@bohny_chengula Kuwa na Elimu ni Jambo Moja.
Kukosa Ajira ni jambo la Pili
Kujiajiri ni jambo Muhimu Zaidi ila linahitaji mitaji..!
Vijana wanamipango na fursa kwenye vichwa vyao ila nani anawawezesha?
Msomi wa kitanzania ambae yuko kweye kibarua leo hii akiachishwa kibarua chake, ata pata presha, ugonjwa wa moyo na vingine. Sababu tumesoma ila Elimu tuliyo nayo haija tukomboa.