DR.MATEKA

2K posts

DR.MATEKA banner
DR.MATEKA

DR.MATEKA

@Japason3

C.E.O. @lochamedia Media personnel Content creator https://t.co/Q5z9kFzh6b

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2021
503 Takip Edilen231 Takipçiler
DR.MATEKA
DR.MATEKA@Japason3·
@Veesmart2 Wanataka posho ndio aana wanakimbilia kuoa😂😂😂
Filipino
0
0
0
34
Veesmart2🌹
Veesmart2🌹@Veesmart2·
Kuna mtu kasema, hakuna watu wanakosea kuoa kama wajeda🙌🏿
Indonesia
65
53
417
21.9K
DR.MATEKA
DR.MATEKA@Japason3·
@sahala1942 @ShijaDenis Wameshatujaza kwenye mfumo kaka au wewe unawaamini wakikuambia end to end encrypted messages
Indonesia
1
0
0
6
Kylo Ren
Kylo Ren@sahala1942·
@Japason3 @ShijaDenis WhatsApp natumia kuwasiliana na watu. Ni kweli natumia WhatsApp, ila kuiamini, SIDHANI.
Filipino
1
0
0
15
DR.MATEKA
DR.MATEKA@Japason3·
@Your2qh Maybe kuanzia 16 na 17 Mimi hii ni 15 na ulikuja na USB Bro labda inawezekana tofauti ni sehemu ambazo zinazalishwa pia
Indonesia
1
0
1
35
You
You@Your2qh·
@Japason3 Okay okay man , zinazokuja na sm ndo the best ila apple hawalet na sm nowdays
English
1
0
0
109
DR.MATEKA
DR.MATEKA@Japason3·
@Your2qh Zipo Kaka ila inategemea unachukulia wapi mfano me Simu yangu ulikuja na USB tu bhasi from USA Kichwa nimenunua oraimo ni kupepea tuu chaja inajaa kama inakimbizwa na Tume
Indonesia
2
0
1
186
Kylo Ren
Kylo Ren@sahala1942·
@ShijaDenis Katika watu sina imani nao Elon yupo top 3
Filipino
1
0
1
333
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Let us assume kuwa wanachosema ni kweli. Wanakubali kuwa mfumo mzima wa ulinzi wa nchi upo uchi. Kwamba watu wanaweza kuwekwa kwenye makambi na nyumba sehemu tofauti za nchi na vyombo vya usalama visigundue mpaka machafuko kutokea? Halafu baada ya Tume kutoa Ripoti KUU za Wilaya na Mikoa hiyo bado zipo, hawajakamatwa, hawajawajibishwa kwa kulala kazini wala kushtakiwa? Ukitunga jambo litunge 360 degrees. Tume imeona nyumba hiyo na kuthibitisha na Tume hiyo hiyo inataka tume nyengine kuundwa kuchunguza🤷🏿
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai

🙄 Msione yaelea vimeundwa! Kila mtu alishangaa kauli ya Chande kuhusu vijana kupewa mafunzo kwenye jengo ambalo liko kita 10 kutoka kituo cha polisi Kumbe chawa wa Abdul katoa code kuwa walilenga @ChademaTZ2 eti jengo la Ufipa Sasa mzee Chande atueleze kama hiyo ripoti waliandika pamoja na akina Abdul ama inakuwaje? Yaani mtu azuke kutoa details hizi kweli? Huu upumbavu wenu una mwisho na tunashukuru Mungu kawapiga upofu wanabwabwaja tu Ila #TutaelewanaTu #SamiaMustGo

