Veesmart2🌹

15.8K posts

Veesmart2🌹

Veesmart2🌹

@Veesmart2

Here for fun💯 #MUFC Manchester United fan🌹

Katılım Ocak 2022
5.4K Takip Edilen5.8K Takipçiler
KiDi Memes
KiDi Memes@Mos_flow1·
Ukipata Ukimwi usisahau kuweka Disappearing kule Whatsapp kama wenzako 😂😂😂
Filipino
12
18
106
3.8K
Veesmart2🌹 retweetledi
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Special kumanyoko kwa dada zetu wanaozalia nyumbani na hawakomi wanazidi kushika mimba za wanaume tofauti tofauti wasiohudumia.
Indonesia
30
35
281
14.5K
Veesmart2🌹 retweetledi
AM💡
AM💡@TonnyUnfiltered·
Kwa kizazi cha sasa naweza pata mwanamke ambaye tutapambana wote mpka tufanikiwe🤔
Polski
34
43
149
4.2K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Elon anavyokata hii Dollar 5 hata hajali kama mimi ni Yatima😂💔.. nb. Humu usikae kinyonge wote tunafeki humu😂🚮, huyo unae muonea wivu usikute ulitakiwa kumhurumia🤝🙌.
The champ👑 tweet media
Indonesia
50
39
141
7.9K
M O X
M O X@UrBoyMox·
Sasa haka kamshono chini ya pumbu nani alikashona😂
Indonesia
48
31
238
16.3K
Veesmart2🌹 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
HILI LIWE FUNZO KWA MAFWELE NA GENGE LAKE. SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho ktk mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah Mugasha amegonga nyundo. Itz over. Hawezi kukata rufaa tena kwa sababu hukumu ya leo ni review ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo September 16, 2016, ambapo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Benard Luanda. So hakuna mahakama ya kujadili tena shauri lake, labda Rais ampe msamaha. Kwa wasiokumbuka Bageni alikua Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Kinondoni. Mwaka 2006 yeye na wenzie wakiongozwa na aliyekua Kaimu RPC Dar, Abdalah Zombe, walituhumiwa kupanga njama za kuwauwa wafanyabiashara watatu wa Morogoro. Zombe anadaiwa ndiye aliyeongoza wenzie kwenye mpango huo, baada ya kujulishwa kuwa wana madini na fedha kiasi cha shilingi milioni 200. Walikamata gari waliyokua wameikodi. Wakamuongoza dereva hadi msitu wa Mabwepande. Wakapora madini pamoja na fedha zote walizokua nazo. Kisha wakawafunga vitambaa vyeusi usoni na pingu mikononi. Kisha wakawapiga risasi za kisogoni na kuwauwa wote akiwemo dereva wa taxi waliyemkodisha. Kesho yake Zombe akaita media na kusema wameua majambazi yaliyokua yanarushiana risasi na Polisi. Rais Kikwete akaunda tume ya Jaji Kipenka kuchunguza. Ikabainika hawakuwa majambazi. Kilichouma zaidi walikua ndugu wa familia moja. Mama mmoja alipoteza wanae watatu. Watoto wa familia 4 wakapoteza baba zao, na wake wanne wakawa wajane kwa tamaa za polisi. Zombe alifanikiwa "kuchomoka" kwenye kesi hii baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa. Lakini Bageni alipatikana na hatia akahukumiwa kunyongwa. Akakata rufaa ikafeli, akaomba review ya kesi, na rulling imesomwa leo kuwa ANYONGWE HADI KUFA. Waliomtuma hawapo nae Segerea, wala hawatanyongwa pamoja nae. Atanyongwa peke yake. Wanaohangaika nae saivi angalau kumfariji ni familia yake. Zombe hayupo, OCD wake hayupo hata IGP wa wakati huo hayupo. Ni yeye mwenyewe, na atanyongwa mwenyewe. Hii iwe fundisho kwa wote wanaotumwa kufanya maovu leo e.g kuteka, kuua na kupoteza watu. Ipo siku utajikuta peke yako. Anayekutuma hatakuwepo. Utasimama wewe mwenyewe kutoa hesabu ya maovu yako. Kama si hapa duniani basi hata mbinguni, lakini ipo siku utalipa. Kama ambavyo wema ni mbegu, na ubaya pia ni mbegu. Humea, hukomaa, na ni lazima UVUNE.!”
Hilda Newton tweet media
Indonesia
53
132
822
47.6K
munissi
munissi@Officialmunissi·
@mlinganya Kapewa ikiwa period kaka 😂😂😂
Filipino
2
0
1
348
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Testimonies za waliooa bikra. Endelea kuamini siku hizi bikra hakuna as if wanawake wa siku hizi wanazaliwa washagongwa tangu tumboni kwa mama zao. Usioe mwanamke ambaye hujambikiri wewe unajibebea matatizo tu
Malcolm 🏆 tweet media
Indonesia
19
13
79
6.3K
Veesmart2🌹 retweetledi
H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉@Uherry14·
Maisha yamenifunza Kupuuza hisia za Wengine hata wakiwa wana lilia kwenye bega langu sitakiwi onea hata huruma.
Indonesia
3
12
35
558
Djkid_b_____
Djkid_b_____@BlessdGrooveKid·
Mwakani inabidi nibadili saiko aseee😁💔
Djkid_b_____ tweet media
Filipino
12
18
109
5.4K
Veesmart2🌹 retweetledi
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Mungu atubariki harakati zetu Leo zikajipe. 🤲
Indonesia
34
52
122
1.6K
majir_jr
majir_jr@majir_jr·
@MrDepalitto9 Huyu demu na hii charting yake😅😅😅😅 Bora ametoa tuu hapana kuna kuzaa zuzu
Suomi
8
0
22
1.7K
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Fear women aisee
Real Nigger tweet mediaReal Nigger tweet mediaReal Nigger tweet mediaReal Nigger tweet media
English
63
12
116
16.1K
AM💡
AM💡@TonnyUnfiltered·
Unamtongoza single maza anakwambia anamchukia baba wa mtoto wake ulivyo lijinga na wewe unasindikizia na tusi.
Indonesia
16
28
156
4.5K