Ochu Jr

5.6K posts

Ochu Jr banner
Ochu Jr

Ochu Jr

@ItsOchu10

| Storytelling | Photographer |

Amsterdam, The Netherlands Katılım Haziran 2013
1K Takip Edilen2.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
The Autumn is here 🍂
Ochu Jr tweet mediaOchu Jr tweet media
English
0
0
6
249
KALYJAY
KALYJAY@gyaigyimii·
This is better than the ad😂😂
English
169
2K
19.2K
893.4K
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@ShijaDenis This is the Best App ni vile Wabongo wengi hawajui tu
Indonesia
0
0
0
89
Denis_developer🐼
Denis_developer🐼@ShijaDenis·
ukitaka kujua Google Messages ni unyama, watu wa Pixel huwa wanapata pure experience ya hii app. Kimsingi ni moja ya apps kali sana upande wa Android, na taratibu inaendelea kuongezewa features mpya. Ingawa bado sio perfect, naweza kuipa rating ya 4/5.
Denis_developer🐼 tweet media
Indonesia
39
6
87
16.9K
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@takadini_23 There's no ikapita siku bila Christians kuzungumzia Uislamu
Ochu Jr tweet media
0
0
0
33
takadinie
takadinie@takadini_23·
Mbn waislamu wakichinja kuku mbuzi ng'ombe si wakristu tunakula ila tukichinja sisi hawali?¿
Indonesia
76
34
201
15.4K
SOC
SOC@Asonofcreator·
@KennedyMmari Without democracy those in power can do anything they want and you can do nothing about it. Democracy is the way to hold leaders accountable.
English
1
0
0
123
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Kama demokrasia ni hii tunayoona Marekani na EU, basi yupo sahihi. BTW, hata mimi sidhani kama demokrasia katika mfumo wake wa sasa ni meaningful. I know this is an unpopular opinion, ila nchi nyingi hazikuendelea kwa sababu ya demokrasia. Kuna overemphasis ya nchi masikini kuwa na demokrasia wakati kwenye nchi matajiri kuna vyama viwili au vitatu vinavyopokezana madaraka na agenda zao ni zilezile. Sehemu kubwa ya demokrasia kweye Global South ni kutengeneza loophole ya Global South kugawanya opinion ili kuweza kuendelea ku-exploit na kurule. Again, you may not like this opinion, but it is what I think really.
Munishi Renald@MunishiRenald

Traore anasema demokrasia haifai. Means kajipanga kuwa lifetime president . Africa tuna mifano mingi ya watu kama yeye, muda utasema.

Indonesia
15
10
41
3.9K
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
Ukisoma Comments kwenye Hii post, naamini what I said about my last post was right 👇🏽 We baki huna Dini wala hakuna shida maana najua jibu lako ni "I don't give a F*Ck" "Get out of the Matrix" they say while wanakukaribisha in their Matrix ya wasiokuwa na Dini Congratulations the Conscious One 👏🏽 x.com/i/status/20382…
MWANAHISABATI@ArthurGeil

Sijui kwanini ila kila siku zinavyozidi kwenda ndio ninavyozidi kupoteza na kuishiwa imani yangu kwenye DINI. NB. DINI ZOTE