Indonesia
45
74
368
55K
The ChandO
The ChandO@SadickTusia·
Haijalishi umechelewa au umewahi lakini MWANAUME lazima umiliki Familia Namaanisha Mke na watoto.
Filipino
9
18
197
4.1K
Eng. Paimen✨️
Eng. Paimen✨️@Captain_Josh47·
Nilikaaga na Ccta mmoja Geto. Nilijaza mazaga ya kupikia ndani. Nilipokua naenda Job, namwachia 10,000/=, anasema haitoshi na wkt hana tumizi lolote atakalonunua🤦‍♂️ Baada ya Muda nilikaa nkajiuliza, huyu hela huwa anapeleka wapi? Ilibidi nimtibue, nibakie Single, niwe na Amani😖
Filipino
32
28
475
33.3K
Mfuga Panzi🦗
Mfuga Panzi🦗@WarlesLawlence·
@Captain_Josh47 Bora wewe mimi aliwahi kunipangia ratiba ya kuosha vyombo kutandika bed... asee alikuwa mtoto wa single mama
Indonesia
3
0
1
2.1K
DR.MATEKA retweetledi
Eddie Eizner
Eddie Eizner@eddieeizner·
FULL YOUTUBE AUTOMATION COURSE Almost 2 hours of straight sauce This will teach you everything you need to know All the knowledge to get from 0-10K/month Bookmark this for later
English
28
572
2.8K
255.9K
DR.MATEKA
DR.MATEKA@Japason3·
@ngowib3275641 @NyandaAmosi Inategemea na uwezo wako tu Bro unaweza ukawa na miaka michache lakini ukawa na Akili za utu uzima the same pia kwa watu wenye umri mkubwa
Polski
0
0
1
175
Bahati Ngowi
Bahati Ngowi@ngowib3275641·
@NyandaAmosi True kaka; mara nyingi inaanza ukifika age kati ya 35-40
Indonesia
3
0
12
1.3K
AmosiNyanda
AmosiNyanda@NyandaAmosi·
Kuna Umri Ukifika Kama Mwanaume Unatakiwa Ku-Switch OFF Kabisa Button ya HISIA ili Kupindua Meza!
Indonesia
27
124
885
23.6K
Eddo Lalika
Eddo Lalika@EddoLalika·
Kwa Tanzania huyu Jamaa anae enda kwa jina la DJ SMA ndio mchambuzi Bora wa Siasa za ulimwengu- Geopolitics. Kwa wale wanao taka kuwa wachambuzi wazuri wa yanayo endelea Duniani hususani Vita ya Ukraine- Urusi au Irani- Israel - USA mkamsikilize huyu Jamaa muache kupost uongo.
Eddo Lalika tweet media
Indonesia
79
20
277
30.6K
DR.MATEKA
DR.MATEKA@Japason3·
@chapo255 CHATGPT hio kaka amecopy somewhere kamuambia amuandikie Habari kwa kiswahili, soma kwa makini utaelewa tu
Indonesia
0
0
0
23
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Taarifa umeandikwa kimiyeyusho sana
EastAfricaTV@eastafricatv

#HABARI Rwanda imekuwa Nchi ya Kwanza barani Afrika kwa watengeneza maudhui wa nchini humo wa mtandao TikTok kuweza kupata pesa moja kwa moja kutokana na maudhi wanayotengeza kwenye mtandao huo. Haya yanajiri kutokana na rufaa ya umma iliyotolewa wakati wa Baraza la 20 la Kitaifa la Umushyikirano, ambapo watengeneza maudhui wa jukwaa hilo walitoa wito kwa Rais wa nchi hiyo Paul Kagame kusaidia kufungua fursa za mapato moja kwa moja kutoka kwenye mitandao hiyo inayolipa watengeneza maudhui. Kwa muda mrefu sasa, watengeneza maudhui wa TikTok waliopo Afrika wamekuwa wakipata mapato kwenye jukwaa hilo kupitia ushirikiano na chapa mbalimbali, na zana zingine za uchumaji wa mapato kama vile ushirikiano wa wasanii wa muziki pamoja na kupokea zawadi kutoka kwa wafuasi wanaowafuatilia kwenye mtandao huo. #EastAfricaTV

Filipino
3
0
22
2.5K
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
@EddoLalika @shirad21 💨 Na Teknolojia jamaa anatema fact tu, ila huku kwa Vita mapenzi yake na Iran yako wazi sana 😁
Indonesia
7
0
28
2.4K