela zilishakosa kazi where as kazi yake inabaki ni kurutubisha mbong'o. Huyo kama hana akili binafsi ni ngumu na wengi ni single moms katoto kako kwa bibi.😁
Indonesia
40
44
430
32.8K
Tamale
Tamale@256Rootyherman·
1. Switch off data 2. Send her messages via WhatsApp 3. “Honey, your MM number please” 4. Be off whole day 5. Data on, messages sent 6. Share yo screenshot (time stamp),accuse her of not responding in time yet u had her money 🥹 7. Tell her next time better
Tamale tweet media
English
184
394
4K
134.8K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Niliwasimulia kuhusu huyu mwanangu aliekuta mkewake ni ameathirika wakati yeye hana then akaendelea kuishi nae. Mnakumbuka? Mwamba hii kitu imemtokea sijajua kama kaukwaa tayari au niaje. Alikaa kitandani siku tatu bila kuinuka. Anachoma sindano yanakauka kauka.
ProsperNow. tweet media
ProsperNow.@prossoff

Naanza kuamini kwamba kuna wanawake wanadawa za kuwashika wanaume wao. Kuna mwanangu mmoja amepambana na mkewake katika kuugua. Mwanamke anaumwa mara kwa mara, baada ya muda akapima HIV akakuta positive. Msela akamuachia geto na watoto, ila now wanakaa pamoja tena. MADAWA.

Indonesia
58
16
163
66.1K
~BINGWA⚡
~BINGWA⚡@BingwaIK·
@ItsMatemu @Kenny37022462 @prossoff Yawezekana ndio sababu lakini sio issue ya ku_entertain kwa kuwa maambukizi sio lazima michubuko. Maji maji ya sehemu za siri tu yana virusi tayari halafu yawezekana bahati yake ni kuwa muhusika anaweza kuwa anatumia dawa vizuri
Indonesia
1
0
1
72
Cool J
Cool J@cooler1134180·
@prossoff Yani ukae na dem mwenye HIV..?
HT
3
0
4
4.8K
Chandra 🌟
Chandra 🌟@ItsMatemu·
@BingwaIK @Kenny37022462 @prossoff Hivi kama hamna michubuko pia maambukizi si hayawi? Kuna jamaa nilisikiag alitumia mafut ya kula mengi kama lubricant kwa mwathirika, hakuathirika harakharak nikahis hakukuw na msuguano/michubuko
Indonesia
2
0
1
106
~BINGWA⚡
~BINGWA⚡@BingwaIK·
@Kenny37022462 @prossoff Inapunguza kasi ya kuambukiza sio 100% haambukizi. Ko itategemea level ya exposure utayokuwa nayo
Indonesia
1
0
1
142
FineByMe🇹🇿🇷🇼
FineByMe🇹🇿🇷🇼@Trigga_kush·
Miaka 10 hujawahi kuongea na mtu ghafla asubuhi unajikuta kwenye group la ndoa. Can you people try to utilize well that small cycle you have Thuli,Khuli... Mbali Sabela.
Indonesia
35
206
1K
38.4K
Premier League
Premier League@premierleague·
📣 Viktor Gyokeres with a hat-trick against Ukraine to send Sweden into the FIFA World Cup Qualifier play-off final 📣
Premier League tweet media
English
291
3.2K
46.1K
538.7K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Mwanamke akikupenda sana anageuka kero✍️
Indonesia
22
24
259
12.2K
Chandra 🌟
Chandra 🌟@ItsMatemu·
@jimNjue_ Why don't we fly with our planes? We use theirs but they don't use ours
English
0
0
0
2
Jim Njue
Jim Njue@jimNjue_·
Unpopular but true, European football is by far the most successful colonizer Brainwashing tool in Africa. There are millions and millions of young African men who care about nothing else in the world except EPL & Champions League. Ever wondered, Why do we watch their football, yet they don’t watch ours.
English
268
220
1K
62.6K
Shahidi Wa Siri (MBBS)
Shahidi Wa Siri (MBBS)@Shahidi_Wa_Siri·
@Therealngassa Sahihi mkuu napata shida sana kbbk , huyo ni mmoja tu wapo wengine kama watatu hvi..duuh sms znapishana tu
Shahidi Wa Siri (MBBS) tweet media
Indonesia
3
0
4
883
daniola555
daniola555@daniola47·
@Sativa255 Season ticket ya Camp Nou ni €420 mpaka €1000, kwa inavyoonekana watu wengi wananunuwa season ticket, zinabaki siti chache ndio mnauziwa kwa gharama, kwa hiyo bei ya €252, mechi mbili Ni zaidi ya ticket ya msimu mzima
Indonesia
4
0
8
3.9K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Jana Creez Favors alikuwa akiangalia game ya BARCELONA live na alikata tiketi ya €252 (750,000TSH). Naona vijana wengi wanashangaa na kuona kwamba bora waendelee kuangalia soka lao la KWASU KWASU LUPASO. Hizi ni mentality za kukosa “Exposure”. Uwanja wa CAMP NOU ni miongoni mwa viwanja vyenye historia ya SOKA DUNIANI, huduma utakayo kutana nayo ni level za kidunia. Huduma zenyewe ni pamoja na kuiona Barcelona na wakina LAMINE YAMAL. Sasa wewe unataka kuingia uwanja wenye level na huduma za kidunia kwa bei sawa na NJUKA? Hata ukija life style ya BARCELONA kama jiji maisha yake lazima yawe ghali sana kulingana na utakayo yakuta huko. Tunaposifia “ULAYA IMEENDELEA” hizo huduma utakazopata kwanzia usafiri, hotel na vyakula utakavyokula lazima viwe gharama kwasababu ya hayo maendeleo. Unataka ulipie CHAKULA ULAYA sawa na utakacholiipia ukiwa NJUKA HUKO GONGO LA MBOTO? Nchi yeyote ile ambayo imeizidi nchi yako maendeleo tegemea maisha kuwa juu kuliko NJUKA. Kwahiyo unapofikiria kuenda nchi za watu hasa hizi zilizoendelea hakikisha unayo pesa na kichwani mwako unajua unaenda kutumia pesa. Ndiomaana ukiwa TUKUYU kitimoto kilo moja unapewa na ndizi mbili bure za kuminya—hii huduma haipo kabisa DAR, kwanza hata kitimoto chenyewe bei na ndizi utauziwa kwanzia nusu mpaka nzima. Hii ni kutokana na maendeleo yaliyofanywa DAR hayafanani na TUKUYU— Ukiwa Dar kila kitu unalipia isipokuwa PUMZI, ila Tukuyu unaweza kupata vingi vya bure na ukaishi labda uwe unachagua vya kupewa. Hizi mentality za KIMASKINI za kutaka kulinganisha gharama za mambele na PESA MADAFU ni kukosa akili. Tutafute hela NJUKA tuache kushangaa shangaa utakula BANZI la mgongo.
SATIVA tweet media
Indonesia
58
75
1.2K
57.9K