Filipino
1
0
1
21
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@Maryftaddoh At least Morgan Freeman is versatile na ameweza kuplay different roles, ila nashangaa huyo The Rock anafuata nini hapo 🤔
Indonesia
0
0
0
14
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
Kom folau, oso na gyon op nodotaim
Ochu Jr tweet mediaOchu Jr tweet mediaOchu Jr tweet mediaOchu Jr tweet media
The Netherlands 🇳🇱 Indonesia
0
0
1
12
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@EsirEid Umetisha sana kwa maelezo haya hata sisi tusiojua uchumi tunaelewa
Indonesia
0
0
0
25
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kwanza, ni muhimu kuelewa kuwa akiba ya mafuta ya miezi mitatu (strategic/operational reserves) inalenga kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa haukatiki (security of supply), siyo kudhibiti bei zisibadilike. Katika masoko ya mafuta, bei huamuliwa na mchanganyiko wa gharama za kimataifa (international benchmark prices kama Brent), gharama za usafirishaji (freight), bima (insurance premiums), pamoja na gharama za ndani kama ushuru na logistics. Hivyo hata kama mafuta yaliyopo yaliletwa kabla ya mabadiliko ya bei duniani, thamani yake ya kiuchumi hubadilika mara moja kulingana na bei ya sasa ya soko (market valuation), siyo bei ya zamani ya ununuzi. Pili, biashara ya mafuta inaendeshwa kwa kanuni ya ‘replacement cost pricing’ badala ya ‘historical cost’. Hii ina maana kuwa bei ya kuuza leo inaangalia gharama ya kununua mzigo unaofuata, siyo gharama ya mzigo uliopo. Kama utaendelea kuuza mafuta kwa bei ya zamani wakati gharama ya kuagiza mzigo mpya imepanda kwa kiasi kikubwa, basi mapato utakayopata hayatatosha kurejesha kiwango kilekile cha stock (volume). Hii husababisha kile kinachoitwa ‘inventory loss’ au ‘under-recovery’, ambacho kinaweza kupelekea upungufu wa mafuta sokoni. Ndiyo maana marekebisho ya bei hufanyika mapema kabla hata akiba ya zamani haijaisha. Tatu, katika muktadha wa Tanzania (na nchi nyingi zinazo-import mafuta), mfumo wa ununuzi wa pamoja (bulk procurement system) unalenga kupata bei shindani, lakini bado unaathiriwa moja kwa moja na mabadiliko ya soko la dunia na thamani ya fedha (exchange rate risk). Hivyo kinachoonekana kama faida ya muda mfupi kwa wauzaji au serikali, kiuhalisia ni ‘price smoothing mechanism’ inayolinda mzunguko mzima wa ugavi (supply chain sustainability). Kwa lugha rahisi: fedha inayopatikana leo kwa bei ya juu ndiyo itakayowezesha kununua mafuta ya kesho kwa bei hiyo hiyo ya juu, ili kuhakikisha kiasi cha mafuta (volume) kinabaki kilekile bila kusababisha uhaba sokoni.
The SPECIAL ONE ™️@bajabiri

Wewe ulikutana na Waziri, alikwambia "Kuna mafuta ya kutosha" Kwanini mafuta yapande kwa 1000/= wakati bado tunatumia mafuta yaliyopo kwenye reserve ya hadi Julai? Naombeni mnipe shule hapa,haya mafuta tunayotumia yameingia kwa meli kipindi hiki cha VITA au yalikuwepo kabla?

Indonesia
133
102
323
34.3K
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@obrienthagreat @great_j0rdan You are the Comedian, so you think how Christianity spread in Europe, America and Africa. You think Africans wanted to be Christians willingly or the Native Americans? It was by Force, the raped people and forced them to accept Jesus
English
1
0
0
5
Tplus
Tplus@obrienthagreat·
@ItsOchu10 @great_j0rdan Are you a comedian? Where did Christians conquer as Islam does with constant bloodshed.
English
1
0
0
10
𝐉𝐎𝐑𝐃𝐀𝐍
𝐉𝐎𝐑𝐃𝐀𝐍@great_j0rdan·
The obsession you guys have with Islam is genuinely alarming. Let us breathe. Let us practice our religion in peace. We are Muslims. We prayed, we learned the language, We're perfectly fine and happy with it, so if we didn’t complain who are you to complain? You forget you even have a religion until it's time to post n0ns£nse online. Then suddenly you're a theologian. We are proud and happy in Islam. Not a single Muslim is complaining. Our women are happy wearing the burqa, you're the one crying about it. You complain about how we wash ourselves after using the toilet. You complain about how we eat, how we shower, how we walk, how we talk, how we pray, how we exist. We don't come for you when you're drinking beer. We never complain about your women walking around half naked. We never complain about you eating pork. We never ask why you don't wash yourselves after using the toilet. We don't care how you walk, sit, talk or dress. But y'all stay in our business 24/7. Are ya’ll not tired?
Prince Adewale@Maya_leeke

Any religion that forbids my own language as a means of communication to God or that says I have to learn a certain language to be able to pray is not a religion but an institution of identity eradication.

