Janeth Joel Rithe

7.4K posts

Janeth Joel Rithe banner
Janeth Joel Rithe

Janeth Joel Rithe

@JaneRithe

National Chairperson of the Women's Wing @ACTwazalendo

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2018
260 Takip Edilen5.1K Takipçiler
Janeth Joel Rithe retweetledi
ACTWazalendo
ACTWazalendo@ACTwazalendo·
"Siasa za kidemokrasia zimetoweka na mamlaka ya wananchi kuchagua viongozi imetekwa nyara na watu wachache. Vyama vya Siasa, ikiwemo CCM, haviendeshi tena siasa ya nchi badala yake, siasa imeachwa mikononi mwa kikundi cha watu wachache." Mwenyekiti wa @ACTwazalendo @othmasoud #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #MjadalaWaKitaifa
Indonesia
2
9
12
233
Janeth Joel Rithe retweetledi
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
VIDEO: Profesa mkongwe wa Sheria nchini Profesa Issa Shivji ametolea ufafanuzi uhusiano wa msingi kati ya amani na haki, akijenga hoja kuwa uwajibikaji ndio unaofanya kazi kama daraja muhimu kati ya mambo haya mawili mema. Akizungumza leo, Mei 16, 2026, kwenye Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Demokrasia jijini Dar es Salaam lililoandaliwa na chama cha @ACTwazalendo , Shivji ameweka msimamo kwamba jamii haiwezi kufikia amani ya kudumu bila haki, wala haiwezi kupata haki bila kuwepo kwa utamaduni thabiti wa watu kuwajibika kwa matendo yao. “Bila uwajibikaji huwezi ukawa na haki na bila haki huwezi kuwa na amani, na katika tukio lililotokea suala muhimu linajitokeza ni uwajibikaji. Kwa maoni yangu hatuwezi tukapiga hatua yoyote ile bila uwajibikaji”, ameeleza Shivji.
Indonesia
0
25
87
2.4K
Janeth Joel Rithe
Janeth Joel Rithe@JaneRithe·
Binafsi huwa ninasikitishwa sana na tabia ya @godbless_lema ni mtu anayejifanya anajua sana na kukandamiza wengine huku akidai yeye ni mtu anayedai haki unawaita majina mabaya wengine Kitu kitakacho kukuta Mungu atakulipa ni Jambo la muda
Janeth Joel Rithe tweet media
Indonesia
29
4
23
3.6K
Janeth Joel Rithe retweetledi
ACTWazalendo
ACTWazalendo@ACTwazalendo·
Ameandika Katibu Mkuu ACT Wazalendo @AdoShaibu MAKOSA 5 YA KIMKAKATI YA VYAMA VYA UPINZANI. Vyama vya Upinzani Tanzania, katika miongo mitatu ya uwepo wake, vimefanya mengi, mazuri kwa mabaya. Kwa maoni yangu, yafuatayo ni makosa ya dhana ya vyama vya upinzani (strategic misconceptions) katika kuing’oa CCM madarakani; 1. Kudhani kuwa, katika mazingira yetu, kuna Chama kinaweza kufanikiwa chenyewe kuing’oa CCM bila mshikamano wa vyama vya siasa. 2. ⁠Kudhani kwamba CCM inaweza kuvihurumia vyama vya upinzani na kukubali kuweka mazingira itayoking’oa. 3. ⁠Kudhani CCM inaweza kuleta mabadiliko (reforms) bila shinikizo 4. ⁠Kudhani kwamba vinapambana na CCM badala ya dola. 5. ⁠Kudhani kwamba CCM inaweza kudondoka bila kukata mizizi yake ambayo ni hali ya Chama hicho kujigeuza kuwa Chama dola (State Party) Unakubaliana na mimi? Kuna makosa gani mengine vyama vya upinzani tunayafanya? Yataje. Tupo tayari kujifunza. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACTWazalendo tweet media