English
120
268
1K
25.3K
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@obrienthagreat @great_j0rdan So Christianity was not spread by Bloodshed? At least read the History of English Crusades. Find me a war where Muslims were fighting for converting people into Islam. The only wars Muslim fought was to defend themselves against those who wanted to kill them.
English
1
0
0
9
Tplus
Tplus@obrienthagreat·
@great_j0rdan That's a blasphemous statement. "Practice Islam in Peace". The spread of Islam was done by bloodshed. Till date you all are so retard that you see violence as peace.
English
1
0
0
17
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
@mzee_mbuzi Kabisa Yani ni vile tu hatuwezi kuwaona ikitokea hiyo siku. Ila ni kuwaombea kheri wabadilike
Indonesia
1
0
0
4
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
There's this Trend ya Wabongo kujifanya hawaamini Mungu. Wao ni Conscious people, wanajua kuuliza maswali ambayo wanahisi hayana majibu. Wakae wakijua wao si watu wa kwanza kumkadhibisha Mungu. Walishapinga watu wa nyumati ziliopita kabla yetu. Hakika ahadi za Mungu ni za kweli na zitakuja tu. "Inna al-mawta alladhī tafirrūna minhu fa-innahu mulāqīkum, thumma turaddūna ilā ‘ālimi al-ghaybi wa ash-shahādah, fayunabbi’ukum bimā kuntum ta‘malūn" Surah Al Jumu'ah (62:8) “Indeed, the death from which you flee—indeed, it will meet you. Then you will be returned to the Knower of the unseen and the witnessed, and He will inform you of what you used to do.”
Ochu Jr tweet media
Indonesia
0
1
7
215
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
Shida ya this generation ndio Hii. Kila kitu mnataka Source au Nukuu mkidhani kwamba kila kitu kilikuwa kinaandikwa au kinapigwa Picha. Shahada ni maneno ya mtu kuamini kwamba Mungu ni mmoja na kuamini Mtume wake aliyemtuma . Kutaka nukuu ni kama kusema nipe nukuu ya mtu akikiri kwamba Genghis Khan ni mfalme wa Mongols (Yani upate source ya mtu akisema maneno hayo). Hata hiyo shahada ya Muhammad haina source kwenye Quranic scriptures kwasababu Shahada ni sentensi mbili tofauti. Sentensi ya kwanza ni mtu kukiri kwamba anaamini Mungu ni mmoja. Sentensi ya pili ni kuamini kwamba huyo Mtume aliyepo wakati huo ni Mtume wa Mungu. Hii haihitaji scripture wala sources kwasababu ni maneno yanasemwa na kila anayemuamini Mungu na huyo Mtume aliyetumwa
Indonesia
1
0
0
73
Amani Ndoveni
Amani Ndoveni@Amani_Ndoveni·
@ItsOchu10 @alhuttam255 @mentor209 Naomba uweke hapa SOURCE/NUKUU yenye shahada inayomhusu Isa,Adam, Ibrahim na Musa. Ya Mudi tunajua source yake, hebu weka hapa NUKUU yenye hayo maneno ya shahada ya Kina Adam na Musa.
Indonesia
1
0
0
39
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Talking about kusujudu dini ya kiyahudi wakisali wana sali kama waislamu
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz

Kwanza kabisa, hakuna Mkristo mwenye akili anayesema Yesu alikuwa Mzungu. Hilo ni suala la sanaa za Ulaya, sio mafundisho ya Biblia. Yesu alikuwa Myahudi wa Mashariki ya Kati — hilo halipingwi. Lakini sasa kwenye hoja zako 👇 1. Kusujudu Ndiyo, Yesu Kristo alisujudu. Lakini kusujudu haimaanishi Uislam. Manabii wengi walifanya hivyo hata kabla ya Uislam kuwepo — akiwemo Ibrahim. So hiyo si “Islamic signature”, ni ibada ya kawaida ya unyenyekevu. 2. Kunawa / Usafi Kunawa si wudhu ya Kiislam tu. Hiyo ilikuwa sehemu ya Sheria ya Kiyahudi (Torah) ambayo Yesu aliishi ndani yake. 3. Sinagogi vs Kanisa Umesema hakwenda kanisani — sawa. Lakini unasahau kitu kikubwa: Kanisa lilianza BAADA ya Yesu. Na msingi wake uliwekwa na wanafunzi wake kama Petro Mtume baada ya tukio la Pentekoste. So unataka afanye kitu ambacho hakikuwa bado kimeanzishwa? Haina mantiki. 4. Unyenyekevu katika ibada Hapa hakuna ubishi — lakini hilo halifanyi Ukristo uwe Uislam. Yesu alikemea unafiki, sio aina ya ibada yenyewe. 5. “Hakukuwa na nyimbo” Hii si sahihi. Yesu na wanafunzi wake waliimba nyimbo (Mathayo 26:30). 6. Mungu ni mmoja Hapa ndio watu wengi wanachanganya. Ndiyo, Mungu ni mmoja — lakini Ukristo unaelewa huo umoja tofauti (Utatu). Na Yesu mwenyewe alijitofautisha na manabii wa kawaida kwa mambo kama: •Kusamehe dhambi (Marko 2:5-7) •Kujita “Mimi ni” (Yohana 8:58) — kauli inayohusishwa na Mungu Hapa ndipo Ukristo unatofautiana na Uislam, si kwenye kusujudu au kunawa. Unajaribu kumfanya Yesu aonekane kama Muislam kwa kuchukua matendo ya kawaida ya manabii na kuyaita ya Kiislam, huku ukipuuza mafundisho yake ya msingi kabisa.

Indonesia
10
1
10
2.3K
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
Sasa wakristo wanasema wanafuata Injili. Na Wayahudi wanasema wanafuata Torati kwamba kuviona hivyo vitabu ni mpaka nivione Mimi. Hoja yako haina mantiki. Yani kama ili kitu kiwepo iwe lazima mimi nikione basi hata Babu yangu Mzaa Babu sijawahi kumuona. Je inafanya kwamba hakuwahi kuwepo?? Na Uislamu haujasema vitabu vya Mungu vilipotea hiyo labda iwe upande wenu huko. Uislamu unasema Muhammad PBUH kaja kuendeleza na kuthibitisha hivyo vitabu vilivyotangulia. Alafu unavyosema nani amewahi kuviona unadhani kwamba vitabu ni kimeshuka kitabu kama hiki unachokijua sasa kwamba kina Cover imewekwa Title, kina kurasa labda mpaka 100, kina Dibaji. No, by kitabu means ni amri na sheria ambazo Mungu alikuwa akiwashushia hao Mitume. Sheria ziliandikwa kwenye magome ya miti and whatever technology waliyokuwa nayo ili mimi na wewe baadaye tuje tusome. Ila People wali-memorize hizi scriptures, kuziandika was for the future of us. Unavyosema nani amewahi kuviona unataka watu walioishi zama hizo wawe hai mpaka leo au unataka vipi? Yani unataka mtu from 3 Millenials ago awe hai mpaka leo akuthibitishie kua aliviona hivyo vitabu!? Don't be ignorant Brother. If you don't believe it's Okay I can understand that ila usije na hoja ya kutaka aje mtu akwambie kwamba aliviona hivyo vitabu. Binafsi sijawahi kuona Sayari ya Mara but does that make it kwamba haiexist??
Indonesia
1
0
0
17
Amani Ndoveni
Amani Ndoveni@Amani_Ndoveni·
@ItsOchu10 @alhuttam255 @mentor209 Hivyo “vitabu vilivyokuja” umewahi kuviona? Mohamed aliviona? Nani amewahi kuviona? Nb: Najua Utakuja na hadithi kuwa vilipotea. Vitabu vya Mungu mkuu kinapotea? Tena vitatu kwenye nyakati tofauti vinapotea kila mara?😁 Nitajie mtu moja tu ambaye amewahi kuviona hivyo vitabu.
1
0
0
28
Ochu Jr
Ochu Jr@ItsOchu10·
Kwenye Quran, Mtume Muhammad PBUH anaambiwa kuwa yeye ametumwa kuja kusadikisha yale ambayo yamrtangulia kutoka kwa Mitume waliokuja kabla yake ndio hao kina Adamu, Noah, Ibrahim , Moses, Isaac etc. na kusadikisha vitabu walivyokuja navyo Yani Torah, Zaburi na Injili , etc. Tofauti nyingine ni kwamba hawa Mitume waliopita walitumwa kwa qaumu (jamii) maalumu, Yani mfano Mitume wengi walitumwa kwa Banii Israel (Wayahudi) ila hawakutumwa kwa watu wote. Ila Muhammad PBUH katumwa kwa ulimwengu mzima. In your belief huwezi kukubali but that's Okay. I'm not here to convince you to believe but I'm here to answer your prior question.
Indonesia
1
0
0
12
Amani Ndoveni
Amani Ndoveni@Amani_Ndoveni·
@alhuttam255 @mentor209 Which God exactly? There are many gods. Which God did Adam submit? What was the name of this god? And second question, what was the shahada that “the Muslim Adam” took?
English
2
0
1
63