Indonesia
36
10
49
9.8K
Janeth Joel Rithe retweetledi
shangwe Ayo
shangwe Ayo@ayo_shangwe·
Usikose kutufuatilia….
shangwe Ayo tweet media
Indonesia
0
4
9
477
Teacher.
Teacher.@EmmanuelJo78422·
@JaneRithe ayo maandishi kwenye nguo. Kuna mengine yameandikwa MAGEREZA alafu kuna sehem pameandikwa MAAGEREZA
Filipino
1
0
1
13
Janeth Joel Rithe
Janeth Joel Rithe@JaneRithe·
Badala ya bongo move tutaita ikulu move
Janeth Joel Rithe tweet media
Indonesia
2
5
27
1.3K
Janeth Joel Rithe
Janeth Joel Rithe@JaneRithe·
Hizi ndio nyumba zinazoongozwa na viongozi walafi wa mali za umma na ufisadi mkubwa wa bwana mdogo @DrHmwinyi
Janeth Joel Rithe tweet mediaJaneth Joel Rithe tweet media
Indonesia
0
0
0
53
Joseph Oleshangay
Joseph Oleshangay@Oleshangay·
Wanasema WARIOBA pekee ndio Jaji. Wale 4 wengine ni MAJAGI
Indonesia
9
20
119
3.1K
Janeth Joel Rithe
Janeth Joel Rithe@JaneRithe·
Vyombo vya ulinzi vishageuka kuwa chawa wa ccm hawezi kujua chochote zaidi ya kulinda MASLAHI ya ccm Ile siku walikuwa na jukumu la kulinda tume inapiga kura na @SuluhuSamia apate 98%
Janeth Joel Rithe tweet media
Indonesia
0
5
15
304
Mkwera MT.
Mkwera MT.@Muhidinmkwera·
Huyu wa ACT WAZALENDO ni nan!! Kwann anaenda kinyume na msimamo wa Chama uliotolewa na Kamati kuu ya Chama!!
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewateua makada 17 kutoka kwenye vyama mbalimbali vya siasa kuwania ubunge wa Isimani mkoani Iringa ili kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, William Lukuvi, aliyefariki Machi 25, 2026. Watia nia walioteuliwa na INEC ni pamoja na Emanuela Mtatifikolo (CCM), Farida Mwapungu (Demokrasia Makini), Asha Chuma (UPDP), Fidelis Mtikile (Sau), Hadija Makawa (Ada-Tadea), Protas Mgimbila (CCK), Zavely Seleleka (UDP), Berbard Mwingila (DP) na Burton Chitenga (NCCR Mageuzi). Wengine ni Christina Mbaunga (NRA), Mark Mhemela (AAFP), Nassim Upete (CUF), Mwaka Mgimwa (TLP), Asma Othern (UMD), Maimuna Lumato (ADC), Daudi Masasi (Chaumma) pamoja na Subira Kalolo (NLD). Ushindani huo unatajwa kuwa miongoni mwa chaguzi ndogo zenye mvuto wa kisiasa kutokana na idadi kubwa ya wagombea watakaoshiriki huku kila chama kuteka imani ya wananchi wa Isimani ili kushinda nafasi hiyo muhimu ya uwakilishi bungeni. Msimamizi wa uchaguzi wa INEC katika jimbo hilo, Caroline Otieno amesema kukamilika kwa hatua ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu za uteuzi kumeashiria mwanzo rasmi wa mchakato wa kampeni kwa wagombea waliokidhi masharti ya uchaguzi. Otieno amesema mtiania wa ACT Wazalendo hakuteuliwa kwa sababu hakurejesha fomu zake ndani ya muda uliowekwa na INEC licha ya kuwa alikuwa tayari amezichukua fomu hizo.

Indonesia
3
0
0
89
Janeth Joel Rithe retweetledi
Honourable speaker KILESI🕊️
Madeleka kwenye kesi yake tunampa wakili wa mwaka wa mbele kibatala😅😅
Indonesia
12
52
268
13K